Mafanikio kimaisha

Mhhh sijawahi kufikiria "material things" labda, lakini naamini nikiwa "happy" basi maana yake nimefanikiwa kimaisha.

Kwa hiyo kipimo changu cha mafanikio kipo kwenye "furaha" yangu zaidi.

aisee, mi mwenyewe kila siku nafikiria furaha tu.
 

...dahhh, haya tena mwanajamiione hapa unatupiga madongo ambao pamoja na kukumbuka kuomba dua wakati wa shida, tunaipita misikiti na makanisa "kama vituo vya polisi"...
Believe me Mbu, I am among those. Humkumbuka Muumba pale ninapojikuta sina pa kushika! Namshukuru ni Mungu mwenye huruma hata nikimsideline kiasi gani siku nikirudi hunipokea kwa mkono miwili. Jamani ubinadamu kazi
 

enhe braza NN, kwa mtazamo wako...nini kipimo cha mafanikio bana...
ni kutimiza malengo peke yake au ni pamoja na kukubaliana na hali yasipofanikiwa?

The mere fact of me being alive, being in relatively good health, having sound mental faculties, having a roof over my head, and being able to put food on the table is enough success for me.

I have seen a lot of misery in this world. A lot of people have it worse. So to me I don't ask or wish to have a whole lot in life. I'm fine with just the basics.

Therefore, in my quest to attain more than what I already have, win or lose, to me it's all part of life's rich tapestry.
 
Believe me Mbu, I am among those. Humkumbuka Muumba pale ninapojikuta sina pa kushika! Namshukuru ni Mungu mwenye huruma hata nikimsideline kiasi gani siku nikirudi hunipokea kwa mkono miwili. Jamani ubinadamu kazi

MJ1, badilisha hiyo tabia. Tusimkumbuke Mungu pale tu tunapokuwa na shida/matatizo katika maisha hata pale tunapokuwa na mafanikio katika maisha basi inabidi tumshukuru kila siku iendayo kwake. Mimi namshukuru kila siku kwa aliyonijalia hadi sasa.
 

MJ1, badilisha hiyo tabia. Tusimkumbuke Mungu pale tu tunapokuwa na shida/matatizo katika maisha hata pale tunapokuwa na mafanikio katika maisha basi inabidi tumshukuru kila siku iendayo kwake. Mimi namshukuru kila siku kwa aliyonijalia hadi sasa.
Sweetie am trying angalau kwa sasa nawezasema najitahidi! Aksante kwa kunisisitizia darling
 
Huu ni mfano, sina hakika kama ni kweli...

Kuna kijana mmoja wakati alipokuwa na miaka 18 alikuwa na ndoto za kubadilisha dunia... alipofika 22, akagundua dunia ni kubwa akaota kubadilisha nchi yake... alipofika 30, akagundua nchi yake ni kubwa mno, akaota kubadilisha jimbo lake... alipofika 40 akagundua jimboni kwake hata hajafahamika, akaota kubadilisha familia yake, alipofikisha 50, akagundua familia yake imeshakua katika hali na tabia ambayo hawezi tena kuibadilisha, akaamua kuota kujibadilisha mwenyewe... alipofika 60 akaona kuna mambo aliyazoea na alikuwa na nguvu ya kuyafanya ujanani, na asingeweza tena hata kujibadilisha yeye mwenyewe...

Ndipo akagundua; Inabidi mtu uwaze kujashape mwenyewe kwanza, then ukifanikiwa uote kushape familia yako, then ukifanikiwa, jimbo lako, then nchi yako, na ikiwezekana mwisho uwe na ndoto za kushape dunia...

Katika mfano tunaweza ku-replace neno shape na furahisha (kujifurahisha na kufurahisha wengine)...
 
kwa mtu yeyote ile ni famila nzuri,wakati wa raha na wakati wa tabu kushikamana
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Huu ni mfano, sina hakika kama ni kweli...

Kuna kijana mmoja wakati alipokuwa na miaka 18 alikuwa na ndoto za kubadilisha dunia... alipofika 22, akagundua dunia ni kubwa akaota kubadilisha nchi yake... alipofika 30, akagundua nchi yake ni kubwa mno, akaota kubadilisha jimbo lake... alipofika 40 akagundua jimboni kwake hata hajafahamika, akaota kubadilisha familia yake, alipofikisha 50, akagundua familia yake imeshakua katika hali na tabia ambayo hawezi tena kuibadilisha, akaamua kuota kujibadilisha mwenyewe... alipofika 60 akaona kuna mambo aliyazoea na alikuwa na nguvu ya kuyafanya ujanani, na asingeweza tena hata kujibadilisha yeye mwenyewe...

