wakati wakifikiri wanafaidi sana kwa katiba hiyo, wanasahau kwamba madaraka ni kitu cha muda tu, lakini mabadiliko na maendeleo wanayoyachelewesha yana madhara kwa jamii nzima including wao wenyewe, watoto wao na vizazi vyao kwa ujumla. Nchii hii ikiwa maskini, wote sisi tunaathirika, vita ikitokea tunaathirika wote hata kama utakuwa na uwezo wakuhamia nchi nyingine, lakinmi kumbuka home is home, mkataa kwao ni mtumwa.
Kubadlli inahitaji special task force kwa pande zote, upinzani, taasisi za kijamii, na wananchi kwa ujumla, kila atakayepata pa kuongea aongelee hilo kwa nguvu zake zote. Katiba hii inawafaidisha wao kuweza kubaki madarakani. Nothing else.
Kubadlli inahitaji special task force kwa pande zote, upinzani, taasisi za kijamii, na wananchi kwa ujumla, kila atakayepata pa kuongea aongelee hilo kwa nguvu zake zote. Katiba hii inawafaidisha wao kuweza kubaki madarakani. Nothing else.