Mafunzo ya njiwa...

Mafunzo ya njiwa...

Nimetamani kufuga hawa ndege kupitia hii thread..

Ntalifanyia kazi tu.
 
aina za njiwa,sonara.tz,chokichoki,kalakala,kisoda
 
Binadamu tumecopy hivi vitu kwa hawa viumbe,yaani njiwa anakupigia romance hadi unasikia raha,wallah hawa viumbe ni wataalamu wa mahaba
Hahahaaa....

Kweli kabisa.
Njiwa wanapomaliza,round wakitaka kwenda round huandaana tena kwa romance na denda, kisha jike anapokuwa tayari, huchuchumaa ndipo dume hujituma shughulini.
 
Mimi nimesikia njiwa ni ndege wa baraka sana kiasi kwamba
kama una mikosi au nuksi kubwa kubwa huwezi kuwafuga
hapa nazungumzia watu kama wauaji
au wachawi sugu nasikia njiwa hawakai majumbani mwao

au watu wenye kufanya taboo kama kutembea mtu na mzazi wake na kadhalika

Hata mimi nishawahi sikia
 
Back
Top Bottom