HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,363
- 94,543
Biashara ya madini haina ushirikina wowote bali uchimbaji ndio una ushirikina.Je ni kweli biashara hii ya madini inahusika na mambo ya kiushirikina? Tafadhali uwe mkweli hahaah
Biashara ya madini ina ujanja mwingi ambao ukizubaa unalia, unaweza pigwa na anayekuuzia au unayemuuzia