Maelezo muhimu kuhusu majini!

Maelezo muhimu kuhusu majini!

Mkuu Rakims vipi kuhusu vile vioo tunavyoweka kwenye kuta za nyumba zetu, vyewewe hawiwez kuwa geti la hao viumbe?
historia ya kioo kilianza kutumika kwa hao viumbe kwa kuzungumza nao ilikuwa unajiona wewe baadae unataja taja majina yao fulani fulani kisha wanatokea na kuongea nao mkuu kikubwa kama unaishi kwenye nyumba ambayo ina vioo vya kureflect jitahidi kuhifadhika kwa maombi mara kwa mara ambavyo vipo salama ni vile vinaonyesha upande wa pili
 
NB: Jina lolote utakalo muita mwenyezi mungu wako kwa imani na kumkusudia lenye maana nzuri yeye hukuskia wewe hata useme jehova,Jesus,Alpha,God,Father na ngwilili ngwilili nyingine akitokea mtu akasema Ewe uliyeumba kila kinachoonekana na kufikirika nisaidie kitu fulani anaweza kusaidiwa kuliko hata wewe unaeimba majina hayo muda wote bila imani thabiti

Rakims
 
Hizi dini zenu zilizoletwa na majahazi msipokuwa makini nazo zitawageuza wote kuwa maviumbe ya ajabu ajabu kuwahi kuishi ulimwenguni

Bora kuwa Atheist kuliko kuwa muumini na kuamini madubwasha haya..Mbadilike
 
Umesahau jambo moja vile vile mtu akisima AYATU QURSIY ( 2:255 Quran ) na Aya 2 za mwisho ktk Surat Baqara ( 2: 284 - 286 ) hizi nazo zinamtosheleza akazisoma hizi tu au moja katk hizi bila hata ya ( Muawidhatein )
 
Majini ni Malaika waovu wa Shetani.
Njia pekee ya Kuwaepuka ni Kumuamini Yesu aliyesema '' APART FROM ME YOU CAN DO NOTHING" John 15:5

Nje ya hapo ni kutengeneza ugumu utakaokufanya uishie kupata tabu sana
Stop that shit !!! Jesus is nothing rather than a Mankind like you and Me
 
Nashangaa watu kukaa Ku amini upuuzi wa majini na viumbe vibovu
wakati "TUMEPEWA MAMLAKA"
Yaani seriously mtu unamwamini binadamu mwenzako akusaidie kuhusu swala fulani...hili Hali wewe binafsi unayo "MAMLAKA"
HAKIKA "WANAANGAMIA kwa kukosa maarifa"
Jesus name iz most powerful name which Can separate any EVIL....

Inaonyesha una misconceptions nyingi sana kuusu jina la Yesu hili ni jina tu halina nguvu yeyote kama ufikiriavyo
 
Stop that shit !!! Jesus is nothing rather than a Mankind like you and Me
vyovyote mtazamo wako unavyotaka uwe kumuhusu ila.
Pasipo yeye huwezi lolote.
Yeye atawahukumu wanadamu wote.
Yeye atawafufua wafu wote wema na waovu ili wasimamw mbele ya kiti cha hukumu.

hayo sio maneno yangu ni yake Yeye mwenyewe, wala mimi sihusiki. Mimi naamini kila anachosema na sina shaka nae mkuu.
 
vyovyote mtazamo wako unavyotaka uwe kumuhusu ila.
Pasipo yeye huwezi lolote.
Yeye atawahukumu wanadamu wote.
Yeye atawafufua wafu wote wema na waovu ili wasimamw mbele ya kiti cha hukumu.

hayo sio maneno yangu ni yake Yeye mwenyewe, wala mimi sihusiki. Mimi naamini kila anachosema na sina shaka nae mkuu.
Fanya uhame huko uliko naona uko ktk Giza totoro la upofu uliopindukia yaani Yesu ahukumu watu jamani hivi IQ ( Measure of Intelligence ) yako inafanya kazi vizuri

Wakati Yesu anahukumu watu mamlaka hayo kampa nani ?

Wakt yeye anahukumu watu M\Mungu atakuwa yuko wapi ?

Kwanini nyingi mnanyanyua sana Yesu kuliko hata Mungu aliyemuumba ?
 
mkuu hivi unalifahamu VIZURI hili jina la YESU KRISTO MWANA WA MUNGU?!?!
Nalifahamu kuliko ww ndugu lakini napinga kwamba linauwezo wa kufanya kitu chochote cha muujiza tatizo ni kwamba kuna nguvu ya ziada huwa inatumiwa pamoja na jina hili lakini wengi wenu hamjui
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom