The Stranger
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 270
- 246
- Thread starter
- #61
Kweli mzee.. niko makin sana na hilo.. maeneo ya uswazi haya hapana aseeshauri yakoo, wee ingia cha kike tuu, kuna mitaa / maeneo ukihamia tuu, mkeo anakuwa kigodoro, wanao nao wanakuwa mateja na machangudoa……. eti sijui kwa mpalanghheee, sijui tandika, kwa mtoghole, kwa mama zakhari, ohoooo watu washa umia na majuto ni mjukuuu