Mafanikio kimaisha

Unaona sasa! Afu watu kama hawa ur worries are not their worries! Ukienda kijijini mtu anakutambulisha wanae sita hawana hata kaptula,afu mkewe anatoka huko ndani ana mimba unastuka unaunganishia na kikohozi,lol
king'asti umesema la maana sana...the higher we climb the harder we fall...!
unajua, nikiwa nje ya jiji hasa dar....huwa nawa admire furaha yao hawa wenzetu wanaoishi
maisha ya kijijini...

wakishajitosheleza kwa mazao na mifugo tu...wanaonekana 'hawana' presha nyingine za maisha.


tanz+village+to+dar.jpg
...correct me if am wrong, otherwise i bet am going nutter huh!
 

...umenigusa kwenye jambo la muhimu sana maishani mwangu.
nadhani binafsi katika kitu muhimu kinachokosekana maishani mwangu kuweza ku justify
mafanikio ya maisha yangu ni mwenza wa aina hiyo....pheewww!

mwj1 tuoane basi, nipo tayari kukuombea talaka kwa mumeo...lol!


Mbu uko kwenye msitari maadamu umeshajua pengo liko wapi, fanya assessment ya maisha yako je unadhani hilo pengo linaathiri kwa kiasi gani maisha yako? Kwa sababu inawezekana ukahisi unamiss love kumbe it is not love that you are missing! Define vizuri ni mahusiano gani yatafulfil mafanikio yako na kisha upange mikakati ya kuyapata. Nakumbuka kwenye post yako moja umezungumzia kama ungeweza kumpata mwanamke asie na uwezo wa kuzaa au mwenye watoto wake (I took it kuwa huhitaji kuwa na mtoto mwingine kwa mama huyu mpya- forgive me kama nilikuelewa sivyo) so if this is the case ni bora ukaangalia uwezekano wake.

Lol kuhusu kuniombea talaka, si mpaka akubali kuitoa!!
 
Mhhh mkuu Mbu
Safari ya maisha bado ndefu sana na haina mahali utasema hapa nimefikia mwisho.
Hata safari yangu ya maisha japo nina vitu basic ambavyo ni vya muhimu kwa maisha bado natamani hiki na kile
Bado natamani niwe na kile na kile na hiki na hiki
Kweli maisha ni safari na sidhani kama nitafikia sehem ambako nitasema hapa nimefikia kilele cha mafanikio.

mr rocky,...kwa mtazamo wako huu unamaanisha kutimiza matamanio yetu ndiyo yanayoashiria mafanikio yetu,
na as long as matamanio hayeshi itakuwa ngumu kupima mafanikio au sio?


Mbu

kujua dira na kuweza kuifuata ni vitu viwili tofauti. Sometimes unakuwa influenced na vitu vyengine na kukutoa kwenye njia uliyojiwekea

The thing is sometimes you don't know your strength.

Labda nikijipangia mafanikio ni lazima niwe na kampuni yangu yenye kutoa ajira kwa watu walau 50 ninaweza kufika huko lakini kama sijajiwekea hayo malengo naweza wala nisihangaike kufika. Kwa hiyo kuwa too cautious nayo inaweza kukuondolea fursa za kufanya makubwa zaidi (kupata mafanikio makubwa?!?)

...gaijin wewe ni mwalimu mzuri sana...
hilo la kuwa too cautious linatuathiri watu wengi nikiwamo mimi mwenyewe...
i wish ningekuwa mwepesi wa ku take risks hah!

kuna haja ya kuitafuta ile hadithi ya 'little frog'

 
...kuna hii inspirational story niliwahi kuisoma miaka ya nyuma, si vibaya nikishare nanyi;

This is a story about mind over matter….

There once was a bunch of tiny frogs who arranged a climbing competition. The goal was to reach the top of a very high tower.

A big crowd had gathered around the tower to see the race and cheer on the contestants.

And the race began…..

Honestly, no one in the crowd really believed the tiny frogs would reach the top of the tower.

Heard throughout the race were statements such as,

"Oh, way too difficult,"
"They will never make it to the top,"
"Not a chance they will succeed,"
"The tower is too high."
"They will all fall down"
"It's impossible!"
"Who do they think they are? Spiderman?"

and so on…

Sure enough, the tiny frogs began collapsing, one by one-except for those who, in a fresh tempo, were climbing higher and higher.

