Maelezo muhimu kuhusu majini!

Maelezo muhimu kuhusu majini!

hakuna supa sta dunian kama yesu...
mbinguni, kuimu na dunian kote walitaja jia lake ila 1/3 ndio wanaomtii ao2/3 waliobaki ndio kama wew
Hivi nyie walokole mnajua hii dunia ina watu zaidi ya 7 billion.?!
...na kati ya hao wanaomtambua huyo Yesu ni just 1/3 ya population..huo ujinga wenu wa kukihusisha kila kitu na Yesu mnaonyesha mlivyo vilaza
 
Hivi nyie walokole mnajua hii dunia ina watu zaidi ya 7 billion.?!
...na kati ya hao wanaomtambua huyo Yesu ni just 1/3 ya population..huo ujinga wenu wa kukihusisha kila kitu na Yesu mnaonyesha mlivyo vilaza
Nmecheka
 
Kila kitabu ambacho kimewazungumzia vya dini na visivyo vya dini na kwa kuishi nao wenyewe? wewe umeipata wapi?
Hii ndio elimu niliyonayo kuhusu hawa viumbe:

Kwanza ijulikane kuwa majini ni malaika walioasi wakatupwa duniani kwa hiyo ni kweli waliumbwa na Mungu kwa lengo la kumwabudu lakini walimwasi na kutupwa duniani na hivyo kuwa kinyume chake na serikali yake ndio wakawa majini, hivyo basi Mungu hakuumba majini bali aliumba malaika watakatifu ambao baadae waliasi na kuwa majini.

Na kwa aina zipo aina kuu tatu za hawa malaika walioanguka (fallen angels) au Majini, ambazo ni kama ifuatavyo.

1. Malaika wale waliotupwa kutoka Mbinguni.
Hii ni aina ya majini ambayo walishiriki ile vita ya Mbinguni na kushindwa na hivyo kutupwa pande za mwisho za shimo (sheol) katika ulimwengu wa roho lakini in physical world ni hapa duniani na hapa kuna milango au gates zinazokuwezesha kuelekea huko kwenye makao yao ingawa mara nyingi huzunguka humu duniani kwa ajili ya kutesa watu kusababisha magonjwa,ajali na vitu mbali mbali kwa ruhusa za wanadamu wenzetu wanaowafuga, maana hakuna jini linatoka kuzimu kumwingia mtu isipokuwa limetumwa na mtu kama yeye au lina mkataba na huyo mtu yaani amelikaribisha kwa kujua au kutokujua .

2. Aina ya pili ni majini yanayonuizwa kupitia vinasaba vya mwanadamu, yaani inachukuliwa mimba ya miezi minane tumboni kwa mamamjamzito (Hapa pia kuna siri nzito ya mimba zinazotoka zikiwa na miezi nane )then inasomwa dua maalum ambayo siwezi kuitaja hapa halafu linanuizwa jina la jini anayetaka kutengenezwa kwa kinasaba cha binadamu, mfano maimuna hii ni kabila yenye mamilioni ya majini kwa hiyo ile mimba ikinuiziwa hili jina kwa dua maalum, (ingawa vingine vinavyofanyika sitavisema) jini mmoja kutoka kabila husika iliyotajwa huja na kuvaa kinasaba cha binadamu kwa hiyo mimba ya miezi minane na hawa ndio unasikia wanaitwa jini mtu na huyu anaweza kuishi kama binadamu akachumbia akaoa ,akazaa na kuwa na watoto kwa sababu ya kile kinasaba cha ubinadamu lakini jini yule malaika aliyetupwa kutoka Mbinguni yeye haoi wala hazai maana yeye ni roho tu isiyo na mwili, na mwisho wake aina hii ya majini hupotea tu duniani huwa hawafi na anakuwa tofauti na binadamu wa kawaida kwa uwezo wa kufanya vitu vya ajabu au kimiujiza

3. Lakini aina ya mwisho hii huitwa Tego hii ni aina ya majini ambayo hutengenezwa kwa kutumia viungo vya mwili wa binadamu mfano ubongo maini ,damu iliyo ganda nk vitu hivi huchanganywa kitaalamu na kunuizwa kwa dua maalum akatokea jini aina ya Tego ndio hizi tunaita roho zinazofatilia hatima ya maisha ya binadamu baada ya tendo la kishirikina kufanyika, hawa ndio huusika na vifo vya design au aina moja kwa ukoo au familia umasikini wa kurithi ,magonjwa ya kurithi laana za ukoo hawa ndio hufuatilia utimizwaji wa vitu hivyo na wao hutumwa na kutengenezwa na kufugwa na watu kama wewe na ni wanadamu wenzetu ila wana elimu ya falaki na hutumia maarifa hayo kuharibu maisha ya watu.

