Maendeleo ya China yaliletwa na Katiba Mpya?

Maendeleo ya China yaliletwa na Katiba Mpya?

China maendeleo ni sababu ya idadi kubwa ya watu, hakuna sababu nyingine. Wangekua 50 million jamaa wangekua masikini tu. China ina masikini wengi kuliko bongo, nenda China ukashuhudie. Nchi ina watu zaidi ya bilioni its obvious lazima itakua na pesa nyingi maana work force ni kubwa mno, sawa na India, ni moja ya super powers sababu ya idadi kubwa ya watu ila wananchi wengi masikini, 1% tu ndiyo wanafaidika na uchumi walionao, wengine wote wanaishi maisha ya ovyo tu.
 
Sawa leteni hayo maendeleo basi mpo madarakani over fifty years, bado nchi inategemea mawazo ya mtu mmoja.
Kama kwenye Chama tunavyo mtegemea 'DJ' atulete mabadiliko ya demokrasia na uelewa wetu.
 
China maendeleo ni sababu ya idadi kubwa ya watu, hakuna sababu nyingine. Wangekua 50 million jamaa wangekua masikini tu. China ina masikini wengi kuliko bongo, nenda China ukashuhudie. Nchi ina watu zaidi ya bilioni its obvious lazima itakua na pesa nyingi maana work force ni kubwa mno, sawa na India, ni moja ya super powers sababu ya idadi kubwa ya watu ila wananchi wengi masikini, 1% tu ndiyo wanafaidika na uchumi walionao, wengine wote wanaishi maisha ya ovyo tu.
Kuna documentary kuhusu uzazi wa mpango China unavyoleta matatizo hasa vijijini. Kila familia inataka mtoto wa kiume hii imesababisha uhaba wa wanawake wa kuoa.

Ni matajiri tu wanaomudu kuwapatia vijana wao wake. Maisha ya masikini ambao ndiyo wengi wanalala na kuku na bata ndani kama huku kwetu Tandahimba.

Nilielewa ni kwanini deadly flu inaikumba sana China, kuku na bata wanapata flu na maambukizi ni rahisi
 
Siasa safi za kuua watu na kuminya demokrasia, siasa safi za kuiba kura, siasa safi za kuweka makada kuanzia kwenye tume mpaka wasimamizi, siasa safi za kutwangwa risasi pale unapokosolewa, acheni hizo hizo, siasa safi kwa kuwapa upendeleo mtu hata darasa la 7 hujui kamaliza shule gani, wengine unawatimua, siasa safi fanyeni kitu kwa haki kama mtaona mtu akilalamika, kuna mengi tu ya kusema ambayo yanaleta hasira, halafu yoote hayo hamyaoni, nitaomba yawakute ndio ujue hizi ni siasa safi
Kama vitu hivyo vipo kwenye vyama venu msingekuwa na viongozi wa maisha au ma 'Ayatollah '' wenu au Akina fulani tu Ndio viongozi wa kanisa
 
Mnavyosema China China wanamaendeleo zaidi ya Nani nenda kaangalie per capital yao uone Mchina mmoja ana kiasi gani kwa mwaka. Je wamezidi ujerumani, japan, korea, US, Canada au hata nchi yeyote ya Europe hapana na per capital ni ndogo kuliko Botswana!. Ni sawasawa Africa ingekuwa nchi moja tujiite matajiri kwasababu tunachukuliwa kama nchi mmoja lakini ukiweka average income in masikini wa kutupa.

China wapo 1.3 B ! hivyo huwezi kulinganisha na Japan au TZ. Vilevile jiulize kwanini wa China wanakimbilia US, Canada na mpaka Africa kama kwao poa mbona US hawakimbilii China. Nchi zote kubwa zenye maendeleo demokrasia ni muhimu sana kwasabau inasababisha watu kuwa wabunufi. Japan, Korea, Jerumani mbona wanaendelea kwasababu gani..... ubunifi wa teknologia na jiulize utapaje ubunifi kama hakuna haki.

China ni mzuri kwa ku copy na Trump anamkabili kwa kuiba technologia wakati wana watu 1.3B kwasababu usikokuwa huru huwezi kuwa mbunifi. Utajiri wa wenzetu siku hizi ni technologia kampuni kubwa kuliko zote duniani sio Coca cola wala kampuni za magari au ndege ni kampini ya simu apple.
 
Yaliletwa na nidhamu, maono na nia ya dhati kwa waliokuwa madarakani.
Hapa hatunavyo, angalau katiba itatuweka kwenye mstari.
 