Ndipo akagundua; Inabidi mtu uwaze kujashape mwenyewe kwanza, then ukifanikiwa uote kushape familia yako, then ukifanikiwa, jimbo lako, then nchi yako, na ikiwezekana mwisho uwe na ndoto za kushape dunia...

Katika mfano tunaweza ku-replace neno shape na furahisha (kujifurahisha na kufurahisha wengine)...

safi sana...hii imefanana na;

“First I was dying to finish high school and start college.
And then, I was dying to finish college and start working.
And then, I was dying to marry and have children.
And then, I was dying for my children to grow old enough for school so I could return to work.
And then, I was dying to retire.
And now, I am dying...... And suddenly realise, I forgot to live.”
― Old wisdom
 

usijali mwj1...nimeshamuelewa...anazungumzia self actualization kwenye maslow hierachy!

hierarchy.gif
...lol!
 
MbuKusema ukweli, kufanikiwa kimaisha (being successful) is a very subjective term ambayo mara nyingi huwa pia inategemea na society’s standards. Kwa wengine mafanikio au kufanikiwa inamaanisha kuwa responsible, you make more than enough to pay your bills, you're married with children, you have a college degree and you have a prestigious job. Sure, kila mtu atakuangalia na kukudefine kama mtu mwenye mafanikio. Mara nyingi wengi wetu tunaishi kwa jinsi jamii inavyotumould na kujikuta mtu unajihesabu umefanikiwa kwa kuangalia acknowledgement ya wengine kwako kuwa umefanikiwa. Kwamba kwa wewe kujiita mtu aliyefanikiwa ni lazima kuwe na a general acknowledgement kutoka katika jamii, mfano watu wengi tunamwona Mzee Mengi kama mtu mwenye mafanikio sana

Lakini kama alivyosema Gaijin hapo juu……nani alishawahiuliza kama hawa tunaowaona wana mafanikio kama wana furaha, upendo na amani ndani ya mioyo, familia na nyumba zao?


So to me, being successful ni kuweza kuishi maisha yako to the fullest, ukiwa happy, umezungukwa na amani na upendo no matter una pesa kiasi gani, elimu kiasi gani au materials gani. Uwe na amani, upendo na furaha kiasi cha kuweza kufulfil malengo yako uliyojiwekea maishani.

[/QUOTE) Tukienda kwa jinsi ya mazingira ya ulimwengu ulivyo, hakuna mwanadamu itafika akasema amefanikiwa kwa maana ya kuwa na amani,furaha na upendo. Huwezi kuwa na amani/furaha wakati uhakika wa mlo wa mchana huna, upendo wako utakuwa hauna maana na hautathaminika wakti unaishi maisha ya kimaskini. kadhalka kwa matajiri mahangaiko ni hayo hayo. Bilionea mkubwa ujerumani alijiua kwa kujitupa kwenye njia ya treni wakati wa mwanzo wa recession. Ninachoamini mwanadamu atakuwa na amani, furaha na upendo wa dhati kama atakuwa anajua kusudi la yeye kuishi, na hili linategemea uhusiano wake na muumba wake. ndio maana mfalme suleiman alisema "hakuna jambo kubwa kwa mwandamu kama kula na kunywa na kufurahi kwa yale Mungu amekupa, hiyo nayo yatoka kwake" la sivyo, mambo yote ni ubatili na kujilisha upepo".Ndio maana, mtu ataitwa amefanikiwa kama atafanya kile ambacho Mungu alikusudia akifanye wakati anaishi duniani, ndio sababu maandiko yana sema, "Daudi akiisha kulitumikia kusudi la BWANA, akalala na babaze"
 
Tukienda kwa jinsi ya mazingira ya ulimwengu ulivyo, hakuna mwanadamu itafika akasema amefanikiwa kwa maana ya kuwa na amani,furaha na upendo. Huwezi kuwa na amani/furaha wakati uhakika wa mlo wa mchana huna, upendo wako utakuwa hauna maana na hautathaminika wakti unaishi maisha ya kimaskini. kadhalka kwa matajiri mahangaiko ni hayo hayo. Bilionea mkubwa ujerumani alijiua kwa kujitupa kwenye njia ya treni wakati wa mwanzo wa recession. Ninachoamini mwanadamu atakuwa na amani, furaha na upendo wa dhati kama atakuwa anajua kusudi la yeye kuishi, na hili linategemea uhusiano wake na muumba wake. ndio maana mfalme suleiman alisema "hakuna jambo kubwa kwa mwandamu kama kula na kunywa na kufurahi kwa yale Mungu amekupa, hiyo nayo yatoka kwake" la sivyo, mambo yote ni ubatili na kujilisha upepo".Ndio maana, mtu ataitwa amefanikiwa kama atafanya kile ambacho Mungu alikusudia akifanye wakati anaishi duniani, ndio sababu maandiko yana sema, "Daudi akiisha kulitumikia kusudi la BWANA, akalala na babaze"

....dahhh, nimekusoma vizuri sana....you are spiritual gifted...
je? ushawahi kuliona dirisha hili?...ukilichungua...waweza jitafsiri "mafanikio" yako?