Ingawa kuna imani moja ya dini inahusishwa sana na hawa viumbe siitaji mnaijua, ukweli ni kwamba wao wameingia agano nao kwa kukubali wapo kuwa wapo wema ambao bado hawajaasi na hao ndio hushirikiana nao, lakini kama yupo mmoja humu anijibu wanashirikiana nayo kufanya nini na kwanini huwafuga kwa matumizi gani hasa?

Ndio utakuja kushangaa kwanini wakristo wengi ndio hupagawa sana na hivi viumbe kuliko wanaokaa nayo,wanaoishi nayo na kuyafuga, uzuri nimesoma shule za imani hiyo na katikati ya shule ilikuwepo nyumba yao ya ibada na madarasa ndio yamezunguka, mabinti wengi wa imani tofauti ndio walikuwa wakianguka kila kukicha hata dada yangu ilimpata hadi kuhamishwa kabisa maana tulikuwa tunasoma wote, mpaka nilivyokuja kujua kuwa imani hii ya Kikristo (Kafiruna) ni kinyume cha imani hiyo na wao huwa wahanga zaidi wa mashambulizi ya adui zao sio kwa kuwa ni wanyonge la bali hawana maarifa ya kutosha ya walichokibeba katika ulimwengu wa roho, laiti wangepata hata robo ya nilichonacho, wangeipindua duniani kufumba na kufumbua.

Na kwa mujibu wa elimu ya falaki chuo cha maarifa, pepo hatoi pepo ndio maana nawasikitikia wanaoenda kwa waganga wa kienyeji au watu wanaofuga majini kutafuta msaada, maana msaada wanaoweza kukupa ni kukuwekea jini mwingine mwenye uwezo kuliko kuliko yule uliye naye ili amtoe akae yeye kwa hiyo unajikuta unasolve tatizo moja unaamsha lingine, au kukupa masharti magumu ya kumtimizia huyo jini ili asisumbue lakini ukweli ni kwamba hawana nguvu za kumwamuru kwa lazima atoke badala yake hufanya kitu kinaitwa makubaliano au maridhiano ili likae kwa kutulia na hivyo hakuna msaada utapata kwao zaidi ya kumaliza pesa zako

Na kuhusu jina la Yesu kama yupo mchawi humu au mtu mwenye elimu kubwa ya falaki anaelewa au mfuga majini yoyote ki ukweli hakuna watu wenye uelewe mzuri kuhusu uwezo na nguvu ya jina hili kama hao, hata wakristo wengi kama sio wote hawajui mamlaka halisi ya jina hili maana wao huishia kutamka tu na hawaelewi nini kinaendelea katika spiritual realm, lakini ndugu siegemei upande wowote ila najaribu kueleza kile nilichokipata kupitia elimu hii, ki ufupi ni hatari kubwa sana ambayo siwezi kueleza hapa ila hao wahusika niliowataja hapo wanaelewa vizuri sana hata wakikataa ila mi najua wanaelewa maana ni kitu ninachokifahamu sio kwa kubahatisha. Na ndio maana utashangaa kwanini jina Yesu huitwa issa katika Quran tukufu badala ya Yeshua maana hii ndio tafsiri ya kiarabu ya jina Yesu(hapa pia kuna siri yake) kuna Siri kubwa sana ya jina hili ingawa wenye nalo hawazifahamu, wanaozijua ni watu wa elimu ya giza na wao hutumia nafasi hii ku crash kila jambo kuhusu jina hili ,mpaka wanao litumia sio kwa nia mbaya au chuki ila ni kujilinda na hatari iliyomo maana nashindwa kueleza ni hatari namna gani lakini najua wazee wa shughuli wananielewa vizuri ila kwa hawa wanaolitumia nikutie moyo "Umeshika chenye nguvu ila bila maarifa na imani sawasawa ya ulicho nacho".

Any question please?.

Source: Elimu yangu.
 
Na siku nikipata muda nafikiri nitaandaa uzi maalum kuhusu Nyota pia maana kuna upotoshaji mkubwa unafanyika kwa watu wasio na elimu ya mambo haya, na wengine kwa makusudi kwa ajili ya faida binafsi. Na kwanini nyota inaibiwa,inatekwa inakamatwa na kumilikiwa na ni nani anayefanya hivyo anafanya kwa kusudi gani ili iweje.
Kwa heri kwa sasa
 
Hii ndio elimu niliyonayo kuhusu hawa viumbe:

Kwanza ijulikane kuwa majini ni malaika walioasi wakatupwa duniani kwa hiyo ni kweli waliumbwa na Mungu kwa lengo la kumwabudu lakini walimwasi na kutupwa duniani na hivyo kuwa kinyume chake na serikali yake ndio wakawa majini, hivyo basi Mungu hakuumba majini bali aliumba malaika watakatifu ambao baadae waliasi na kuwa majini.