The crowd continued to yell, "It is too difficult! No one will ever make it!"

More tiny frogs got tired and gave up.

Most believed that the crowd are probably right….
"It's impossible!"

But ONE continued to climb higher and higher.

This one refused to give up!

The crowd continued to berate and snicker at him. But this frog just wouldn't give up!

At the end of the race, all had given up climbing the tower except for the one tiny frog who, after a big effort, was the only one who reached the top!

Thrilled, all of the other tiny frogs wanted to know how this one frog managed to do it. They asked him how he had found the strength to succeed and reach the goal.

It turned out…… that the winning frog was DEAF!!!!


The wisdom of this story is: Never listen to other people's tendencies to be negative or pessimistic...
…because they will take your most wonderful dreams and wishes away from you. The ones that you have in your heart!

ALWAYS be…POSITIVE!

Keep a positive outlook because everything you hear and read will affect your actions!

And above all, be DEAF when people tell YOU that YOU can not fulfill YOUR dreams!

Be the little frog which defies the negative thinking by being deaf to them.
Be a positive influencer to others.

More importantly, YOU must not be the ONE who tell yourself you cant do it! It is bad enough that people around you give you negative thoughts, you should not be joining their club! Always remember that. Do not sabotage yourself, your life, your dream...

You know, inside your heart, You Can Do It!

Share this message other "tiny frogs" you care about by clicking "Share" in this post. Give them some motivation!!!
 
Kwani Mbu uliweka kwenye mafanikio yako parameter hiyo? lol

Kama hujaweka si haihusu? au ndio ile unakuwa umejiwekea lakini hujijui :[

...gaijin we acha tu ndugu yangu...wiki hii najihisi kama mfiwa aliyepoteza muelekeo baada ya kuondokewa na mtu wake wa karibu...najiuliza maswali mengi bila majibu...labda kwa thread hii naweza ona 'nyota ya jaha' kwenye kiza kilichonizunguka..!
 


hilo la kuwa too cautious linatuathiri watu wengi nikiwamo mimi mwenyewe...
i wish ningekuwa mwepesi wa ku take risks hah!

kuna haja ya kuitafuta ile hadithi ya 'little frog'


Naamini wengi tunaathirika hapo unless uwe na backup ya kuku-encourage na kuku cheer up hata pale unapokosea au unaposhindwa kufika mafanikio unayoyataka mara moja

Hapa nadhani ndo msingi mzima wa ile kuzungukwa na wanaokupena. Kwa waliokuwa weshakuwa watu wazima labda wanataka partner lakini kwa wale waliokuwa vijana wadogo bado kuna family inaweza kuziba pengo hilo.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu

..gaijin wewe ni mwalimu mzuri sana...
hilo la kuwa too cautious linatuathiri watu wengi nikiwamo mimi mwenyewe...
i wish ningekuwa mwepesi wa ku take risks hah!

kuna haja ya kuitafuta ile hadithi ya 'little frog'


...kuna hii inspirational story niliwahi kuisoma miaka ya nyuma, si vibaya nikishare nanyi;

[/h]
Mbu sasa hapa naona two way conflicts eh.............the first is the struggle to change your inner mindset and be able to take risk! and the second to be able to turn DEAF to people's whinning!

Dah................leo umenipa mtihani wa maisha rafiki.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Tatizo letu tunakisa flexibility. Aso na hili ana lile, we don't count our blessings! Mapema leo nilipita hosp kumuona kijana wa 27 yrs old mwenye leukemia.I knew the boy 4 yrs ago,he married 2 yrs and got a cute lil boy.he had dreams na mambo ndo kwanza yananyooka.nice job,nyumba inaisha... Bt looks terminal. All he wants is to hold his wife's and son's hands though he can't grip. Dude,life is today.count ur blessings na utagundua mengi ambayo mungu keshakujalia
 
Naamini wengi tunaathirika hapo unless uwe na backup ya kuku-encourage na kuku cheer up hata pale unapokosea au unaposhindwa kufika mafanikio unayoyataka mara moja

Hapa nadhani ndo msingi mzima wa ile kuzungukwa na wanaokupena. Kwa waliokuwa weshakuwa watu wazima labda wanataka partner lakini kwa wale waliokuwa vijana wadogo bado kuna family inaweza kuziba pengo hilo.

