Ndiyo maana wengine tushasema kwamba hayupo.
Nyani Gauni;
Matatizo ya kutumia lugha za watu pasipo kuwa umeenda shule ndiyo hayo, matokeo yake unajichora na kujidhalilisha kwenye forum ya dunia nzima.
Chukua darasa kidogo hapa la form one, umoja na uwingi wa Kiingereza.
Umoja: He speaks Sukuma
Uwingi: They speak Sukuma.
Umoja: A volume of a book speaks a lot about Nyani Gauni
Uwingi: Volumes of books speak a lot abot Nyani Gauni
Moreover, I mean't a single volume of books and not volumes of books, doesn't matter whether it exists or not, the issue of its existence or non existence is immaterial here, what matters only is the language, understand student?
Note: Ukiona mtu anapenda sana kujinyanyua nyanyua mwenyewe, ujue aidha shule ni mgogoro au yuko "screw loosed" somewhere kwenye kichwa chake! KALAGABAHO!
speak volumes : to provide a lot of information about something : to show something very clearly
▪ The company's decision to ignore the problem speaks volumes [=says a lot] about its lack of leadership. M-W
speak volumes (about/for something/somebody)
to tell you a lot about something/somebody, without the need for words
His achievement speaks volumes for his determination.
What you wear speaks volumes about you. Oxford
Usiwe unahamasika kama kuleta ugomvi kwenye argument, just be polite and argue, kijana wangu mdogo sana wewe. Sema sina mda wa kushinda janii forums kuandf=ika andika kama wewe. Kama unabisha ni pm nikupe nambayangu ya simu halafu tukutane siku moja tuje tumenyane ana kwa ana si kwa maandishi na ushabiki wa watu wengine ambao hata wanachoongea hawakijui kama akina Nyani Gauni
Ila nadhani una akili nyingi, huwa unatafuta kitu data fulani hapa kijanja. Kwa level ya ufahamu wako ninavyoiona, lazima utakuwa unaigiza,..., kama sivyo, tarajia mambo makubwa sana kutokea katika maisha yako siku moja!
Hamna mungu wala shetani.
Kama idara ya hali ya hewa inaona mvua zinakuja na kukuarifu, na wewe unakaa mabondeni bado, wewe ndiye shetani wako mwenyewe.
Ukiheshimu mazingira na kuhama utakuwa mungu wako mwenyewe.
Kwingine kote tnasingizia tu kwa kukosa kujua.
Inawezekana Mungu amesikia kilio chetu. Angemuangamiza kwanza baba riz ningekuwa na amani ya moyoni...
Kwa nini wewe hujasema na yeye?
Kwa nini yeye awe na obligation ya kusema na wewe tu na si wewe kusema naye?
Unafuga ndevu zinakuwa ndefu hadi karibia magotini halafu unapita mitaani unatangaza kuwa vinyozi hawapo kwa sababu kama wangekuwepo ndevu zako zisingerefuka hadi magotini?
Unataka kinyozi akufuate chumbani kwako aje akunyoe? Kwa nini usiende saloon kama unataka kunyoa hizo ndevu zako? Kaa nazo hadi zitarefuka ziwe zinakatika zenyewe lakini kamwe kinyozi hatakufuata nyumbani kwako.
Ila nadhani una akili nyingi,
huwa unatafuta kitu data fulani hapa
kijanja.
Kwa level ya ufahamu wako ninavyoiona, lazima utakuwa unaigiza,..., kama sivyo, tarajia mambo makubwa sana kutokea katika maisha yako siku moja!
Mkuu ina maana wewe huamini kama kuna mungu na shetani?
"Argumentum ad ignorantium". Yaani hapa mzee unashuka hadhi vibaya sana, shule yote chini! Afadhali hata ya layman ambaye hakugusa hata chaki kabisa!
Huyu hapa scientific process hata redioni hajaisikia.
Bila shaka anafikiri "Burden of proof" ni dawa fulani ya kuua mende, version nyingine ya "Dudu Proof".
Huyu hapa scientific process hata redioni hajaisikia.
Bila shaka anafikiri "Burden of proof" ni dawa fulani ya kuua mende, version nyingine ya "Dudu Proof".
Details huna, una sentensi tu zimejaa kichwani. Wewe tangu lini mtu akang'ang'aniza tools za sayansi zitumike ku-test vitu kwenye spritual world! Ni kama mtu analazimisha umwonyeshe umbile la upendo lilivyo, baada ya kuwa umemwonyesha ng'ombe. Kuanzia leo wewe nimekupa hilo jina la Kalabaho!
Kazi?
Kazi ndiyo kitu gani?
Unajuaje kama mie si mtoto wa kabaila a.k.a "Trust Fund Baby" nakula interest ya investments tu.
Wewe kwa sababu kila mtu unayemfahamu katika dunia yako ni lazima awe anafanya kazi usifikiri kila mtu anahitaji kufanya kazi.
Once again, too many assumptions.
Basi nakimbia, una arguments sana, au anasemaje? Sayansi unaijua? Niliuliza swali, (enquiry mind)
Mi sijibu wanaokimbia. We siye uliyesema nimekukimbia hapa?
Anayesema anaijua sayansi haijui. Wacha mapepe.
Wewe hata quote yako mwenyewe inakusuta.
"Believe those seeking the truth, doubt those who find it"; Andre Gide"