Mafuriko ya vitunguu yaanza kwa kasi

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,944
18,652
Kawa sasa mikoa ya Arusha na Moshi ambapo vitunguu vinalimwa kwa wingi kumeanza kuwa na mafuriko ya vitunguu masokoni. Wakulima wanakosa wamuuzie nani. Serikali imediscourage exports hasa kwa jiranibzetu wakenya. Sasa tule vitunguu vyetu wenyewe. Wakulima wanatafta wakumuuzia hta kwa 40,000 ila wanakosa.
a0afe0984967024939c0fbd6a3a75363.jpg


Leo mke wangu kanunua hivi vitunguu Arusha kwa sh 300.
 
Kenya inaipa Tanzania soko kubwa LA vyakula lakini watanzania naona hawadhamini ule uhusiano, wanawadharau wakenya sana. Imemfaidi vipi magufuli kufunga biashara ya kuuza bidhaa za shamba nje ? Anawatesa wakulima tu!!
Hii roho mbaya hiii. Itatucost sana. Sjui aliona tunawafaidisha sana ao wakenya?
 
Nimevihesabu hivyo vitunguu vipo 33 nikusema kuwa kila kitunguu kanunua kwa sh.10 na nyongeza vitunguu vitatu.Kiuhalisia hapo ilitakiwa atumie sh.3300 kununua vitunguu hivyo kwa bei ya sh.100@
 
Kawa sasa mikoa ya Arusha na Moshi ambapo vitunguu vinalimwa kwa wingi kumeanza kuwa na mafuriko ya vitunguu masokoni. Wakulima wanakosa wamuuzie nani. Serikali imediscourage exports hasa kwa jiranibzetu wakenya. Sasa tule vitunguu vyetu wenyewe. Wakulima wanatafta wakumuuzia hta kwa 40,000 ila wanakosa.
a0afe0984967024939c0fbd6a3a75363.jpg


Leo mke wangu kanunua hivi vitunguu Arusha kwa sh 300.
we kwenu si Mwanza?
 
Kawa sasa mikoa ya Arusha na Moshi ambapo vitunguu vinalimwa kwa wingi kumeanza kuwa na mafuriko ya vitunguu masokoni. Wakulima wanakosa wamuuzie nani. Serikali imediscourage exports hasa kwa jiranibzetu wakenya. Sasa tule vitunguu vyetu wenyewe. Wakulima wanatafta wakumuuzia hta kwa 40,000 ila wanakosa.
a0afe0984967024939c0fbd6a3a75363.jpg


Leo mke wangu kanunua hivi vitunguu Arusha kwa sh 300.
Duh. . Nilikuwa nataka kujikita kwenye kilimo hiki. .naogopa maana zao lenyewe sijui kama unaweza kuhifadhi ghalani
 
Kawa sasa mikoa ya Arusha na Moshi ambapo vitunguu vinalimwa kwa wingi kumeanza kuwa na mafuriko ya vitunguu masokoni. Wakulima wanakosa wamuuzie nani. Serikali imediscourage exports hasa kwa jiranibzetu wakenya. Sasa tule vitunguu vyetu wenyewe. Wakulima wanatafta wakumuuzia hta kwa 40,000 ila wanakosa.
a0afe0984967024939c0fbd6a3a75363.jpg


Leo mke wangu kanunua hivi vitunguu Arusha kwa sh 300.
Dah..... Kumbe yule ndiyo waif?
 
Eeenh, ndo mkome kuuza raw,,, sindika,,, shda iko wapi??? unalima miaka 3+ bado uko kwenye raw??
Na mi nasema vishuke tu had tununue kitunguu kwa centi
 
Kenya inaipa Tanzania soko kubwa LA vyakula lakini watanzania naona hawadhamini ule uhusiano, wanawadharau wakenya sana. Imemfaidi vipi magufuli kufunga biashara ya kuuza bidhaa za shamba nje ? Anawatesa wakulima tu!!
Huku ni kupeana umaskini tu, mkulima kalima kwa gharama zake, unamzuia asiuze nje ya nchi tena ni jirani yetu wakati soko la ndani limeporomoka, ukiambiwa serikali ya ajabu unasema ni uchochezi!!!!! Daaah...!!
 
Eeenh, ndo mkome kuuza raw,,, sindika,,, shda iko wapi??? unalima miaka 3+ bado uko kwenye raw??
Na mi nasema vishuke tu had tununue kitunguu kwa centi
can you hear yourself? mambo sio marahis kama unavosema wewe
 
Nimevihesabu hivyo vitunguu vipo 33 nikusema kuwa kila kitunguu kanunua kwa sh.10 na nyongeza vitunguu vitatu.Kiuhalisia hapo ilitakiwa atumie sh.3300 kununua vitunguu hivyo kwa bei ya sh.100@
Kwa dsm sawa. Ila hata huku dsm bei imeshuka mabibo sokoni ni 700 hadi buku
 
Back
Top Bottom