Gaijin kuwa flexible ni sehemu ya kuzingatia unapopanga malengo yako. Njiani kunaups and downs ambazo zinawezaathiri safari yako kufikia huko utakako. Ni vema tukaitambua hili kisha kujiwekea 'nafasi' ya kusit down na kupanga Plan B incase A inafall.
 




Mbu sasa hapa naona two way conflicts eh.............the first is the struggle to change your inner mindset and be able to take risk! and the second to be able to turn DEAF to people's whinning!

Dah................leo umenipa mtihani wa maisha rafiki.

MwaJ

Kuna suala jengine ambalo sijui kama watu wengi wana li-experience lakini lipo. Ile watu kuku judge kuwa everything comes easy for you. Kuwa wewe njia yako ya mafanikio nyepesi na wao zao zimejaa miba na vigae.
 
Tatizo letu tunakisa flexibility. Aso na hili ana lile, we don't count our blessings! Mapema leo nilipita hosp kumuona kijana wa 27 yrs old mwenye leukemia.I knew the boy 4 yrs ago,he married 2 yrs and got a cute lil boy.he had dreams na mambo ndo kwanza yananyooka.nice job,nyumba inaisha... Bt looks terminal. All he wants is to hold his wife's and son's hands though he can't grip. Dude,life is today.count ur blessings na utagundua mengi ambayo mungu keshakujalia

King'asi acha tu yaani ni kweli kabisa wengi tunapopanga malengo tunafikiria kuwa tumempigia simu MUNGU na ametupa guarantee kuwa yatakuwa. Tunapanga, nitasoma, nitaajiriwa, nitaoa/olewa, nitajenga, nitasomesha watoto........yaani maisha yanakuwa smoothly planned utadhani barabara ya lami kumbe hata nazo siku hizi zina matuta!! MUNGU atusaidie kwa kweli.
 
Mhhh sijawahi kufikiria "material things" labda, lakini naamini nikiwa "happy" basi maana yake nimefanikiwa kimaisha.

Kwa hiyo kipimo changu cha mafanikio kipo kwenye "furaha" yangu zaidi.

Furaha kwangu binafsi inahusisha vitu vinavyogawanyika kwenye mafungu mawili.

1) Nikiwa kwenye uhusiano mzuri na watu ninaowapenda nakuwa na furaha. Na ili niwe kwenye uhusiano mzuri na watu natumia kanuni ya kuwa mkweli ( to be me), kutoingilia maisha ya watu wengine, kuwa mcheshi kwa watu (though sometimes hii huibua tatizo)

2) Huwa na furaha nikiweza kufanya yale yanayonivutia na kunipendeza (hobbies) pamoja na kusambaza furaha kwa wengine (charities and presents). Ili niweze kufika hapo, nahitaji pesa.

Kikwazo kikubwa nafikiri kinakuja kwenye means za kutafuta pesa yenyewe. Mimi nakwenda na kanuni kuwa kazi si kazi unless iwe nafurahia kuifanya hata iwe na mshahara kiasi gani.

Umesema kipimo chako cha mafanikio kipo kwenye furaha yako zaidi na umeorodhesha mambo au vitu viwili ambavyo hukupa furaha.

Kwa kuangalia hayo mambo ambayo hukupa furaha, je, sasa hivi wewe ni mtu mwenye furaha?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
King'asi acha tu yaani ni kweli kabisa wengi tunapopanga malengo tunafikiria kuwa tumempigia simu MUNGU na ametupa guarantee kuwa yatakuwa. Tunapanga, nitasoma, nitaajiriwa, nitaoa/olewa, nitajenga, nitasomesha watoto........yaani maisha yanakuwa smoothly planned utadhani barabara ya lami kumbe hata nazo siku hizi zina matuta!! MUNGU atusaidie kwa kweli.

Lakini Mungu hajakataza kujipangia.

Kuna maandiko ya Kiislam ambayo yanasema "Ishi duniani kama utaishi milele, na fanya ibada kama leo ni siku yako ya mwisho"

Kwa hiyo mipango mingi ni ruhsa :]
 
MwaJ

Kuna suala jengine ambalo sijui kama watu wengi wana li-experience lakini lipo. Ile watu kuku judge kuwa everything comes easy for you. Kuwa wewe njia yako ya mafanikio nyepesi na wao zao zimejaa miba na vigae.
Gaijin usinikumbushe, mwe nina wifi yangu yaani yeye kila siku analia shida (simsemi vibaya) but jinsi anavyolalamika ni kama vile wewe ndie umeshikilia njia zote za mafanikio. Mpaka huwa namwambia usilalamike sana wifi saa nyingine maneno na malalamishi yanaumba, utakuwa mtu wa shida wewe kila uchao.