Kuhusu ujumbe wa pasaka wa Maaskofu kama ulivyotolewa yeyote anayeupinga aupinge kwa hoja na kuonyesha kuwa yaliyosemwa na viongozi hawa ni uongo. Kuujibu waraka kwa propaganda ni kuwakosea Maaskofu.
Kuhusu Maendeleo ya China, Urusi, nk viz-a-viz Katiba Mpya na Vyama vingi; soma history ya Global Economics kwasababu sera za kiuchumi za Nchi yoyote duniani huweza kuathiri Nchi nyingine yoyote either positively or negatively. Inategemeana na Nchi husika inajiandaaje kufaidika na loop hole yoyote inayotokezea duniani. China was able to utilize each and every chance/opportunity happened at its disposal. And right now, it is not slumbering. That's why akina Trump wanatunga high tariffs against aluminium and steel imports from China. Kwahiyo ndugu yangu hata huko nyuma tulikuwa na viwanda lakini watu ama kwa kutokutii katiba au katiba kuwa legevu na kulindana kwa makusudi na chama kuwa juu ya kila kitu viwanda vingi hivyo vikafa. Vyama vingi vimewezesha Nchi angalau kwa kiasi fulanj kupata maendeleo japo bado tupo nyuma. Nadhani wafahamu vyema hilo. Kwahiyo hoja ya maaskofu bado ni valid kuwa [HASHTAG]#KatibaMpya[/HASHTAG] hasa ya maoni ya wananchi yapaswa kurejeshwa ili kuliwezesha taifa kuwa na maendeleo endelevu.
[HASHTAG]#KiongoziMzalendoSiyoMbadalaWaKatibaMpya[/HASHTAG].
 
ukiwa kama mkongwe hapa JF nasema SHAME ON YOU
It is true you should feel a shame of yourself for accepting your teacher to be a STD II leaver while u r in STD IIV.
 
Kuhusu ujumbe wa pasaka wa Maaskofu kama ulivyotolewa yeyote anayeupinga aupinge kwa hoja na kuonyesha kuwa yaliyosemwa na viongozi hawa ni uongo. Kuujibu waraka kwa propaganda ni kuwakosea Maaskofu.
Kuhusu Maendeleo ya China, Urusi, nk viz-a-viz Katiba Mpya na Vyama vingi; soma history ya Global Economics kwasababu sera za kiuchumi za Nchi yoyote duniani huweza kuathiri Nchi nyingine yoyote either positively or negatively. Inategemeana na Nchi husika inajiandaaje kufaidika na loop hole yoyote inayotokezea duniani. China was able to utilize each and every chance/opportunity happened at its disposal. And right now, it is not slumbering. That's why akina Trump wanatunga high tariffs against aluminium and steel imports from China. Kwahiyo ndugu yangu hata huko nyuma tulikuwa na viwanda lakini watu kutokutii katiba viwanda hivyo vikafa. Nadhani wafahamu vyema hilo. Kwahiyo hoja ya maaskofu bado ni valid kuwa [HASHTAG]#KatibaMpya[/HASHTAG] hasa ya maoni ya wananchi yapaswa kurejeshwa ili kuliwezesha taifa kuwa na maendeleo endelevu.
[HASHTAG]#KiongoziMzalendoSiyoMbadalaWaKatibaMpya[/HASHTAG].
Si why did Russia failed , a part from starting with political reforms and the so called Glasnot , while china begun with economic reforms . Mpaka Leo hii Gorbachev anajuta kufuata HiyoGlasnost . Go to Singapore advocated by their forefather and then Malaysia which was ruled by Mahamit ??? For over 20 years and c what was the cornerstone of their development even India na Rushwa zao na ukwepaji kodi
 
Ndiyo, katiba mpya imewasaidia China kwenye maendeleo yao. Kwani maendeleo ya China yameanza kuwa recognized miaka ipi?

Kuanzia mwaka 1911, wachina wamekuwa wakibadili katiba ama kuifanyia amendments(recently mwaka huu 2018)

Hadi sasa, wameshafanya hivyo mara 12. Mwaka wa 1954, ndipo wali adapt constitution ya kwanza ya “People’s Republic of China”, ambayo ndiyo iliwapeleka officially kwenye mfumo wa communism.

Kwa maana nyingine, hii ni katiba ya 12 kwa wachina toka mwaka 1911.

