Akilihuru
JF-Expert Member
- May 20, 2022
- 1,444
- 2,833
Kwema ndugu, natumai kila mtu ni mzima wa afya.
Sinza na Kinondoni ni kata mbili tofauti zilizopo katika mkoa wetu mzuri wa Dar es salaam.
SINZA ambayo inatambulika kuwa kwa wajanja, ipo katika wilaya ya Ubungo na ni miongoni mwa maeneo yenye starehe nyingi na kubwa hapa Dar es salaam. Sinza inaongoza kuwa na baa nyingi kiasi kwamba inakisiwa kuwa kila katika nyumba tatu basi moja ni baa. Lakini vile vile Sinza inaongoza kuwa na madada poa wengi wanaojiuza hovyo barabarani.
Pia Sinza ipo vizuri kibiashara maana kuna watu hutoka maeneo mbali mbali ya mkoa wa Dar es salaam huja Sinza kutembea na wengine kula bata. Ndo maana kuna sehem panaitwa Sinza madukani. Yani maduka kibao na bado watu wanauza deile.
Kuhusu watu na maendeleo Sinza ina mchanganyiko wa watu wa vipato tofauti. Kuna wa vipato vya juu, kati na vya chini. Na imeendelea kimtindo, kuna viji sahanati vya mitaani, barabara za mitaani japo baadhi kwa sasa zimeshakuwi hazifai, na huduma zingine za kijamii. Sinza mijengo mingi mizuri ila ni ya kizamani.
Nyumba za ibada misikiti na makanisa pia zipo.
KINONDONI ambayo inatambulika kuwa kwa watukutu, kama jina lake linavyojieleza yenyewe ipo katika wilaya ya Kinondoni, pia ni miongoni mwa maeneo yenye starehe nyingi na kubwa pia hapa Dar es salaam. Kinondoni pia ina baa nyingi, na inaongoza kwa kuwa na kumbi mbali mbali za starehe kiasi kwamba kuna baadhi ya maeneo watu huwa hawalali kutokana na sauti kubwa za miziki kutoka katika kumbi hizo. Vilevile Kinondoni kuna madada poa wakumwaga tu kiasi kwamba kila mtu ana urahisi wa kusafisha 'bunduki' kwa buku tu.
Kibiashara nayo Kinondoni haipo nyuma, maduka ya kumwaga kiasi ya kwamba mtu hauwezi jua uingie duka gani.
Kuhusu watu na maendeleo Kinondoni pia ina mchanganyiko wa watu wa vipato tofauti. Kuna wa vipato vya juu, vya kati na vya chini. Pia kuhusu maendeleo imeendelea kimtindo, kuna zahanati nyingi, barabara za mitaani na huduma nyingine za kijamii. Pia Kinondoni ina majumba mazuri mazuri na zilizochoka ni chache sana. Nyumba za ibada misikiti na makanisa zipo kadhaa.
Sasa ndugu mwanaJF ukiambiwa uchague wapi pa kwenda kuishi utachagua wapi?
Sinza na Kinondoni ni kata mbili tofauti zilizopo katika mkoa wetu mzuri wa Dar es salaam.
SINZA ambayo inatambulika kuwa kwa wajanja, ipo katika wilaya ya Ubungo na ni miongoni mwa maeneo yenye starehe nyingi na kubwa hapa Dar es salaam. Sinza inaongoza kuwa na baa nyingi kiasi kwamba inakisiwa kuwa kila katika nyumba tatu basi moja ni baa. Lakini vile vile Sinza inaongoza kuwa na madada poa wengi wanaojiuza hovyo barabarani.
Pia Sinza ipo vizuri kibiashara maana kuna watu hutoka maeneo mbali mbali ya mkoa wa Dar es salaam huja Sinza kutembea na wengine kula bata. Ndo maana kuna sehem panaitwa Sinza madukani. Yani maduka kibao na bado watu wanauza deile.
Kuhusu watu na maendeleo Sinza ina mchanganyiko wa watu wa vipato tofauti. Kuna wa vipato vya juu, kati na vya chini. Na imeendelea kimtindo, kuna viji sahanati vya mitaani, barabara za mitaani japo baadhi kwa sasa zimeshakuwi hazifai, na huduma zingine za kijamii. Sinza mijengo mingi mizuri ila ni ya kizamani.
Nyumba za ibada misikiti na makanisa pia zipo.
KINONDONI ambayo inatambulika kuwa kwa watukutu, kama jina lake linavyojieleza yenyewe ipo katika wilaya ya Kinondoni, pia ni miongoni mwa maeneo yenye starehe nyingi na kubwa pia hapa Dar es salaam. Kinondoni pia ina baa nyingi, na inaongoza kwa kuwa na kumbi mbali mbali za starehe kiasi kwamba kuna baadhi ya maeneo watu huwa hawalali kutokana na sauti kubwa za miziki kutoka katika kumbi hizo. Vilevile Kinondoni kuna madada poa wakumwaga tu kiasi kwamba kila mtu ana urahisi wa kusafisha 'bunduki' kwa buku tu.
Kibiashara nayo Kinondoni haipo nyuma, maduka ya kumwaga kiasi ya kwamba mtu hauwezi jua uingie duka gani.
Kuhusu watu na maendeleo Kinondoni pia ina mchanganyiko wa watu wa vipato tofauti. Kuna wa vipato vya juu, vya kati na vya chini. Pia kuhusu maendeleo imeendelea kimtindo, kuna zahanati nyingi, barabara za mitaani na huduma nyingine za kijamii. Pia Kinondoni ina majumba mazuri mazuri na zilizochoka ni chache sana. Nyumba za ibada misikiti na makanisa zipo kadhaa.
Sasa ndugu mwanaJF ukiambiwa uchague wapi pa kwenda kuishi utachagua wapi?