Na kwa aina zipo aina kuu tatu za hawa malaika walioanguka (fallen angels) au Majini, ambazo ni kama ifuatavyo.

1. Malaika wale waliotupwa kutoka Mbinguni.
Hii ni aina ya majini ambayo walishiriki ile vita ya Mbinguni na kushindwa na hivyo kutupwa pande za mwisho za shimo (sheol) katika ulimwengu wa roho lakini in physical world ni hapa duniani na hapa kuna milango au gates zinazokuwezesha kuelekea huko kwenye makao yao ingawa mara nyingi huzunguka humu duniani kwa ajili ya kutesa watu kusababisha magonjwa,ajali na vitu mbali mbali kwa ruhusa za wanadamu wenzetu wanaowafuga, maana hakuna jini linatoka kuzimu kumwingia mtu isipokuwa limetumwa na mtu kama yeye au lina mkataba na huyo mtu yaani amelikaribisha kwa kujua au kutokujua .

2. Aina ya pili ni majini yanayonuizwa kupitia vinasaba vya mwanadamu, yaani inachukuliwa mimba ya miezi minane tumboni kwa mamamjamzito (Hapa pia kuna siri nzito ya mimba zinazotoka zikiwa na miezi nane )then inasomwa dua maalum ambayo siwezi kuitaja hapa halafu linanuizwa jina la jini anayetaka kutengenezwa kwa kinasaba cha binadamu, mfano maimuna hii ni kabila yenye mamilioni ya majini kwa hiyo ile mimba ikinuiziwa hili jina kwa dua maalum, (ingawa vingine vinavyofanyika sitavisema) jini mmoja kutoka kabila husika iliyotajwa huja na kuvaa kinasaba cha binadamu kwa hiyo mimba ya miezi minane na hawa ndio unasikia wanaitwa jini mtu na huyu anaweza kuishi kama binadamu akachumbia akaoa ,akazaa na kuwa na watoto kwa sababu ya kile kinasaba cha ubinadamu lakini jini yule malaika aliyetupwa kutoka Mbinguni yeye haoi wala hazai maana yeye ni roho tu isiyo na mwili, na mwisho wake aina hii ya majini hupotea tu duniani huwa hawafi na anakuwa tofauti na binadamu wa kawaida kwa uwezo wa kufanya vitu vya ajabu au kimiujiza

3. Lakini aina ya mwisho hii huitwa Tego hii ni aina ya majini ambayo hutengenezwa kwa kutumia viungo vya mwili wa binadamu mfano ubongo maini ,damu iliyo ganda nk vitu hivi huchanganywa kitaalamu na kunuizwa kwa dua maalum akatokea jini aina ya Tego ndio hizi tunaita roho zinazofatilia hatima ya maisha ya binadamu baada ya tendo la kishirikina kufanyika, hawa ndio huusika na vifo vya design au aina moja kwa ukoo au familia umasikini wa kurithi ,magonjwa ya kurithi laana za ukoo hawa ndio hufuatilia utimizwaji wa vitu hivyo na wao hutumwa na kutengenezwa na kufugwa na watu kama wewe na ni wanadamu wenzetu ila wana elimu ya falaki na hutumia maarifa hayo kuharibu maisha ya watu.

Ingawa kuna imani moja ya dini inahusishwa sana na hawa viumbe siitaji mnaijua, ukweli ni kwamba wao wameingia agano nao kwa kukubali wapo kuwa wapo wema ambao bado hawajaasi na hao ndio hushirikiana nao, lakini kama yupo mmoja humu anijibu wanashirikiana nayo kufanya nini na kwanini huwafuga kwa matumizi gani hasa?

Ndio utakuja kushangaa kwanini wakristo wengi ndio hupagawa sana na hivi viumbe kuliko wanaokaa nayo,wanaoishi nayo na kuyafuga, uzuri nimesoma shule za imani hiyo na katikati ya shule ilikuwepo nyumba yao ya ibada na madarasa ndio yamezunguka, mabinti wengi wa imani tofauti ndio walikuwa wakianguka kila kukicha hata dada yangu ilimpata hadi kuhamishwa kabisa maana tulikuwa tunasoma wote, mpaka nilivyokuja kujua kuwa imani hii ya Kikristo (Kafiruna) ni kinyume cha imani hiyo na wao huwa wahanga zaidi wa mashambulizi ya adui zao sio kwa kuwa ni wanyonge la bali hawana maarifa ya kutosha ya walichokibeba katika ulimwengu wa roho, laiti wangepata hata robo ya nilichonacho, wangeipindua duniani kufumba na kufumbua.