Mkuu usijiunge kwenye propaganda na kuazisha threads nyepesi nyepesi...njoo na facts.
Kwa Hiyo tufuate katiba ipi?? Ya CUF Seif, ya CDM DJ, Ya ACT , ya CCM, Ya USA ya kuta Gun Controll Kama Obam alivyo pendekezo au ya Trump kwamba tuwaachie tu Watu wa fuate utashi wao au hii ya Donald Trump ya American first wakati sisi na kutokujielewa kwetu kuachia kila kitu na kufikiria maendeleo yanakuja tu. Bila kujenga super structure za uchumi kwanza. Ndio democracy utaweza kuiendeleza vizuri .
 
Kumekuwepo na kelele kiasi toka kwa baadhi ya Watu ambao wanataka kufunganisha maendeleo ya Nchi yetu na Katiba Mpya au kwa kifupi maendeleo yanaendana na Katiba wanazofikiria wao zitawapa ''fursa''
Kwa mfano ndani ya KKKT tumeshihudia migogoro kadha sasa sijui wao Hiyo katiba mpya wataianzisha lini?? Na kuna viongozi wa Kiroho ambao utajiri wao unatokana na kuwadhulumu waumini wao kwa njia moja au nyingine ndio Maana hutakuta vitabu vyao vya mahesabu kuwa wazi zaidi ya kuwa somea waumini wao taarifa wanazo taka wao.
Ukija kwenye vyama vya siasa hadithi ni Hiyo Hiyo wakati wao wenyewe demokrasia wanayo ipigia kelele hawaienzi.
Ukija kwenye Suala la Maendeleo mfano china na mabadiliko Yao ya kiuchumi tunaona wame weza kufanya hivyo bila vyama vingi Bali kwa kuimarisha mifumo Yao ya kiutendaji wakati urusi walikwenda na Glasnot matokeo yake sote tunayajua Gorbachev akakosa nchi na Yeltsin na ulevi wake Ndio aka tawala nchi , matokeo yake nchi ilipojitambua wakamleta Putin ambaye Yupo madarakani kwa miongo miwili sasa.
Ukija hizo nchi za ulaya iwe Germany ya Hitler na wengineo tuangalie walivyo piga hatua za maendeleo ilikuwa kwa sababu ya katiba mpya au demokrasia au lilikuwa ni suala la uzalishaji na usimamiaji wa itikadi inayolenga ktk maendeleo.
Mimi nionavyo tupate maendeleo kwanza Ndio tutaweza kuweka hizo rangi zingine kulemba maendeleo yetu na sio kulemba kitu ambacho hatuna.
Kulemba ama ni Kuremba? Wanaume wa dar bhana.
 
chief kuna mahusiano makubwa kati ya katiba bora na maendeleo!. Marekani ndyo taifa tajiri duniani lkn ukiangalia siri ya mafanikio yao, utagundua ubora wa katiba yao umechangia pakubwa . katiba inayosisitiza nchi kwanza hlf maslahi ya mtu mmoja mmoja ndyo yanafuata sio huku bongo rais kapewa madaraka makubwa mpk anaamua kujenga airport kwao ambayo ni useless huku wanafunzi wanasomea nje kwa kukosa madarasa
Mkuu Hii Katiba ni ya miaka mingi sana, kwa namna moja au nyingine irekebishwe kuendana na mazingira ya sasa.
 
Mnavyosema China China wanamaendeleo zaidi ya Nani nenda kaangalie per capital yao uone Mchina mmoja ana kiasi gani kwa mwaka. Je wamezidi ujerumani, japan, korea, US, Canada au hata nchi yeyote ya Europe hapana na per capital ni ndogo kuliko Botswana!.
Wewe huoni kuwa hizo GDP ni Eurocentric, na ziliwekwa kwa manufaa ya nchi husika?

Vilevile jiulize kwanini wa China wanakimbilia US, Canada na mpaka Africa kama kwao poa mbona US hawakimbilii China.

Huwa kuna msemo US unasema, "corporation are people" na makampuni ya Marekani mengi yalikimbilia China hilo unasemaje?

Nchi zote kubwa zenye maendeleo demokrasia ni muhimu sana kwasabau inasababisha watu kuwa wabunufi. Japan, Korea, Jerumani mbona wanaendelea kwasababu gani..... ubunifi wa teknologia na jiulize utapaje ubunifi kama hakuna haki.

Demokrasia unaielewaje wewe mwenzetu? Hivi nchi moja kukaliwa kijeshi na nchi nyingine hiyo nayo ni demokrasia kwako?

