Mafisadi kuhamia CHADEMA?

Mafisadi kuhamia CHADEMA?

Hivi ni sahihi mtu kuharibu nyumba yake kwa makusudi na kisha kuhamia nyumba ya jirani. Mimi ni mwana ccm tena ukimichanja damu yangu ni ya ccm. lakini nasema hivi wanao dhani ccm ni mbovu wao ndo wabovu na wahame wote watuachie chama chetu tubaki wapenzi na watu tulio jazwa na misingi na sera nzuri za chama cha mapinduzi tuendelee kukiboresha. Kishinde kisishinde sisi hatung`oki. Watatukuta wakiharibu huko waliko kimbilia, najua watarudi tena baada ya sisi kukisafisha.

Pongezi kwa Comred Kinana na Makamu Mwenyekiti Bara kuturudishia CCM yetu.
 
Kwanza mtoa Mada unajielewa kwel kama unajielewa basi umekulupuka hivi List mafisadi unaijua ungekaa kimya kama unaijua wapo wangapi
 
Walishahamia tayari na sasa ndiyo wasemaji wa kuu wa chadema, na wameajili vijana mitaani na fb na jf wa kuwasemea
 
ange kimbia mkapa na jk ningesema mafisadi wa mehamia chadema na kwenye list ya mafisadi wapo
 
Pesa kuingia kwenye akaunti tu,si ushahidi tosha,suala ni kuwa una ushahidi wa sababu zilizopelekea kuingiziwa hizo Pesa kwa akaunti zake
 
Mboye?
Ushahidi upo soma article vizuri mpaka namba za akaunti na majina ya kampuni yanapatikana!

Tatizo la hawa wapiga dili walikuwa na mipango haramu na nchi yetu siku nyingi. Wamejaribu kuficha maovu yao kupitia mwanvuli wa upinzani siku nyingi kwa kuupinga ufisadi na rushwa hadharani. Kana kwamba haitoshi haohao ndio waliotutangazia orodha ya mafisadi pale mwembeyanga. Mungu huwa hawafichi wanafiki, hatimaye tumejua walichokuwa wanakiwania muda mrefu, tumeanza kuona rangi zao halisi, kumbe ni watu wa dili.

Kuna maneno ya mungu kweye kitabu cha kutoka, namna ya kumpata kiongozi atakayeifaa jamii anayotaka kuitumikia. Mungu anawakataa viongozi wenye kujilimbikizia mali. Lakini watu wanaowaamdaa viongozi wa kuongoza wanatafuta watu wa test yao. Majambazi wanapotaka kuchagua kiongozi wao, hawawezi kumchagua polisi, halikadhalika watu wa dini nao watatafuta mtu wa test yao.

Sasa hawa wapiga dili, muda wote walipokuwa wapinzani walikuwa wanatafuta watu wa test yao kutoka CCM na wamefanikiwa kuwapata, tena wamewapata wale vinara ambao dili moja tu tayari hela zimeanza kuhamishwa, na hapo hawajaingia bado nyumba nyeupe, Je, wakifanikiwa kuiingia nyumba nyeupe itakuwaje? Take care of these hardcore bandits
 
Teh Teh JeiEf katika ubora wake Kumbe jamaa wameanza mkakati wao Long time
 
Back
Top Bottom