Smatta
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 2,350
- 730
Kenya inaipa Tanzania soko kubwa LA vyakula lakini watanzania naona hawadhamini ule uhusiano, wanawadharau wakenya sana. Imemfaidi vipi magufuli kufunga biashara ya kuuza bidhaa za shamba nje ? Anawatesa wakulima tu!!
Umesema kweli kabisa mkuu