China ni mzuri kwa ku copy na Trump anamkabili kwa kuiba technologia wakati wana watu 1.3B kwasababu usikokuwa huru huwezi kuwa mbunifi. .

Hata wizi wa malighafi nao pia ni wizi, mbwa kala mbwa.

Utajiri wa wenzetu siku hizi ni technologia kampuni kubwa kuliko zote duniani sio Coca cola wala kampuni za magari au ndege ni kampini ya simu apple.

Wewe hata huelewi tofauti ya thamani ya brand, ukubwa wa kampuni (kimapato) na wala huelewi teknolojia ni nini. kwa taarifa yako makapuni matano makubwa duniani kimapato ni ya nishati na wala siyo ya "technologia" kama ulivyosema, japokuwa yote yanatumia tekinolojia kuendeshwa.
 
Kumekuwepo na kelele kiasi toka kwa baadhi ya Watu ambao wanataka kufunganisha maendeleo ya Nchi yetu na Katiba Mpya au kwa kifupi maendeleo yanaendana na Katiba wanazofikiria wao zitawapa ''fursa''
Kwa mfano ndani ya KKKT tumeshihudia migogoro kadha sasa sijui wao Hiyo katiba mpya wataianzisha lini?? Na kuna viongozi wa Kiroho ambao utajiri wao unatokana na kuwadhulumu waumini wao kwa njia moja au nyingine ndio Maana hutakuta vitabu vyao vya mahesabu kuwa wazi zaidi ya kuwa somea waumini wao taarifa wanazo taka wao.
Ukija kwenye vyama vya siasa hadithi ni Hiyo Hiyo wakati wao wenyewe demokrasia wanayo ipigia kelele hawaienzi.
Ukija kwenye Suala la Maendeleo mfano china na mabadiliko Yao ya kiuchumi tunaona wame weza kufanya hivyo bila vyama vingi Bali kwa kuimarisha mifumo Yao ya kiutendaji wakati urusi walikwenda na Glasnot matokeo yake sote tunayajua Gorbachev akakosa nchi na Yeltsin na ulevi wake Ndio aka tawala nchi , matokeo yake nchi ilipojitambua wakamleta Putin ambaye Yupo madarakani kwa miongo miwili sasa.
Ukija hizo nchi za ulaya iwe Germany ya Hitler na wengineo tuangalie walivyo piga hatua za maendeleo ilikuwa kwa sababu ya katiba mpya au demokrasia au lilikuwa ni suala la uzalishaji na usimamiaji wa itikadi inayolenga ktk maendeleo.
Mimi nionavyo tupate maendeleo kwanza Ndio tutaweza kuweka hizo rangi zingine kulemba maendeleo yetu na sio kulemba kitu ambacho hatuna.
bila katiba kuweka mifumo mizuri ya kupata viongozi bora hayo maendeleo yatakuja vipi?
 
Ninachosema mimi ni kuwa inatangulia dhamira ya utawala na uongozi bora ndipo katiba inatengenezwa sio kudai tu katiba mpya pasipo kujua kwa hakika nini unahitaji katika katiba hiyo. Katiba peke yake haikamilishi utawala bora. Yapo mambo mengi ikiwemo dhamira njema ya wananchi. Kama wananchi watauchukia uongozi kwa kuuchukia tu hata wasione mazuri ya uongozi huo hata katiba ya aina gani ije wataipinga tu. Tumeyaona hayo katika nchi nyingi. Rwanda wananchi wake wameiona dhamira njema ya uongozi uliopo na wameungana na kuiunga mkono kwa nguvu na nchi inakwenda. Katiba iliyobadilishwa majuzi imetokana na dhamira ya wananchi. Tunaona nchi nyingi sana zinafuata mwelekeo huo. China wamefanya hilo na nchi nyingine. Dhamira njema ya watu inaweza kuleta katiba nzuri sana itakayolingana na matakwa yao. Tunadai katiba mpya, sawa lakini dhamira yetu sisi wananchi ni ipi? Kenya walidai katiba mpya wakaipata. Hata hiyo baada ya muda wameiona ina mapungufu makubwa na wameanza kufikiri kurekebisha maeneo fulani fulani. Hii inaleta swali katika dhamira waliokuwa nayo wakati wa kudai katiba mpya. Hiyo ndiyo maana yangu.