Na kwa mujibu wa elimu ya falaki chuo cha maarifa, pepo hatoi pepo ndio maana nawasikitikia wanaoenda kwa waganga wa kienyeji au watu wanaofuga majini kutafuta msaada, maana msaada wanaoweza kukupa ni kukuwekea jini mwingine mwenye uwezo kuliko kuliko yule uliye naye ili amtoe akae yeye kwa hiyo unajikuta unasolve tatizo moja unaamsha lingine, au kukupa masharti magumu ya kumtimizia huyo jini ili asisumbue lakini ukweli ni kwamba hawana nguvu za kumwamuru kwa lazima atoke badala yake hufanya kitu kinaitwa makubaliano au maridhiano ili likae kwa kutulia na hivyo hakuna msaada utapata kwao zaidi ya kumaliza pesa zako

Na kuhusu jina la Yesu kama yupo mchawi humu au mtu mwenye elimu kubwa ya falaki anaelewa au mfuga majini yoyote ki ukweli hakuna watu wenye uelewe mzuri kuhusu uwezo na nguvu ya jina hili kama hao, hata wakristo wengi kama sio wote hawajui mamlaka halisi ya jina hili maana wao huishia kutamka tu na hawaelewi nini kinaendelea katika spiritual realm, lakini ndugu siegemei upande wowote ila najaribu kueleza kile nilichokipata kupitia elimu hii, ki ufupi ni hatari kubwa sana ambayo siwezi kueleza hapa ila hao wahusika niliowataja hapo wanaelewa vizuri sana hata wakikataa ila mi najua wanaelewa maana ni kitu ninachokifahamu sio kwa kubahatisha. Na ndio maana utashangaa kwanini jina Yesu huitwa issa katika Quran tukufu badala ya Yeshua maana hii ndio tafsiri ya kiarabu ya jina Yesu(hapa pia kuna siri yake) kuna Siri kubwa sana ya jina hili ingawa wenye nalo hawazifahamu, wanaozijua ni watu wa elimu ya giza na wao hutumia nafasi hii ku crash kila jambo kuhusu jina hili ,mpaka wanao litumia sio kwa nia mbaya au chuki ila ni kujilinda na hatari iliyomo maana nashindwa kueleza ni hatari namna gani lakini najua wazee wa shughuli wananielewa vizuri ila kwa hawa wanaolitumia nikutie moyo "Umeshika chenye nguvu ila bila maarifa na imani sawasawa ya ulicho nacho".

Any question please?.

Source: Elimu yangu.
unamaanisha uislam unaruhusu kufuga majini au kumuacha jini akupande na akuamrishe ? hicho unachosema hakina ukweli
 
unamaanisha uislam unaruhusu kufuga majini au kumuacha jini akupande na akuamrishe ? hicho unachosema hakina ukweli
Ndugu kama umenielewa nimesema ya kwamba uislamu unatambua kuwa majini wema yalislimu na hivyo hushirikiana nayo katika ibadaezao lakini mabaya masheitwani ni yale yaliyogoma Muslim na ndio maana wafuga majini wengi ni masheikh sasa sijajua kama ni imani ndio inawaruhusu ama wanafanya kwa maslahi yao na kumbuka Iam talking from experience sio story za kutunga, Maana hata Masheikh wenyewe hawalingani elimu, mi nazungumzia wenye elimu ya ndani kabisa ya dini na waliofuzu falaki lazima atakuwa anafuga majini tu kwa sababu ya maarifa na uwezo alionao I know this, maana kufuga jini sio kama kufuga kuku lazima uwe na elimu ya kutosha kuweza kuwa handle ikumbukwe sijasema kila sheikh ila ni baadhi tena wale wenye elimu kubwa ya dini na wengi wao lazima walisoma mpaka nje ya nchi ingawa sitazitaja na ndio zina vyuo vikuu vinavyotoa hizi degree za elimu ya giza ingawa hata Tanzania kipo ila Diploma tu ni 5 years plus 2years za uaguzi kama unabisha niambie pale Elimu ya falaki chuo cha maarifa Dar es salaam wanafundisha nini? Na ni mtu yupi anaruhusiwa kujiunga kama sio watu waliofuzu tena kufuzu vizuri elimu ya madrasatul, hakuna cha cheti cha form 4 au 6 maana elimu inayotolewa pale haina uhusiano na elimu ya vyuo vingine wanafundisha uganga wa kienyeji na elimu nyingine za giza ikiwemo hiyo ya falaki. Sasa sijajua ndio mafundisho ya dini au wanafanya kwa maslahi yao.
 
Hii ndio elimu niliyonayo kuhusu hawa viumbe:

Kwanza ijulikane kuwa majini ni malaika walioasi wakatupwa duniani kwa hiyo ni kweli waliumbwa na Mungu kwa lengo la kumwabudu lakini walimwasi na kutupwa duniani na hivyo kuwa kinyume chake na serikali yake ndio wakawa majini, hivyo basi Mungu hakuumba majini bali aliumba malaika watakatifu ambao baadae waliasi na kuwa majini.

Na kwa aina zipo aina kuu tatu za hawa malaika walioanguka (fallen angels) au Majini, ambazo ni kama ifuatavyo.

1. Malaika wale waliotupwa kutoka Mbinguni.
Hii ni aina ya majini ambayo walishiriki ile vita ya Mbinguni na kushindwa na hivyo kutupwa pande za mwisho za shimo (sheol) katika ulimwengu wa roho lakini in physical world ni hapa duniani na hapa kuna milango au gates zinazokuwezesha kuelekea huko kwenye makao yao ingawa mara nyingi huzunguka humu duniani kwa ajili ya kutesa watu kusababisha magonjwa,ajali na vitu mbali mbali kwa ruhusa za wanadamu wenzetu wanaowafuga, maana hakuna jini linatoka kuzimu kumwingia mtu isipokuwa limetumwa na mtu kama yeye au lina mkataba na huyo mtu yaani amelikaribisha kwa kujua au kutokujua .

2. Aina ya pili ni majini yanayonuizwa kupitia vinasaba vya mwanadamu, yaani inachukuliwa mimba ya miezi minane tumboni kwa mamamjamzito (Hapa pia kuna siri nzito ya mimba zinazotoka zikiwa na miezi nane )then inasomwa dua maalum ambayo siwezi kuitaja hapa halafu linanuizwa jina la jini anayetaka kutengenezwa kwa kinasaba cha binadamu, mfano maimuna hii ni kabila yenye mamilioni ya majini kwa hiyo ile mimba ikinuiziwa hili jina kwa dua maalum, (ingawa vingine vinavyofanyika sitavisema) jini mmoja kutoka kabila husika iliyotajwa huja na kuvaa kinasaba cha binadamu kwa hiyo mimba ya miezi minane na hawa ndio unasikia wanaitwa jini mtu na huyu anaweza kuishi kama binadamu akachumbia akaoa ,akazaa na kuwa na watoto kwa sababu ya kile kinasaba cha ubinadamu lakini jini yule malaika aliyetupwa kutoka Mbinguni yeye haoi wala hazai maana yeye ni roho tu isiyo na mwili, na mwisho wake aina hii ya majini hupotea tu duniani huwa hawafi na anakuwa tofauti na binadamu wa kawaida kwa uwezo wa kufanya vitu vya ajabu au kimiujiza

3. Lakini aina ya mwisho hii huitwa Tego hii ni aina ya majini ambayo hutengenezwa kwa kutumia viungo vya mwili wa binadamu mfano ubongo maini ,damu iliyo ganda nk vitu hivi huchanganywa kitaalamu na kunuizwa kwa dua maalum akatokea jini aina ya Tego ndio hizi tunaita roho zinazofatilia hatima ya maisha ya binadamu baada ya tendo la kishirikina kufanyika, hawa ndio huusika na vifo vya design au aina moja kwa ukoo au familia umasikini wa kurithi ,magonjwa ya kurithi laana za ukoo hawa ndio hufuatilia utimizwaji wa vitu hivyo na wao hutumwa na kutengenezwa na kufugwa na watu kama wewe na ni wanadamu wenzetu ila wana elimu ya falaki na hutumia maarifa hayo kuharibu maisha ya watu.

Ingawa kuna imani moja ya dini inahusishwa sana na hawa viumbe siitaji mnaijua, ukweli ni kwamba wao wameingia agano nao kwa kukubali wapo kuwa wapo wema ambao bado hawajaasi na hao ndio hushirikiana nao, lakini kama yupo mmoja humu anijibu wanashirikiana nayo kufanya nini na kwanini huwafuga kwa matumizi gani hasa?

Ndio utakuja kushangaa kwanini wakristo wengi ndio hupagawa sana na hivi viumbe kuliko wanaokaa nayo,wanaoishi nayo na kuyafuga, uzuri nimesoma shule za imani hiyo na katikati ya shule ilikuwepo nyumba yao ya ibada na madarasa ndio yamezunguka, mabinti wengi wa imani tofauti ndio walikuwa wakianguka kila kukicha hata dada yangu ilimpata hadi kuhamishwa kabisa maana tulikuwa tunasoma wote, mpaka nilivyokuja kujua kuwa imani hii ya Kikristo (Kafiruna) ni kinyume cha imani hiyo na wao huwa wahanga zaidi wa mashambulizi ya adui zao sio kwa kuwa ni wanyonge la bali hawana maarifa ya kutosha ya walichokibeba katika ulimwengu wa roho, laiti wangepata hata robo ya nilichonacho, wangeipindua duniani kufumba na kufumbua.

Na kwa mujibu wa elimu ya falaki chuo cha maarifa, pepo hatoi pepo ndio maana nawasikitikia wanaoenda kwa waganga wa kienyeji au watu wanaofuga majini kutafuta msaada, maana msaada wanaoweza kukupa ni kukuwekea jini mwingine mwenye uwezo kuliko kuliko yule uliye naye ili amtoe akae yeye kwa hiyo unajikuta unasolve tatizo moja unaamsha lingine, au kukupa masharti magumu ya kumtimizia huyo jini ili asisumbue lakini ukweli ni kwamba hawana nguvu za kumwamuru kwa lazima atoke badala yake hufanya kitu kinaitwa makubaliano au maridhiano ili likae kwa kutulia na hivyo hakuna msaada utapata kwao zaidi ya kumaliza pesa zako

Na kuhusu jina la Yesu kama yupo mchawi humu au mtu mwenye elimu kubwa ya falaki anaelewa au mfuga majini yoyote ki ukweli hakuna watu wenye uelewe mzuri kuhusu uwezo na nguvu ya jina hili kama hao, hata wakristo wengi kama sio wote hawajui mamlaka halisi ya jina hili maana wao huishia kutamka tu na hawaelewi nini kinaendelea katika spiritual realm, lakini ndugu siegemei upande wowote ila najaribu kueleza kile nilichokipata kupitia elimu hii, ki ufupi ni hatari kubwa sana ambayo siwezi kueleza hapa ila hao wahusika niliowataja hapo wanaelewa vizuri sana hata wakikataa ila mi najua wanaelewa maana ni kitu ninachokifahamu sio kwa kubahatisha. Na ndio maana utashangaa kwanini jina Yesu huitwa issa katika Quran tukufu badala ya Yeshua maana hii ndio tafsiri ya kiarabu ya jina Yesu(hapa pia kuna siri yake) kuna Siri kubwa sana ya jina hili ingawa wenye nalo hawazifahamu, wanaozijua ni watu wa elimu ya giza na wao hutumia nafasi hii ku crash kila jambo kuhusu jina hili ,mpaka wanao litumia sio kwa nia mbaya au chuki ila ni kujilinda na hatari iliyomo maana nashindwa kueleza ni hatari namna gani lakini najua wazee wa shughuli wananielewa vizuri ila kwa hawa wanaolitumia nikutie moyo "Umeshika chenye nguvu ila bila maarifa na imani sawasawa ya ulicho nacho".

Any question please?.

Source: Elimu yangu.
2. Aina ya pili ni majini yanayonuizwa kupitia vinasaba vya mwanadamu, yaani inachukuliwa mimba ya miezi minane tumboni kwa mamamjamzito (Hapa pia kuna siri nzito ya mimba zinazotoka
Mfano wa aina hii ni Hittler,Iddi Amin,Bokasa,Mao hawa ni majini wa kibinadamu
 
Madikteta wengi au wote ni jini wa kibinadamu thus utenda yaliyo kinyume na wanadamu
 
Na siku nikipata muda nafikiri nitaandaa uzi maalum kuhusu Nyota pia maana kuna upotoshaji mkubwa unafanyika kwa watu wasio na elimu ya mambo haya, na wengine kwa makusudi kwa ajili ya faida binafsi. Na kwanini nyota inaibiwa,inatekwa inakamatwa na kumilikiwa na ni nani anayefanya hivyo anafanya kwa kusudi gani ili iweje.
Kwa heri kwa sasa
Elimu ya falaki inabeba nini na nini
 
Hivi nyie walokole mnajua hii dunia ina watu zaidi ya 7 billion.?!
...na kati ya hao wanaomtambua huyo Yesu ni just 1/3 ya population..huo ujinga wenu wa kukihusisha kila kitu na Yesu mnaonyesha mlivyo vilaza
Hacha mafundisho potovu ,majini hayajaumbwa na Mungu kwa lengo la kumuabudu Mungu Bali Mungu aliumba malaika na wanadamu wamuabudu na si majini.

Majini ni malaika waliomuasi Mungu wao pamoja na Shetani.Wale malaika wote waliokubali kumuasi Mungu ndio wanaitwa majini na wao wanamuabudu Shetani.

Mafundisho hayo Ni batili.

Namna ya kuyashinda majini na Shetani Ni kuwa na mahusiano na Mungu kwa kumuamini Yesu kuwa Bwana na Mokozi wa maisha yako.Ukimpokea Yesu unakuwa na mamlaka ya kumshinda Shetani na majini zake.
 
Hii ndio elimu niliyonayo kuhusu hawa viumbe:

Kwanza ijulikane kuwa majini ni malaika walioasi wakatupwa duniani kwa hiyo ni kweli waliumbwa na Mungu kwa lengo la kumwabudu lakini walimwasi na kutupwa duniani na hivyo kuwa kinyume chake na serikali yake ndio wakawa majini, hivyo basi Mungu hakuumba majini bali aliumba malaika watakatifu ambao baadae waliasi na kuwa majini.

