Maeneo yapi yana vibe kwa Iringa?

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,428
40,416
Wakuu mambo vipi?

Kutokana na joto kuzidi huku niliko, imenibidi nipange safari ya kuelekea mikoa ya kusini angalau niweze kushangaa shangaa na kuota baridi; nitaanza na mkoa wa Iringa na baadaye Ruvuma.

Sasa nataka nijue kwa wale waliotembelea maeneo hayo, hasa Iringa, ni sehemu gani nzuri unaweza kupata 'vibe' ya kutosha pamoja na kuondoa 'stress' za hapa na pale?

Nikipata pisi kali ya kuniongoza itakuwa vizuri pia.
 
Nenda Miami night Club, au kule Miyomboni. Kuna ka bar fulani hivi kako ghorofani. Kuna siku nilienda kuchungulia, halafu nikaondoka.

Pia jirani na chuo cha Rucu kuna Bar moja nayo iko na vibe sana! All in all, ukiwauliza Bodaboda, watakufikisha kwenye machimbo yote.
 
Nenda Miami night Club, au kule Miyomboni. Kuna ka bar fulani hivi kako ghorofani. Kuna siku nilienda kuchungulia, halafu nikaondoka.

Pia jirani na chuo cha Rucu kuna Bar moja nayo iko na vibe sana! All in all, ukiwauliza Bodaboda, watakufikisha kwenye machimbo yote.
Asante sana, angalau nimepata pa kuanzia
 
Wakuu mambo vipi?

Kutokana na joto kuzidi huku niliko, imenibidi nipange safari ya kuelekea mikoa ya kusini angalau niweze kushangaa shangaa na kuota baridi; nitaanza na mkoa wa Iringa na baadaye Ruvuma.

Sasa nataka nijue kwa wale waliotembelea maeneo hayo, hasa Iringa, ni sehemu gani nzuri, unaweza kupata 'vibe' ya kutosha, pamoja na kuondoa 'stress' za hapa na pale?

Nikipata pisi kali ya kuniongoza itakuwa vizuri pia.​
Usisahau condom mkuu
 
Back
Top Bottom