kwanini unazungumzia dhamira njema ya wananchi na huzungumzii dhamira njema ya serikali? naona uko too much emotional hta hatari iliyoko mbele yetu huioni!.Mi ntakupa mfano hai wa hii katiba itakavyotugharimu huko mbele....Tume ya uchaguzi haipo huru inafanya kazi kwa maelekezo, kwa hyo fairness hakuna na serikali iliyopo madarakani inatumia hyo advantage ya mapungufu hyo ya katiba kukandamiza wapinzani sasa siku wapinzani wakisema "sasa basi". Amani yetu itakuwa mashakani na amani ikiwa mashakani ina maana maendeleo yetu yatakuwa mashakani pia na hpa ndyo unapopata muunganiko wa katiba bora na maendeleo....nimekupa mfano wa kipengele kimoja tu cha kwenye katiba kinachoweza kutuletea maafa siku moja wenzetu kenya ilichukua roho za watu 1000 ili kupata katiba ambayo ipo fair kwa kila upande
 
Kumekuwepo na kelele kiasi toka kwa baadhi ya Watu ambao wanataka kufunganisha maendeleo ya Nchi yetu na Katiba Mpya au kwa kifupi maendeleo yanaendana na Katiba wanazofikiria wao zitawapa ''fursa''

Kwa mfano ndani ya KKKT tumeshihudia migogoro kadha sasa sijui wao Hiyo katiba mpya wataianzisha lini?

Na kuna viongozi wa Kiroho ambao utajiri wao unatokana na kuwadhulumu waumini wao kwa njia moja au nyingine ndio Maana hutakuta vitabu vyao vya mahesabu kuwa wazi zaidi ya kuwa somea waumini wao taarifa wanazo taka wao.

Ukija kwenye vyama vya siasa hadithi ni Hiyo Hiyo wakati wao wenyewe demokrasia wanayo ipigia kelele hawaienzi.

Ukija kwenye Suala la Maendeleo mfano china na mabadiliko Yao ya kiuchumi tunaona wame weza kufanya hivyo bila vyama vingi Bali kwa kuimarisha mifumo Yao ya kiutendaji wakati urusi walikwenda na Glasnot matokeo yake sote tunayajua Gorbachev akakosa nchi na Yeltsin na ulevi wake Ndio aka tawala nchi , matokeo yake nchi ilipojitambua wakamleta Putin ambaye Yupo madarakani kwa miongo miwili sasa.

Ukija hizo nchi za ulaya iwe Germany ya Hitler na wengineo tuangalie walivyo piga hatua za maendeleo ilikuwa kwa sababu ya katiba mpya au demokrasia au lilikuwa ni suala la uzalishaji na usimamiaji wa itikadi inayolenga ktk maendeleo.

Mimi nionavyo tupate maendeleo kwanza Ndio tutaweza kuweka hizo rangi zingine kulemba maendeleo yetu na sio kulemba kitu ambacho hatuna.
Huku ni kufilisika kifikra kwa kiwango kisichoelezeka, Hivi Unajua gharama ya maendeleo bila uhuru kweli wewe....?Unataka theluthi ya watanzania watolewe kafara ili magorofa yajengwe alafu bado wabaki kwenye magereza ya kifikra....magereza ya kihuni kuliko unavyoweza kufikiri...kafara ya maisha milioni 30 unazani hio inawaacha wachina salama mpk leo pamoja na maendeleo superficial (skyscrapers ndo zinakudanganya?) walio nayo yatokanayo na utegemezi wa kifikra na wizi wizi wa kimawazo mpk kesho.

Kwa sababu ya kuzima uhuru wa kifikra mpaka kesho na kesho kutwa hata mchina aendelee kiasi gani anajua kua kifikra ni mdhaifu kuliko mtu yeyote aliepata maendeleo katika uhuru wa fikra zake...Licha ya mchina kuabudu ngozi nyeupe (dalili dhahiri ya utumwa wa kifikra)...wala haiitajiki kwenda mbali wachina raia wananchi wanaikubali sana vibe ya kikorea....korea kusini ni taifa dogo lakini linainfluence kubwa sana kifikra kwa wachina wananchi....funguka macho ndugu na wewe pia ni binadamu suala la uhuru si la kiitikadi ni basic instinct ya ubinadamu.

Unless you dont have tht basic desire to be respected and to be dignified...u just wish to stay in tht perpertual state of inferiority and as an African the humiliation.....(which makes you something else but a human being) endelea tuu kudanganyika na skyscrapers.

Jaribu usome kidogo hii labda utafunguka kidogo

The Cultural Revolution: all you need to know about China's political convulsion
 
Back
Top Bottom