Na kwa aina zipo aina kuu tatu za hawa malaika walioanguka (fallen angels) au Majini, ambazo ni kama ifuatavyo.

1. Malaika wale waliotupwa kutoka Mbinguni.
Hii ni aina ya majini ambayo walishiriki ile vita ya Mbinguni na kushindwa na hivyo kutupwa pande za mwisho za shimo (sheol) katika ulimwengu wa roho lakini in physical world ni hapa duniani na hapa kuna milango au gates zinazokuwezesha kuelekea huko kwenye makao yao ingawa mara nyingi huzunguka humu duniani kwa ajili ya kutesa watu kusababisha magonjwa,ajali na vitu mbali mbali kwa ruhusa za wanadamu wenzetu wanaowafuga, maana hakuna jini linatoka kuzimu kumwingia mtu isipokuwa limetumwa na mtu kama yeye au lina mkataba na huyo mtu yaani amelikaribisha kwa kujua au kutokujua .

2. Aina ya pili ni majini yanayonuizwa kupitia vinasaba vya mwanadamu, yaani inachukuliwa mimba ya miezi minane tumboni kwa mamamjamzito (Hapa pia kuna siri nzito ya mimba zinazotoka zikiwa na miezi nane )then inasomwa dua maalum ambayo siwezi kuitaja hapa halafu linanuizwa jina la jini anayetaka kutengenezwa kwa kinasaba cha binadamu, mfano maimuna hii ni kabila yenye mamilioni ya majini kwa hiyo ile mimba ikinuiziwa hili jina kwa dua maalum, (ingawa vingine vinavyofanyika sitavisema) jini mmoja kutoka kabila husika iliyotajwa huja na kuvaa kinasaba cha binadamu kwa hiyo mimba ya miezi minane na hawa ndio unasikia wanaitwa jini mtu na huyu anaweza kuishi kama binadamu akachumbia akaoa ,akazaa na kuwa na watoto kwa sababu ya kile kinasaba cha ubinadamu lakini jini yule malaika aliyetupwa kutoka Mbinguni yeye haoi wala hazai maana yeye ni roho tu isiyo na mwili, na mwisho wake aina hii ya majini hupotea tu duniani huwa hawafi na anakuwa tofauti na binadamu wa kawaida kwa uwezo wa kufanya vitu vya ajabu au kimiujiza

3. Lakini aina ya mwisho hii huitwa Tego hii ni aina ya majini ambayo hutengenezwa kwa kutumia viungo vya mwili wa binadamu mfano ubongo maini ,damu iliyo ganda nk vitu hivi huchanganywa kitaalamu na kunuizwa kwa dua maalum akatokea jini aina ya Tego ndio hizi tunaita roho zinazofatilia hatima ya maisha ya binadamu baada ya tendo la kishirikina kufanyika, hawa ndio huusika na vifo vya design au aina moja kwa ukoo au familia umasikini wa kurithi ,magonjwa ya kurithi laana za ukoo hawa ndio hufuatilia utimizwaji wa vitu hivyo na wao hutumwa na kutengenezwa na kufugwa na watu kama wewe na ni wanadamu wenzetu ila wana elimu ya falaki na hutumia maarifa hayo kuharibu maisha ya watu.

Ingawa kuna imani moja ya dini inahusishwa sana na hawa viumbe siitaji mnaijua, ukweli ni kwamba wao wameingia agano nao kwa kukubali wapo kuwa wapo wema ambao bado hawajaasi na hao ndio hushirikiana nao, lakini kama yupo mmoja humu anijibu wanashirikiana nayo kufanya nini na kwanini huwafuga kwa matumizi gani hasa?

Ndio utakuja kushangaa kwanini wakristo wengi ndio hupagawa sana na hivi viumbe kuliko wanaokaa nayo,wanaoishi nayo na kuyafuga, uzuri nimesoma shule za imani hiyo na katikati ya shule ilikuwepo nyumba yao ya ibada na madarasa ndio yamezunguka, mabinti wengi wa imani tofauti ndio walikuwa wakianguka kila kukicha hata dada yangu ilimpata hadi kuhamishwa kabisa maana tulikuwa tunasoma wote, mpaka nilivyokuja kujua kuwa imani hii ya Kikristo (Kafiruna) ni kinyume cha imani hiyo na wao huwa wahanga zaidi wa mashambulizi ya adui zao sio kwa kuwa ni wanyonge la bali hawana maarifa ya kutosha ya walichokibeba katika ulimwengu wa roho, laiti wangepata hata robo ya nilichonacho, wangeipindua duniani kufumba na kufumbua.

