Though sitaki kuamini,kweli hujui kuwa Tanzania tuna MTU anaitwa rais kwa kuwa katiba yetu ya 1977 inatoa cheo hicho? Sasa huyo kiongozi bora na siasa safi unavipataje kama hauna katiba bora? Jamani sometimes tufikirie na kutanda kama watu wenye akiliHatuji ila tutasema. Maendeleo ya China yameletwa na uongozi bora. Maendeleo ya Rwanda yameletwa na uongozi bora. Mwalimu alisema: "Ili tuendelee tunahitaji watu siasa safi na uongozi bora." Hakusema na katiba mpya. Maendeleo ya Tanzania yataletwa na uongozi bora. Watu wakiuunga mkono uongozi wa Awamu ya 5, kama walivyounga mkono uongozi wa awamu zote tutapata maendeleo. Tunaona itihada za Raisi wa awamu ya 5 katika kuleta uongozi bora nchini.Bial shaka hatua za kuelekea kupata maendeleo zimekwisha anza kuonekana.
Uongozi bora huu wa vituko vya kudanganya wananchi yakuwa umeokota vichwa vya treni Bandarini kisha ukavinunua? Au ungozi bora huu wakuongopea wananchi yakuwa wanaume Accacia wamekubali kutulipa mabillioni yetu ambapo imebaki kuwa historia? Au huu wa watu wasiojulikana wanaeua na kuteka watu bila kukaripia? Au huu wa kubagua wananchi kwa tamka hawa ndio walio nipigia kura hivyo wana haki zaidi ya wale? Au wa hivi vituko vya kutotaka kukosolewa pale unapokosea? Au wakudanganya wale wa Tanzania wapumbavu kuwa nchi yetu inapesa nyingi hatuitaji misaada kutoka nje wakati tunaomba mikopo kila siku? Au uongozi huu unaye mkataza mtoto wa kike aliyobakwa na kupata mimba kutoendelea na masomo? Au uongozi huu wakuwatolea maneno yakejeli na kuwanyima pesa za misaada wahanga Tetemeko huko Bukoba? Hivi unahisi Watanzania wa leo bado ni vilaza kiasi hicho? Kwa uwezo wako wakufikiri hapa JF siyo sehemu yake, hapa wengi wameelimika ukitaka kuamini angalia comments za humu utagundua vilaza mpo wachache sana.Hatuji ila tutasema. Maendeleo ya China yameletwa na uongozi bora. Maendeleo ya Rwanda yameletwa na uongozi bora. Mwalimu alisema: "Ili tuendelee tunahitaji watu siasa safi na uongozi bora." Hakusema na katiba mpya. Maendeleo ya Tanzania yataletwa na uongozi bora. Watu wakiuunga mkono uongozi wa Awamu ya 5, kama walivyounga mkono uongozi wa awamu zote tutapata maendeleo. Tunaona itihada za Raisi wa awamu ya 5 katika kuleta uongozi bora nchini.Bial shaka hatua za kuelekea kupata maendeleo zimekwisha anza kuonekana.
Kwa hiyo akikaa miaka 7 ndio tutapata maendeleo?
Hahaaaa yamboo:usilinganinshe China na Tanzania kwa sababu zifuatazo
1) China hakuna wajinga kama bongo
2) level ya maendeleo kijamii na kielimu ni tofauti kabisa
3)China hakuna dubwasha linaloitwa ccm
4) Katiba yao sio mbovu kama yenu vile vile raisi wao haamkia asubuhi na kutoa matamko au kukirupuka kwenda kujenga airport bush kwao
5)raisi hateui watu hovyo hovyo hasa wananchi wakionesha kutokumkubali mfano bashite wenu
Mengine waweza ongezea maana unayajua sema unaleta uhayawani
Asieee nakushauri soma watu huko nyuma wamemwaga madiniHuyu ndiye rais safi Kabisa kwa Maendeleo yetu, mambo ya katiba mpya haina maana tusipojitambua kuwa kufanya kazi kwa bidii na kusimamia vema rasmali zenu ndiyo msingi imara wa katiba tunayotaka, makanisani hawana muda wa kuhubiri kazi, kutwa sadaka nautoaji sasa wameanza katiba mpya
Huyu ndiye rais safi Kabisa kwa Maendeleo yetu, mambo ya katiba mpya haina maana tusipojitambua kuwa kufanya kazi kwa bidii na kusimamia vema rasmali zenu ndiyo msingi imara wa katiba tunayotaka, makanisani hawana muda wa kuhubiri kazi, kutwa sadaka nautoaji sasa wameanza katiba mpya
Unachanganya mambo. Ulipaswa ujikite kuelezea uhusiano kati ya maendeleo na katiba.Kumekuwepo na kelele kiasi toka kwa baadhi ya Watu ambao wanataka kufunganisha maendeleo ya Nchi yetu na Katiba Mpya au kwa kifupi maendeleo yanaendana na Katiba wanazofikiria wao zitawapa ''fursa''
Kwa mfano ndani ya KKKT tumeshihudia migogoro kadha sasa sijui wao Hiyo katiba mpya wataianzisha lini?? Na kuna viongozi wa Kiroho ambao utajiri wao unatokana na kuwadhulumu waumini wao kwa njia moja au nyingine ndio Maana hutakuta vitabu vyao vya mahesabu kuwa wazi zaidi ya kuwa somea waumini wao taarifa wanazo taka wao.
Ukija kwenye vyama vya siasa hadithi ni Hiyo Hiyo wakati wao wenyewe demokrasia wanayo ipigia kelele hawaienzi.
Ukija kwenye Suala la Maendeleo mfano china na mabadiliko Yao ya kiuchumi tunaona wame weza kufanya hivyo bila vyama vingi Bali kwa kuimarisha mifumo Yao ya kiutendaji wakati urusi walikwenda na Glasnot matokeo yake sote tunayajua Gorbachev akakosa nchi na Yeltsin na ulevi wake Ndio aka tawala nchi , matokeo yake nchi ilipojitambua wakamleta Putin ambaye Yupo madarakani kwa miongo miwili sasa.
Ukija hizo nchi za ulaya iwe Germany ya Hitler na wengineo tuangalie walivyo piga hatua za maendeleo ilikuwa kwa sababu ya katiba mpya au demokrasia au lilikuwa ni suala la uzalishaji na usimamiaji wa itikadi inayolenga ktk maendeleo.
Mimi nionavyo tupate maendeleo kwanza Ndio tutaweza kuweka hizo rangi zingine kulemba maendeleo yetu na sio kulemba kitu ambacho hatuna.
Tofautisha chama na nchi hii ni nchi ya watanzania wote tusio na vyama kama ww mwanaccm na tusio na dini vilevile maendeleao hayaji bila ya utaratibu mzuri utaratibu huo ambao unapatikana kwenye katiba hata nyerere mwanzilishi wachama chako alizungumza juu ya kuheshimu katibaWewe wasema ndio sera zenu Ndio Maana hamtaki mabadiliko ndani ya nyumba zenu au vyama vyenu. Akitawala fulani hakuna demokrasia lakini akiwepo Yule wa darasa la saba la zamani basi uwepo wake ni demokrasia tosha.
Uongozi bora wakibaguzi unaobaguwa baadhi ya wananchi wake kisa wanatofautiana kiitikadi huo ni uongozi gani rais anafanya shughuli za uenezi wachama chake kwenye shughuli za serikali kama kupokea wanachama ktk shughuli za serikali polepole anafanya siasa na mikutano ya hadhara wala polisi hawamshiki lkn vyama vyingine vikifanya mikutano polisi inawashika kwahiyo katiba inatakiwa ili rais yeyote atakayevurunda ashitakiwe baada ya uongozi wakeHatuji ila tutasema. Maendeleo ya China yameletwa na uongozi bora. Maendeleo ya Rwanda yameletwa na uongozi bora. Mwalimu alisema: "Ili tuendelee tunahitaji watu siasa safi na uongozi bora." Hakusema na katiba mpya. Maendeleo ya Tanzania yataletwa na uongozi bora. Watu wakiuunga mkono uongozi wa Awamu ya 5, kama walivyounga mkono uongozi wa awamu zote tutapata maendeleo. Tunaona itihada za Raisi wa awamu ya 5 katika kuleta uongozi bora nchini.Bial shaka hatua za kuelekea kupata maendeleo zimekwisha anza kuonekana.