Mafanikio ndani ya biashara ya dhahabu

Soko la dhahabu kwa ajili ya kuja kuuza Dar huwa lipo wapi sasa!? Yani ambapo utanunua kwa jumla uje kuuza kwa faida!?

Vipi kuhusu mambo ya utapeli?
Masoko yote bei huwa zafanana, Kwa Dar watu wengi wanaenda Uza kwa Masonara, pia lile Soko lao pae NHC house Samora limewekwa ili kama mtu anataka Safirisha mzigo basi akakaguliwe pale na kupewa Final docs

Utapeli upo
 
Ndio ila refinery ni gharama kubwa sana hakuna Mtz mmoja mmoja anaweza wekeza ndio maana hata hizi zilizoko Dodoma na Mwanza zimewekezwa kwa ubia wa makampuni ya nje na ya ndani pamoja na serikali

Dhahabu pure yatakiwa iwe 999.9 hapo maana yake madini yoooote yametolewa imebakia Dhahabu tu.
Mkuu nilisikia ya dom waserbia wameweka 15m usd. Wabongo wanazo hizi.
 
Nikiokota dhahabu upenuni wa nyumba yangu. Je Itakuwa yangu au ya serikali??
Au uwanja wangu ukigundulika una hayo. Madini chini je ni yangu au ya serikali!?? AU ntapata nini Mwenye ardhi
 
Ila kiuhalisia huwezi toa dhahabu Msumbiji ukaiuzia Dar ndo maana masoko yamekuwa mengi, umehesabu tu bei ya kuuza hujaweka asilimia ya hiyo dhahabu na 7% ya Serikali na Service Levy. Hivyo haiwezi kuuzwa kwa 125K

Pia kama kainunua kwa 100000 faida yake haitazidi 9000 kwa gram labda asilimia yake iwe 98
Aisee ki hualisia huwezi toa dhahabu msumbiji ukaja uza dar juzi mechi ya simba na yanga aliku hapo alikuja uza mzigo
Leo asubhi yupo njian anakuja dar tena katoka Jana msumbiji mi ndio nimemkatia tiket alntumia pesa.
Ok sijajua sana akirudi kesho kutwa ntamuuliza izo 7% na service levy ipoje
 
Mkuu nashukuru kwa elimu unayotupa. Naomba utuelekeze namna bora ya kuweza kununua dhahabu nchini kwa wachimbaji wadogo na kwenda kuuza nje ya nchi.
 
Nashukuru mkuu mungu akubariki sana umeongeza kitu hapa

Poleni na mfungo ndugu zangu waislam kaka zangu, dada zangu, na wengine wenye umri kama wangu yaani below 25 niulizeni ndugu yenu hapa kijana mwenzenu.

Niulize chochote kuhusu hii biashara nitakujibu.

Chochote kinachokutatiza nitakujibu.

Karibuni kwenye uwanja wa madini msiogope niulize chochote nitakujibu kwa kina. Kama pia una neno unataka kuongezea ni mjuzi pia karibu sana utupe na wewe chochote.

Mkuu nimekutumia ujumbe PM...
 
Aisee ki hualisia huwezi toa dhahabu msumbiji ukaja uza dar juzi mechi ya simba na yanga aliku hapo alikuja uza mzigo
Leo asubhi yupo njian anakuja dar tena katoka Jana msumbiji mi ndio nimemkatia tiket alntumia pesa.
Ok sijajua sana akirudi kesho kutwa ntamuuliza izo 7% na service levy ipoje
Mkuu muombe aje huku atupe mbinu za kwenda hapo msumbiji
pia kama anaweza kumuongoza mtu kumpa abcs.
 
Mkuu bei ya dhahabu inashuka nakupanda kila siku nimetok Dodoma leo naomba nifike sokoni na porin maeneo ya chunya nitakupatia bei harisi kuanzia kesho naomba unisamehe sana ndugu

Nakupongeza kwa moyo wako wa kutuhamasisha wengi tutafute utajiri kupitia dhahabu!
Hongera saana,
Naomba kufahamu kwa Sasa kati ya geita na chunya wapi ni sehemu nzuri ya kwenda kwa mtu anayetaka kuanza hii biashara??
Namaanisha kununua dhahabu kwa wachimbaji wadogo na kuiuza mwa wanunuzi wa kubwa na kati?
 
Nakupongeza kwa moyo wako wa kutuhamasisha wengi tutafute utajiri kupitia dhahabu!
Hongera saana,
Naomba kufahamu kwa Sasa kati ya geita na chunya wapi ni sehemu nzuri ya kwenda kwa mtu anayetaka kuanza hii biashara??
Namaanisha kununua dhahabu kwa wachimbaji wadogo na kuiuza mwa wanunuzi wa kubwa na kati?
Chunya, japo mimi sio mleta mada, ila kwa uzoefu mdogo wa kupita maeneo hayo
 
Hizo crusher ni bei gani na biashara yake inafanyikaje ukishalisimika huko porini?
Mkuu endapo tukikutajia bei utasema tumeleta mada ili tuuze fanya research wew mwenyewe ukiona unaweza kufanya jaribu mkuu
 
Nakupongeza kwa moyo wako wa kutuhamasisha wengi tutafute utajiri kupitia dhahabu!
Hongera saana,
Naomba kufahamu kwa Sasa kati ya geita na chunya wapi ni sehemu nzuri ya kwenda kwa mtu anayetaka kuanza hii biashara??
Namaanisha kununua dhahabu kwa wachimbaji wadogo na kuiuza mwa wanunuzi wa kubwa na kati?
Chunya iko vizuri Sana geita imechimbwa Kwa kiasi kikubwa na pia chunya ni nzuri kwa mtaji mdogo
 
Mkuu nashukuru kwa elimu unayotupa. Naomba utuelekeze namna bora ya kuweza kununua dhahabu nchini kwa wachimbaji wadogo na kwenda kuuza nje ya nchi.
hilo swali nenda kafate taratibu serikalini watakupa muongozo mzima
 
Back
Top Bottom