Yaani acha tu. Hii thread Mbu kuna analontafuta kusema ukweli si bure!
 
Tatizo letu tunakisa flexibility. Aso na hili ana lile, we don't count our blessings! Mapema leo nilipita hosp kumuona kijana wa 27 yrs old mwenye leukemia.I knew the boy 4 yrs ago,he married 2 yrs and got a cute lil boy.he had dreams na mambo ndo kwanza yananyooka.nice job,nyumba inaisha... Bt looks terminal. All he wants is to hold his wife's and son's hands though he can't grip. Dude,life is today.count ur blessings na utagundua mengi ambayo mungu keshakujalia

Gaijin kuwa flexible ni sehemu ya kuzingatia unapopanga malengo yako. Njiani kunaups and downs ambazo zinawezaathiri safari yako kufikia huko utakako. Ni vema tukaitambua hili kisha kujiwekea 'nafasi' ya kusit down na kupanga Plan B incase A inafall.


...dahhh, mwj1 hilo la kuwa na plans A, B, hata C linaweza ku apply kwa vitu vyote?...nitaku challenge ukose majibu,..lol..

...king'asti nimekusoma, umetoa ushuhuda mzuri sana, infact...wakati wachangiaji wa awali wameandika
posts zao, kidogo nilijumuishe na hili la kuwa na afya njema ni la msingi kuliko yote! bila afya njema wandugu
kila kitu ni bure...!
 
Umesema kipimo chako cha mafanikio kwenye furaha yako zaidi na umeorodhesha mambo au vitu viwili ambavyo hukupa furaha.

Kwa kuangalia hayo mambo ambayo hukupa furaha, je, sasa hivi wewe ni mtu mwenye furaha?

Yes Sir I am ...:]
 
Lakini Mungu hajakataza kujipangia.

Kuna maandiko ya Kiislam ambayo yanasema "Ishi duniani kama utaishi milele, na fanya ibada kama leo ni siku yako ya mwisho"

Kwa hiyo mipango mingi ni ruhsa :]

Nakubali kabisa Gaijin nilikuwa naweka msisitizo kwenye post ya King'asti ya sisi kusahau kukubali kuwa flexible. Utakuta mtu maengo yake yamekatishwa na lets say ugonjwa, ajali n.k basi kila kitu kinakufa na anageuka omba omba. Huwa ninaangalia sana kipindi cha Miracles.....wenzetu wenye ufahamu huwa ni rahic kusimama tena after falling but sio wengi wetu!.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
King'asi acha tu yaani ni kweli kabisa wengi tunapopanga malengo tunafikiria kuwa tumempigia simu MUNGU na ametupa guarantee kuwa yatakuwa. Tunapanga, nitasoma, nitaajiriwa, nitaoa/olewa, nitajenga, nitasomesha watoto........yaani maisha yanakuwa smoothly planned utadhani barabara ya lami kumbe hata nazo siku hizi zina matuta!! MUNGU atusaidie kwa kweli.

...dahhh, haya tena mwanajamiione hapa unatupiga madongo ambao pamoja na kukumbuka kuomba dua wakati wa shida, tunaipita misikiti na makanisa "kama vituo vya polisi"...
 


...dahhh, mwj1 hilo la kuwa na plans A, B, hata C linaweza ku apply kwa vitu vyote?...nitaku challenge ukose majibu,..lol..
...king'asti nimekusoma, umetoa ushuhuda mzuri sana, infact...wakati wachangiaji wa awali wameandika
posts zao, kidogo nilijumuishe na hili la kuwa na afya njema ni la msingi kuliko yote! bila afya njema wandugu
kila kitu ni bure...!
Hah usiogope kukosa kwangu majibu Mbu ni sehemu yangu ya kujifunza ujue. Yes nadhani inaapply kwka sehemu zote ingawa si kawaida yetu kuplan.

Nakubaliana nawe kwenye ishu ya Afya njema.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom