Umesahau Geita Boss, kuna GGR( Geita gold refinery ) ni mpya.Refinery Tz ziko 2 tu moja Mwanza na nyingine Dodoma
Nahitaji mashine ya kupima purity ya dhahabu naipata wap? Na n bei gani? Asante sanaPoleni na mfungo ndugu zangu waislam kaka zangu, dada zangu, na wengine wenye umri kama wangu yaani below 25 niulizeni ndugu yenu hapa kijana mwenzenu.
Niulize chochote kuhusu hii biashara nitakujibu.
Chochote kinachokutatiza nitakujibu.
Karibuni kwenye uwanja wa madini msiogope niulize chochote nitakujibu kwa kina. Kama pia una neno unataka kuongezea ni mjuzi pia karibu sana utupe na wewe chochote.
Mkuu Root.Masoko yote bei huwa zafanana, Kwa Dar watu wengi wanaenda Uza kwa Masonara, pia lile Soko lao pae NHC house Samora limewekwa ili kama mtu anataka Safirisha mzigo basi akakaguliwe pale na kupewa Final docs
Utapeli upo
Hivi hii GGR iko wapi mkuuUmesahau Geita Boss, kuna GGR( Geita gold refinery ) ni mpya.
Wewe umejikita zaidi kwenye eneo gani huko?Hapana kabisa mimi nathibitisha hili kwa kua nilichopata ndani ya miezi sita tu nithamani ya posho ya mstaafu ambayo nasema kwa uwazi ningekomaa na kusom magari na nyumba nzur ningevisikia kwa balozi wa Tanzania nchini India
Aisee si Bora ukafundishe shule za sekondari alafu baadae ukasome masters na PhD udsm alafu baadae ugombee ubunge upate uwe mbunge mahiri uwe waziri wa maujenzi na miundombinu alafu ugombee urais kimasihara watakusukumizia huko alafu unakuwa raisi wa hii nchi unatukimbizaaaa,walahi tena kemia huwa ina bahati ya kumfanya mkemia kuwa raisi kabisa kabisa jaribu hilo achana na madhahabu mkuuMm ni mkemia nisaidie connection mkuu