Na kwa mujibu wa elimu ya falaki chuo cha maarifa, pepo hatoi pepo ndio maana nawasikitikia wanaoenda kwa waganga wa kienyeji au watu wanaofuga majini kutafuta msaada, maana msaada wanaoweza kukupa ni kukuwekea jini mwingine mwenye uwezo kuliko kuliko yule uliye naye ili amtoe akae yeye kwa hiyo unajikuta unasolve tatizo moja unaamsha lingine, au kukupa masharti magumu ya kumtimizia huyo jini ili asisumbue lakini ukweli ni kwamba hawana nguvu za kumwamuru kwa lazima atoke badala yake hufanya kitu kinaitwa makubaliano au maridhiano ili likae kwa kutulia na hivyo hakuna msaada utapata kwao zaidi ya kumaliza pesa zako

Na kuhusu jina la Yesu kama yupo mchawi humu au mtu mwenye elimu kubwa ya falaki anaelewa au mfuga majini yoyote ki ukweli hakuna watu wenye uelewe mzuri kuhusu uwezo na nguvu ya jina hili kama hao, hata wakristo wengi kama sio wote hawajui mamlaka halisi ya jina hili maana wao huishia kutamka tu na hawaelewi nini kinaendelea katika spiritual realm, lakini ndugu siegemei upande wowote ila najaribu kueleza kile nilichokipata kupitia elimu hii, ki ufupi ni hatari kubwa sana ambayo siwezi kueleza hapa ila hao wahusika niliowataja hapo wanaelewa vizuri sana hata wakikataa ila mi najua wanaelewa maana ni kitu ninachokifahamu sio kwa kubahatisha. Na ndio maana utashangaa kwanini jina Yesu huitwa issa katika Quran tukufu badala ya Yeshua maana hii ndio tafsiri ya kiarabu ya jina Yesu(hapa pia kuna siri yake) kuna Siri kubwa sana ya jina hili ingawa wenye nalo hawazifahamu, wanaozijua ni watu wa elimu ya giza na wao hutumia nafasi hii ku crash kila jambo kuhusu jina hili ,mpaka wanao litumia sio kwa nia mbaya au chuki ila ni kujilinda na hatari iliyomo maana nashindwa kueleza ni hatari namna gani lakini najua wazee wa shughuli wananielewa vizuri ila kwa hawa wanaolitumia nikutie moyo "Umeshika chenye nguvu ila bila maarifa na imani sawasawa ya ulicho nacho".

Any question please?.

Source: Elimu yangu.
Nimeacha kuendelea kusoma maelezo yako nilipofika tu hapo nilipo highlight na wino mwekundu kwa maana mwanzo wa maelezo ya mtu unatosha kabisa kujibu hoja yake hilo ni kosa na kama unaamini hivyo elimu yako ni changa sana na unachokisema.
Ndio maana pia umeitoa katika source nyingine ambayo pia huna uhakika nayo vile vile nikushauri urudi darasana kusoma unachokiandika ili ukijakuleta hoja basi iwe umejitosheleza mkuu sio utumbo uliojitosheleza.

Huyu Mungu unaemuamini kwa maelezo yako ni dhaifu kiasi gani ambaye anaweza kuumba viumbe ambao anawasifu kuwa ni watiifu na wanachoambiwa hawamuasi leo wewe unazua kusema kuna malaika walimuasi mbunguni? kabla ya kuzungumzia ya mbinguni wewe unaweza kujizungumzia mwenyewe kweli? au ndio bendera fuata upepo?

Rejea kwa jina la yesu...... Yesu mwenyewe humjui na Yesu sio jina lake jina lake ni Masiah mwana wa Maryam.
Hii Yesu mnamuita nyie na Lugha yenu mliyoona bora kuliona ni lenye nguvu. Hilo ni jina tungo tu la kiswahili pia Yesu ni jina limetokana na Jesus kwa wazungu mnaowafuata na asili yake sio mzungu na wala hakuwa mzungu nae kabila lake halijulikani achilia mbali anajulikana kuzaliwa na Maryam mwanamke anaesifika kwa imani nyingi tu za dini sasa kabla hujalopoka kitu unatakiwa ukifahamu kwanza yesu hata wewe leo unaweza kuzaa mtoto ukaita yesu na watu wasikushangae lakini tafuta mtu anaeitwa Masiah Bin Maryam (masihi son of marry) sasa usije ukawa unatukuza jina la kutunga na bila kujua jina husika.
Hapo kwanza nakutoa tongo tongo.

Rakims
 
Na siku nikipata muda nafikiri nitaandaa uzi maalum kuhusu Nyota pia maana kuna upotoshaji mkubwa unafanyika kwa watu wasio na elimu ya mambo haya, na wengine kwa makusudi kwa ajili ya faida binafsi. Na kwanini nyota inaibiwa,inatekwa inakamatwa na kumilikiwa na ni nani anayefanya hivyo anafanya kwa kusudi gani ili iweje.
Kwa heri kwa sasa
Bado nazidi kuona hujui unachosema katika kuwaza nyota huwa zinaibiwa wewe inabidi utafutiwe tiba utibiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom