Mafuriko ya CCM Star TV Moshi ni fake

Mafuriko ya CCM Star TV Moshi ni fake

Mjasiria Akili

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2012
Posts
823
Reaction score
372
Mikutano ya kampeni ya CCM imekua ikionyeshwa live na Star TV na kuonyesha watu wengi kila mkutano lakini imegundulika ni picha za kutengenezwa jana uwanja wa mashujaa pale Moshi hukua na watu wengi kama ilivyokua inaonyeshwa live bali walikua wanachanganya picha za mikutano mingine ushahidi ni video inayoonyesha screen iliyopo uwanjani ambayo kinachoonekana ndicho tunachokiona kwenye tv zetu ikionyesha tofauti na uhalisia.
 
Mikutano ya kampeni ya CCM imekua ikionyeshwa live na Star TV na kuonyesha watu wengi kila mkutano lakini imegundulika ni picha za kutengenezwa jana uwanja wa mashujaa pale Moshi hukua na watu wengi kama ilivyokua inaonyeshwa live bali walikua wanachanganya picha za mikutano mingine ushahidi ni video inayoonyesha screen iliyopo uwanjani ambayo kinachoonekana ndicho tunachokiona kwenye tv zetu ikionyesha tofauti na uhalisia.

Kama hakuwa na watu si ndio ungefurahi sasa vipi sasa unakuja humu kulialia! HAPA KAZI TU!
 
Sikumpenda Lowassa akiwa CCM na nitaendelea kutompenda Lowassa out of CCM. Nampenda Magufuli kwa moyo wangu wote na sitapungukiwa na chochote kwa hilo. Siwezi kumpenda mwezi na mdini
 
Sasa huko CCM mbona wako wezi wengi zaidi!!?? Kuna jamaa anaitwa Ngeleja unamfahamu?? Kuna mwingine anaitwa Chenge a.k.a Mzee wa vijisenti unamfahamu?? Kuna mwingine anaitwa Mama Tibaijuka naye unamfahamu?? na wengine weeeeeeengi.. unaowafahamu..!
Kura yangu nitampa LOWASSA kwa kuichukia CCM.

Sikumpenda Lowassa akiwa CCM na nitaendelea kutompenda Lowassa out of CCM. Nampenda Magufuli kwa moyo wangu wote na sitapungukiwa na chochote kwa hilo. Siwezi kumpenda mwezi na mdini
 
Mikutano ya kampeni ya CCM imekua ikionyeshwa live na Star TV na kuonyesha watu wengi kila mkutano lakini imegundulika ni picha za kutengenezwa jana uwanja wa mashujaa pale Moshi hukua na watu wengi kama ilivyokua inaonyeshwa live bali walikua wanachanganya picha za mikutano mingine ushahidi ni video inayoonyesha screen iliyopo uwanjani ambayo kinachoonekana ndicho tunachokiona kwenye tv zetu ikionyesha tofauti na uhalisia.

Dhambi ya Uongo itakumaliza ,tulikuwepo Moshi
 
Mkuu Anonymous Hui mpango wa kumlaza Edo ukoje maana Uzi umetoweka ghafla kabla hatujachungulia...
 
Last edited by a moderator:
unajitekenya mwenyewe maana hata ITV walionyesha kwenye habari. Watanzania tuneamua sisi ni maghufuli tuuuu

Hata itv wanarusha kwa maagizo na clip kama star tv fuatilia habari zao kama ni mweledi utagundua ushahidi wa video ninao sibhatishi
 
Hiyo aliyerecord hiyo video ndio alikuwa nje ya eneo la tukio,walio mbali walikuwa wanaona kupitia big screen.Kama umefika kwenye shughuli kubwa utajua hii kitu,screen kubwa inaweka mbali ili kuwawezesha watu kuona wasichoweza kukiona wakiwa mbali.ATA KAMA NI KILAZA JIONGEZE KULIKO KUJIOYESHA UKILAZA WAKO HADHARANI

Aliokwambia alikua nje ya eneo la tukio nani video inaonyesha screen iliyo pembeni ya jukwaa inarusha tofauti na uhalisia
 
Muonekano halisi wa eneo na kinachoonekana kwenye screen hii iliopo uwanjani picha nimejaribu kupiga kwenye hiyo video
 

Attachments

  • 1444288413790.jpg
    1444288413790.jpg
    31.1 KB · Views: 649
Muonekano halisi wa eneo na kinachoonekana kwenye screen hii iliopo uwanjani picha nimejaribu kupiga kwenye hiyo video

Hahaha.. watakuambia mchukua video alikuwa mbali apo. Hahaha
hawa jamaa wanajidanganya nyet zao wenyewe
 
Mikutano ya kampeni ya CCM imekua ikionyeshwa live na Star TV na kuonyesha watu wengi kila mkutano lakini imegundulika ni picha za kutengenezwa jana uwanja wa mashujaa pale Moshi hukua na watu wengi kama ilivyokua inaonyeshwa live bali walikua wanachanganya picha za mikutano mingine ushahidi ni video inayoonyesha screen iliyopo uwanjani ambayo kinachoonekana ndicho tunachokiona kwenye tv zetu ikionyesha tofauti na uhalisia.
Khaa!! What's your point?
 
Mikutano ya kampeni ya CCM imekua ikionyeshwa live na Star TV na kuonyesha watu wengi kila mkutano lakini imegundulika ni picha za kutengenezwa jana uwanja wa mashujaa pale Moshi hukua na watu wengi kama ilivyokua inaonyeshwa live bali walikua wanachanganya picha za mikutano mingine ushahidi ni video inayoonyesha screen iliyopo uwanjani ambayo kinachoonekana ndicho tunachokiona kwenye tv zetu ikionyesha tofauti na uhalisia.


Mie nilishaigundua siku nyingi.Maeneo ambayo yanaupinzani mkubwa ndiko maeneo ambayo picha zake zina watu wengi zaidi.Anyway wanajidanganya wenyewe.Pole zao.
 
Back
Top Bottom