Niko batchelor tu.. nyumba huko zinarange ngap, mana nasikia ni kodi mlima
Dah kweli maisha yapo kasi sana..mm naishi nyumba yenye sifa kama hizi na nnalipa laki na nusuKawaida sana, mimi nyumba ya rooms 2 master, sebule kubwa, aluminium, tank la maji lako, luku ya kwako kuna jiko na public toilet bila sahau tiles na gypsum nalipa 350k kwa mwezi
Wapi huko mzeeDah kweli maisha yapo kasi sana..mm naishi nyumba yenye sifa kama hizi na nnalipa laki na nusu
Nyie jamaa mnazingua.. mbezi beach nyumba si expensive sana..mbezi beach
Nenda Tabata.Karibu Tabata hutajuta!
Ngja nikapacheck huko.. ni kigamboni kwa mbele si ndioNjoo mwandege, vikindu au kimanzichana
Huko kumejaa vibaka na majambazi.Kigamboni
Kwangu mimi Mbezi ya kimara ni sehemu nzuri ya kuishi.Hello guys!!
Niaje, nivipi ndugu zanguni. Hivi jamani ni maeneo gani mazuri kwa kupanga nyumba nzuri lakini affordable na kuishi jijini Dar. Napata shida kidogo kuchagua.
Mbezi, Kimara, Ubungo, Kinondon, Kigambon, Gomes, Chanika, Pugu, Kivule, Sinza,..n.k
Ni sehemu gani nzuri?
Nb: Distance does't matter!
Kinondoni. Bunju viwanja vya mradi alfu 20. Pamepimwa. Vina hati. Pamepangika. Kuna soko kubwa. Mandhari nzuri yenye upepo miti na rutubaHello guys!!
Niaje, nivipi ndugu zanguni. Hivi jamani ni maeneo gani mazuri kwa kupanga nyumba nzuri lakini affordable na kuishi jijini Dar. Napata shida kidogo kuchagua.
Mbezi, Kimara, Ubungo, Kinondon, Kigambon, Gomes, Chanika, Pugu, Kivule, Sinza,..n.k
Ni sehemu gani nzuri?
Nb: Distance does't matter!
BUZAHello guys!!
Niaje, nivipi ndugu zanguni. Hivi jamani ni maeneo gani mazuri kwa kupanga nyumba nzuri lakini affordable na kuishi jijini Dar. Napata shida kidogo kuchagua.
Mbezi, Kimara, Ubungo, Kinondon, Kigambon, Gomes, Chanika, Pugu, Kivule, Sinza,..n.k
Ni sehemu gani nzuri?
Nb: Distance does't matter!
Mh! UongoooKawaida sana, mimi nyumba ya rooms 2 master, sebule kubwa, aluminium, tank la maji lako, luku ya kwako kuna jiko na public toilet bila sahau tiles na gypsum nalipa 350k kwa mwezi