Povu alotoa nani hapa kama si wewe.!! Nimeona kuna mtu na yeye kalitaja hilo jina sip.kuwa ni jina kama.majina.mengine na wewe ulipotoa uzi wako huu na kutoa ile mistari nilikuelewesha kuwa wakristo sie hutumia hilo jina kukumbiza mapepo na si kitu kingine.. hilo jina tunaliheshimu sana sasa mtu akija hapa na kuleta kuwa ni jina tu hakika nitaendelea kubishana.naye hadi ashangae.
NB: tuwe tunaheshimu dini za watu ty pale watumiapo au kuamini kitu kuwa ndo kinawasaidia ktk imani zao...
Hakuna anayejua kuwa iwe muislamu au mkristo kwamba dini yake ndo itampeleka mbinguni hilp msahauu.. bali kitakachotupeleka huko ni tabia zetu na matendo yetu haya tunayofanya hapa....
Nimemamiliza....