Mafuriko mwezi ujao (September 2012)


Kumbe JF ina Nabii wake !
 
Kama mungu ni roho na uwezo wake uko mbali hivyo na uwezo wa binadamu unaotegemea milango mitano ya fahamu, wewe umemjuaje?

Tumwaminie ametujalia roho wa kutambua yale ambayo binadam walio gizan kama wewe hawayawezi,si kwa kuwa hawajapewa uwezo huo lah hasha bali ni kwa kuwa wamejikweza kupita kiasi wakisema wao ni wao katika yote mungu hayupo. Kuamini kwako kuwa mungu hayuko si issue,kwani binadam ano uhuru wakuamini apendavyo,tatizo linakuja pale unapotaka wote tuwaze na tuenende sawa na 'maono' yako mwenyewe huku ukituona kama tu wajinga kwa kuujua ukweli ambao wewe huujui...
 

Sijataka yeyote aende kwa maono yangu.

Nime challenge waamini wanaosema kwamba imani yao ndiyo ya ukweli.

Quite the opposite. Waumini ndo wanataka wote waende kwa imani yao. Wasioamini wana challenge tu.

Ndio maana huwezi kukuta kanisa wala msikiti wa wasioamini on a par with makanisa/misikiti ya waumini.

Get it?
 
 
 
huyu jamma anatuletea habari za enzi za Mchonga meno kwa kuwa alikuwa na tv peke yake pale ikulu akiona jambo anakuja kuhutubia Taifa tunamuona bonge la Mwalimu.

vyombo vya hali ya hewa vinasema kutakuwa na mvua nyingi mtu anaibuka kutuambia kuwa ameoteshwa hu si uhuni jamani
 
 
 
Namuomba Mungu haya machafuko yaanze na mshirikina namba 1 baba mwana..... wa pale feri, Mungu atakuwa ametupunguzi udhia na kichefuchefu cha kuongozwa na wagonjwa wa mwili mpaka akili....
 
Ooh vizuri!

Nilidhani labda wewe hakuna hata moja unaloamini. Kumbe lipo!!

Hakuna asiyeamini hata moja, huyo atakuwa anajidanganya.

Usipoamini hata moja huwezi kutoka kitandani asubuhi. In fact huwezi hata kukilalia kitanda.
 
Hakuna asiyeamini hata moja, huyo atakuwa anajidanganya.

Usipoamini hata moja huwezi kutoka kitandani asubuhi. In fact huwezi hata kukilalia kitanda.

Hmm....imani na kitanda vinahusianaje?
 

kiranga
kama uliisoma kuanzia mwanzo to ufunuo halafu ukarudi kinyumenyume toka ufunuo hadi mwanzo ili uelewe zaidi au?and at that age ya miaka 11 ulikuwa na uelewa na ulichokuwa unasoma kwa tafakuri ya kina?
kama uliisoma katika hiyo age ya miaka 11 no wonder hukuielewa nashauri usome tena sasa ukiwa na akili nzuri iliyojaa mambo mengi yatakayokusaidia kutafakari vzr.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…