Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,129
- 35,146
Mwandishi wa kujitegemea Paschal Mayalla amehoji ni kiasi gani CCM wametumia kulipia matangazo ya kumnadi kupitia Star Tv ambayo yanaoneka zaidi ya mara 100 katika masaa 24 (Wastani wa Tangazo 1 kwa kila baada ya Dakika 15).
Matangazo hayo ni mbali ya matangazo ya Live katika mikutano ya Magufuli katika mikoa mbalimbali.
Pasco amehoji hayo katika kipindi cha jicho letu ndani ya Habari, leo asubuhi Star Tv katika muktadha wa kuzungumzia sheria ya Uchaguzi ya matumizi na mipaka ya gharama za uchaguzi.
Matangazo hayo ni mbali ya matangazo ya Live katika mikutano ya Magufuli katika mikoa mbalimbali.
Pasco amehoji hayo katika kipindi cha jicho letu ndani ya Habari, leo asubuhi Star Tv katika muktadha wa kuzungumzia sheria ya Uchaguzi ya matumizi na mipaka ya gharama za uchaguzi.