KUKU PORI
Member
- Nov 18, 2013
- 93
- 40
Mataifa makubwa yote duniani hasa yenye maendeleo makubwa kama marekani, uingereza China, frence Russia n.k ni mataifa yaliyoendelea kwanza ndio yakaleta kitu kinaitwa democracy
Kihistoria maendeleo yanaaza kwanza ndio ustarabu unafuata ndio msingi wa maendeleo
Ila mataifa haya makubwa yamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kutuaminisha kuwa ili uweze kuendelea lazima uwe na democracy kitu ambacho wao hawakuwa nacho mpaka walipoendelea.
Dini haijawahi kuleta maendeleo katika nchi maana ulaya ilikuwa chini ya Roma mpaka mapinduzi yalipotokea walipinduliwa na wafanyabiashara wakubwa ndipo tunapoaaza kuzungumzia maendeleo ya nchi hizio.
Watanzania hatuelewi nini tunataka.
Kihistoria maendeleo yanaaza kwanza ndio ustarabu unafuata ndio msingi wa maendeleo
Ila mataifa haya makubwa yamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kutuaminisha kuwa ili uweze kuendelea lazima uwe na democracy kitu ambacho wao hawakuwa nacho mpaka walipoendelea.
Dini haijawahi kuleta maendeleo katika nchi maana ulaya ilikuwa chini ya Roma mpaka mapinduzi yalipotokea walipinduliwa na wafanyabiashara wakubwa ndipo tunapoaaza kuzungumzia maendeleo ya nchi hizio.
Watanzania hatuelewi nini tunataka.