Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,694
- 106,841
Wakuu,
Kikawaida mafundisho ya ndoa za kikatoliki hua kati ya wiki 2 mpaka mwezi 1 lakini katika jimbo XXX (Jimbo katoliki) na parokia zake zote hali ni tofauti kabisa mafundisho ya ndoa ni lazima uhudhurie kwa miezi 9. Watu wamelalama kuhusu hili lakini askofu wala hana habari sana paroko atakwambia kama hujarizika na utaratibu hama Makanisa mengine.
Since utii ndio nguzo ya ukatolikii watu inabidi tuwe wapole tutii...yaani unahudhuria mafundisho mpaka unaweza kuachana bure na mchumba wako mkiwa bado mpo kwenye mafundisho.
Lakini vijana wa hovyo hovyo wamebuni mbinu ya kukwepa miezi hiyo ya mufundisho. Ambayo sitaisema Ili kama paroko au askofu husika akisoma mada hii asigundue siri za kambo😅
___
Unaweza kujiuliza miezi tisa yote hiyo wanafundishwa vitu gani? Wanafundisha vitu viiiingi sana, hadi wanasaikolojia kama Carl Jung na Maria Montessori wanawasoma. Baadhi ni topic zifundishwazo
Chini hapo nitaweka baadhi ya maswali yanayoulizwa kwenye paper.
Wakuu swala hili ni swa kweli jamani kufuata mafundisho kwa muda wote huo?
Kikawaida mafundisho ya ndoa za kikatoliki hua kati ya wiki 2 mpaka mwezi 1 lakini katika jimbo XXX (Jimbo katoliki) na parokia zake zote hali ni tofauti kabisa mafundisho ya ndoa ni lazima uhudhurie kwa miezi 9. Watu wamelalama kuhusu hili lakini askofu wala hana habari sana paroko atakwambia kama hujarizika na utaratibu hama Makanisa mengine.
Since utii ndio nguzo ya ukatolikii watu inabidi tuwe wapole tutii...yaani unahudhuria mafundisho mpaka unaweza kuachana bure na mchumba wako mkiwa bado mpo kwenye mafundisho.
Lakini vijana wa hovyo hovyo wamebuni mbinu ya kukwepa miezi hiyo ya mufundisho. Ambayo sitaisema Ili kama paroko au askofu husika akisoma mada hii asigundue siri za kambo😅
___
Unaweza kujiuliza miezi tisa yote hiyo wanafundishwa vitu gani? Wanafundisha vitu viiiingi sana, hadi wanasaikolojia kama Carl Jung na Maria Montessori wanawasoma. Baadhi ni topic zifundishwazo
- Saikolojia, hasa maswala ya Personalities
- Reproduction
- Genetics
- Malezi ya mtoto from prenatal to postnatal Stage
- Uzazi wa mpango
- Sheria za ndoa KiKatiba
- Sheria za ndoa Kikanisa
- Jinsi ya kumuandaa na kumlizisha mwenza wako kitandani 🤣🤣🤣🏃🏃🏃
- Nk..
Chini hapo nitaweka baadhi ya maswali yanayoulizwa kwenye paper.
Wakuu swala hili ni swa kweli jamani kufuata mafundisho kwa muda wote huo?