Mafundi nisaidieni hichi kitanda ninunue mbao ngapi za mninga?

Mafundi nisaidieni hichi kitanda ninunue mbao ngapi za mninga?

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
3,939
Reaction score
12,429
Habari zenu? Wakuu nisaidieni hapa nahitaji kupunguza gharama, hichi kitanda mafundi wananitaji bei kubwa sana.

Hivyo nimeona ili kupunguza gharama ni bora nikanunue mbao mwenyewe, fundi nitakubaliana naye matengenezo tu vifaa vingine vyote juu yangu. Wajuzi nisaidieni hapo ninunue mbao ngapi na za size ipi? Ahsante.

10BE8E13-A184-4C8D-9025-58D6D3DDDAA4.jpeg
 
2×6 utanunua 10,
1×8 utanunua 4
Ukinunua materials mwenyewe ghalama itakua kubwa zaidi, ongea na fundi akupunguzie bei
Nimekupata, mafundi wengi ni siyo waaminifu, nitanunua mwenyewe kila kitu. Ufundi tu ndio tutakubaliana
 
Ni kizuri kwa muonekano tu.

Nilikinunua kwa watoto ndani ya mwaka kimelegea kila mara kukikaza.

Bora utengeneze cha chuma labda utakuwa ume solve tatizo la kulegea.
 
Back
Top Bottom