BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,218
- 39,048
Mh! Uongooo
Wewe ndo unalipa kodi?
Mh! Uongooo
Dah kweli maisha yapo kasi sana..mm naishi nyumba yenye sifa kama hizi na nnalipa laki na nusu
Hii ni sawa.Kawaida sana, mimi nyumba ya rooms 2 master, sebule kubwa, aluminium, tank la maji lako, luku ya kwako kuna jiko na public toilet bila sahau tiles na gypsum nalipa 350k kwa mwezi
Mkuu mi mbona nalipa 250k room master na sebule na kijiko cha kimtindo Ilala hiyo lakini.Hivi mnaolipa kodi 150k na zaidi mnafanya mishe gani hapa mjini mpaka mnapata hizo pesa?
Ni vyema ukaweka price range, italeta maana zaidi.kupanga nyumba nzuri lakini affordable
7M kwa mwezi mwanzo nilikua napaogopa kumbe bei rahisi tu
Palm village mall mikocheni unapata apartment kwa bei rahisi tu mkuu 7M kwa mwezi unalipia miez 6 mwanzo nilikua napaogopa kumbe bei rahisi tu 42M tu kwa miez 6 na pametulia sana
Wapi? Huko kamandaDuuu kwel maisha yanatofautina,me nalipa 70k chumba na sebule,na bado kuna washkaj zangu wanaona natupa hela et
Nipo tiptop bossWapi? Huko kamanda
Anhaa! na maji yapo ndani?Nipo tiptop boss
Yaaah ya dawasco,mwenye nyumba anatukingisha mia mia kwa ndoo,baada ya wapuuzi flani bili ikija ya maji wanagoma kulipa dadeq,can u imagine tulikuwa tunalipa 3000-5000 ila kuna masela walikaza et "mm mwezi huu sijatumia maji sana" dadeqAnhaa! na maji yapo ndani?
Kwetu ni poa kabisa, kama UlayaMtoni kijichi au Vikunai
Amesitisha lakini tatizo sasa yeye hakutafutii nyumba.Hivi lukuvi si alisitisha malipo kwa dalali kutoka kwa mteja au bado
Mbezi beach siku hizi bei za kawaida.Kawaida sana, mimi nyumba ya rooms 2 master, sebule kubwa, aluminium, tank la maji lako, luku ya kwako kuna jiko na public toilet bila sahau tiles na gypsum nalipa 350k kwa mwezi
.. dah, hapa hapana aseeBUZA