Johari-Window1.png
 
Na kweli mwl.manake kwa wengine mafanikio ni kuwa na familia,extended (manake binamu wa binamu zako),happy and sharing good moments. Kama una hela za kutosha na huna muda na wapendwa wa kufurahia nao maana inatoweka.

Mwanajamii

Si hayo tu, tunaweza kumuona Mengi amefanikiwa kwa standards zetu sisi lakini yeye mwenyewe akadhani hajafanikiwa hata kidogo, na ndo kwnza anasaka mafanikio (hatujui targets zake ni nini)
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
MwaJ

Kuna suala jengine ambalo sijui kama watu wengi wana li-experience lakini lipo. Ile watu kuku judge kuwa everything comes easy for you. Kuwa wewe njia yako ya mafanikio nyepesi na wao zao zimejaa miba na vigae.

G hili lipo sana kuna watu wana ngekewa zao everything they touch turns to gold.



 
Last edited by a moderator:
I lov this sunday chorus ya kutolea sadaka 'count ur blessings,name them one by one. And u will realise what god has done'. That keeps me through. Mamangu alipofariki,I had the courage kumshukuru mungu.na kumuambia asante for this gift.kuna watu hawajawaona mama zao,kuna waliotelekezwa.kuna walioachwa std 1. When I'm sick I thank god for access to doctors and a clean hosp. Ukiwa mtu wa shukrani u don't stress over petty stuff na unajiskia kufanikiwa. Japo haikuzuii kutafuta zaidi. Kama kuna kitu kinaniogopesha ni kupata pesa nyingi mno for I blv when money walks in thru the door love flies through the window (does it take the window too so that mvua nayo ipenye?!)
King'asi acha tu yaani ni kweli kabisa wengi tunapopanga malengo tunafikiria kuwa tumempigia simu MUNGU na ametupa guarantee kuwa yatakuwa. Tunapanga, nitasoma, nitaajiriwa, nitaoa/olewa, nitajenga, nitasomesha watoto........yaani maisha yanakuwa smoothly planned utadhani barabara ya lami kumbe hata nazo siku hizi zina matuta!! MUNGU atusaidie kwa kweli.
 
........aiseee hapa sijui hata nisemeje!! Unaweza kuwa na pesa ukafikiri utafanikiwa kimaisha, lakini ikawa tabu.......huwezi hata kulala vizuri unafikiria mali zako.
Nikisema furaha, furaha haiji bila uhakika wa kula, kulala, na kuvaa vizuri....... ukisema elimu nayo, vile vile tu unaweza ukawa nayo ila afya ikawa mgogoro.Huku kufanikiwa kimaisha ni kupana sana, naweza kujadili hata kurasa 10 hapa.

.....Mie nadhani kufanikiwa kwangu kimaisha ni kuridhika na nilivyo, nilichonacho na uzima Mungu alionijalia.
 
Tukienda kwa jinsi ya mazingira ya ulimwengu ulivyo, hakuna mwanadamu itafika akasema amefanikiwa kwa maana ya kuwa na amani,furaha na upendo. Huwezi kuwa na amani/furaha wakati uhakika wa mlo wa mchana huna, upendo wako utakuwa hauna maana na hautathaminika wakti unaishi maisha ya kimaskini. kadhalka kwa matajiri mahangaiko ni hayo hayo. Bilionea mkubwa ujerumani alijiua kwa kujitupa kwenye njia ya treni wakati wa mwanzo wa recession. Ninachoamini mwanadamu atakuwa na amani, furaha na upendo wa dhati kama atakuwa anajua kusudi la yeye kuishi, na hili linategemea uhusiano wake na muumba wake. ndio maana mfalme suleiman alisema "hakuna jambo kubwa kwa mwandamu kama kula na kunywa na kufurahi kwa yale Mungu amekupa, hiyo nayo yatoka kwake" la sivyo, mambo yote ni ubatili na kujilisha upepo".Ndio maana, mtu ataitwa amefanikiwa kama atafanya kile ambacho Mungu alikusudia akifanye wakati anaishi duniani, ndio sababu maandiko yana sema, "Daudi akiisha kulitumikia kusudi la BWANA, akalala na babaze"
msafi, aksante sana kwa angalizo hilo. Kusudio la kuishi........................ hivi ni wangapi wanjua makusudio yao?! Mie kusema ukweli nakiri kuwa weak wenye hii angle. Nadhani ndio maana mambo hayako sawa, I need a therapy.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom