Mi mwenyewe niko mpakani hiyo asilimia 60 unayoisema umeipata wapi? Tz ni nchi huru ya kidemokrasia yenye Katiba na utawala,ukitaka kujitenga nenda kawaulize Bokoharam waambie wakupe eneo huko!!
Mbona kwa Boko haram ni mbali saana......hapahapa jirani Kenya.anagalia hiyo 60% nilivyoipata...Wadigo wapo Kenya na TZ...WAKURYA wako kote....Wamasai kote....Wasomali kote....Wajaluo kote....Wahaya....kote upande wa Uganda...Wachagga....usiseme nusu ya Mombasa ni wachagga .