Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,146
- 34,190
Yeah na wewe pia dummy.Una mdomo mchafu sana wewe binti, unamuita mwenzako Dummy??
Yeah na wewe pia dummy.Una mdomo mchafu sana wewe binti, unamuita mwenzako Dummy??
Kigamboni kupo poa kero ni moja tu hiyo kuingia na kutoka lazima ulipie pantoni darajani.Hello guys!!
Niaje, nivipi ndugu zanguni. Hivi jamani ni maeneo gani mazuri kwa kupanga nyumba nzuri lakini affordable na kuishi jijini Dar. Napata shida kidogo kuchagua.
Mbezi, Kimara, Ubungo, Kinondon, Kigambon, Gomes, Chanika, Pugu, Kivule, Sinza,..n.k
Ni sehemu gani nzuri?
Nb: Distance does't matter!
Ndio mchezo wako huo, mwone ulivyo kichwa chakoYeah na wewe pia dummy.
Mtoni kijichi au Vikunai
Niliemjibu tulikuwa tunazungumzia kununua viwanja na kujenga.Mtoa mada anazungumzia nyumba ya kupanga.
Hahahahaaa... Mbezi makabe patam sana..yaani siku nikichill home nasahau kabisa kama nipo Dar...ni milio ya ndege tu na upepo mwanana. Nakaaga nazima TV au Radio niuskie tu ule utulivu aisee so wonderfulHapana. Hapana. Hapana.
Siku sema where civilization ends.
🙊🙊🤣🤣🏃♀️🏃♀️
Mimi naona akiishi maeneo kama hayo hawezi kuwa mjanja. Ni vema kama akikaa sehemu zenye changamoto za vibaka, maji, umeme na barabara zisizopitika msimu wa Mvua.Una mke? Au mke na mtoto/watoto? Na mwaka wa4 toka nianze kupanga sijawai toka nje na mbezi Beach asee huku ni raha sana. Maji 24hrs, umeme sio wa shida, hakuna vibaka watu wanajiheshimu sana inshort hakuna uswahili. Bei za vyumba ni affordabe kabisa.
Una uwezo wa kulipa kodi ya miezi mingapi? Nikupe nyumba sinza, fanced, 2 bedrooms, jiko psmetulia mnoYeah, sure.. 250k maximum mwisho
🤣🤣🤣🤣Ndio mchezo wako huo, mwone ulivyo kichwa chako
Vikunai ni mbele ya kijichiNdio wapi huko? Vikunai
Akili zimekuzidi huwa napenda unavyojenga hoja ila upunguze lugha kali wewe ni zaidi ya hizo lugha kali🤣🤣🤣🤣
kibovu kabisa hiki
Hakuna maji visima hata upake mafuta nikazi bure nendo kinondoni au tabata
unainjoy kushinda sport bar au escrow eti ee ,geza kunamaji ya dawasa ndg yanguJamani mpo kigamboni ipi iyo mbona mimi naenjoy sana
unainjoy kushinda sport bar au escrow eti ee ,geza kunamaji ya dawasa ndg yangu
unainjoy kushinda sport bar au escrow eti ee ,geza kunamaji ya dawasa ndg yangu
ok mkuu jina unaitwa Nani?Sport bar kiwanja changu kabisa
ok mkuu jina unaitwa Nani?