Napinga kwa nguvu zangu zote kauli ya Mwanasheria Mkuu kwamba katiba mpya haitajiki bali Katiba inatakiwa kuwekwa viraka,kwanza najiuliza ni wapi ametoa jeuri Mwanasheria mkuu kutuzungumzia wananchi kwa kusema hakuna Katiba mpya jamani hawa viongozi wangekuwa wanaangalia matamshi yao yaani mtu mmoja anaweza akawazungumzia watu milioni 43 kwa kweli nastaajabu sana