Mafunzo ya njiwa...

Mafunzo ya njiwa...

Mh,basi hawa viumbe ni waajabu sana


Sijawahi kujaribu kumfunga barua apeleke Tu na I wish nifanye hiyo maana wanasema kua eti ukishamfunga unamuonesha na picha ya yule unaempelekea barua na ukimwambia usiondoke had akujibu akifika huko haondoki had apewe majib arudishe hii sijawah hats ishuhudia na sinaa hakika if so
 
Sijawahi kujaribu kumfunga barua apeleke Tu na I wish nifanye hiyo maana wanasema kua eti ukishamfunga unamuonesha na picha ya yule unaempelekea barua na ukimwambia usiondoke had akujibu akifika huko haondoki had apewe majib arudishe hii sijawah hats ishuhudia na sinaa hakika if so

Hahaha, sijui kama hili jambo lina ukweli wowote ,sasa yeye huyo mtu atampata wap!.....
Anyway labda it's possible ila siku ukijaribu unipe feedback......
 
Dah,wewe kweli unawafahamu njiwa vizuri,nilisikia eti ukichinja njiwa wenzake wakikuona wote wanakimbia na hawarudi tena!!

Jambo hilo ni kweli. Njiwa hukamatwa hata hadharani. Lakini huchinjwa sirini. Kinyume chake wanaruka wote kwa pamoja na kupotea
 
Jambo hilo ni kweli. Njiwa hukamatwa hata hadharani. Lakini huchinjwa sirini. Kinyume chake wanaruka wote kwa pamoja na kupotea


Nini inapelekea hiyo halii ya wao kuruka na kupotea kushuhudia mwenzao akichinjwa
 
Nini inapelekea hiyo halii ya wao kuruka na kupotea kushuhudia mwenzao akichinjwa

Njiwa ni ndege wanaopenda sana amani. Si kuchinjwa tu kunakowatisha. Hata wakivamiwa na paka,nyoka au kup?gwa mawe huruka na kutokomea. Kimsingi,njiwa hapendi usumbufu na kurushwa roho kwa vitisho.
 
Njiwa ni ndege wanaopenda sana amani. Si kuchinjwa tu kunakowatisha. Hata wakivamiwa na paka,nyoka au kup?gwa mawe huruka na kutokomea. Kimsingi,njiwa hapendi usumbufu na kurushwa roho kwa vitisho.


Kingine naskia sio wachoyo huitana Kula pamoja
 
Mimi nimesikia njiwa ni ndege wa baraka sana kiasi kwamba
kama una mikosi au nuksi kubwa kubwa huwezi kuwafuga
hapa nazungumzia watu kama wauaji
au wachawi sugu nasikia njiwa hawakai majumbani mwao

au watu wenye kufanya taboo kama kutembea mtu na mzazi wake na kadhalika
 
Back
Top Bottom