Mbona hatujifunzi kwa utaratibu jamani, tuheshimu imani za kila binadamu walahiStop that shit !!! Jesus is nothing rather than a Mankind like you and Me
imani yako ndioo itakayo kuponya
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀lakini mwehu mwehu mzinzi mzinzi na mjinga mjinga, usithubutu
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Asante mkuu kwa maada yako nzuri na elim bure kwa waamini flani flani
Ila kwa wakristo sidahani kama wanatumia njia hii,,sis wakristo huku tulisha pita kitambo so hatuhofu hata kidogo,,
Sorry Aisee kama nimekukwanzaMbona hatujifunzi kwa utaratibu jamani, tuheshimu imani za kila binadamu walahi
Trust me sio mimi bali ni kwa mtu ambaye yuko interested na masomo kama haya na hana thick skin!Sorry Aisee kama nimekukwanza
Wewe u nani mpaka umhukumu mtu jamani!
Wote tuna mapungufu jamani, ndio maana kila siku tunamuomba mungu.
Trust me sio mimi bali ni kwa mtu ambaye yuko interested na masomo kama haya na hana thick skin!
Hakuna bingwa wa IMANI walahi
🙏🙏🙏jina likimbizalo mauchafu yote ya ajabu.. jina lenye uhai..Yesu Kristo..JINA LA YESU KRISTO LATOSHA. HAYO MAKOROKORO MENGINE TUPA KULE
Stop that shit !!! Jesus is nothing rather than a Mankind like you and Me
Kwa wewe ni kama sie hatuamin mtume wenu.. majina na imani za watu..Inaonyesha una misconceptions nyingi sana kuusu jina la Yesu hili ni jina tu halina nguvu yeyote kama ufikiriavyo
Tengua hilp neno hakuna mkristo anayeamin.Yesu ni muumba bali alipewa mamlaka na baba yetu wa mbinguni kutukomboa..na usahau kuwa ipo siku Yesu atakuja kutukataa hilo utasubiri sana mkuu..."watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
Wengi wao huamini ya kwamba Yesu ndio muumba wa kila kitu siku atakapo wakataa na kumuomba radhi muumba wake ndio watajua
Shida yako ndugu yangu niu unasoma hautafakari. Jitahidi kutafakari na ujue alisema hatukutoa mapepo kwa jina lake ushakubali kuwa jina likimbixalo mapepo ni Yesu. Na hilp jina tunalitumia na kuliheshimu sana na linakimbiza kweli mapepo yote na sio kutumia matunguli kumtoa mtu mapepo only Jesus name ndo kila.kituMkuu huwa naheshimu sana dini za wengine lakini kwa hapo kwenye yesu kuhukumu watu nimetamani hata kudeletia mbali hii thread nzima maana kumbe unajua jina la yesu ila humfahamu Yesu ni nani wakristo wenzio watakusaidia,
Mathayo 7:21-23 Neno:
Mfuasi Wa Kweli
21 “Si kila mtu anayesema, ‘Bwana, Bwana,’ ambaye ataingia katika Ufalme wa mbinguni ila ni wale wanaofanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. 22 Siku ile itakapofika wengi wata niambia, ‘Bwana, Bwana, hatukutoa unabii na kufukuza pepo kwa jina lako; na kufanya miujiza mingi ya ajabu kwa jina lako?’ 23 Ndipo nitawaambia wazi, ‘Sikuwafahamu kamwe. Ondokeni kwangu ninyi watenda maovu!’
Kutoka 20:3-5 Imeandikwa "Usiwe na miungu mingine ila mimi.
Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.
Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao."
Tubu mkuu maana hadi hapo uko mbali na Yesu wako pia watafute wakristo wakufundishe ni yupi mungu ambaye ni hakimu
Rakims
Wee kweli best angu???Mtoto wa jirani yangu anataka kuolewa na jini .. Ni huzuni linamtesa hilo hatari halitaki asome shule

wewe ndio soma utafakari nilichoandika povu linakutoka kwenye vidole kwa kuona nimeandika hviho kipande hivyo. hapana point hapo ilikuwa ni kumuonyesha huyo muhusika kuwa hata Yesu mwenyewe alikataa kwa atakae piga piga maneno kwa jina lake bila kumkubali na kumpenda Mwenyezi mungu aliyeumba vyote hata ingia mbinguni,Shida yako ndugu yangu niu unasoma hautafakari. Jitahidi kutafakari na ujue alisema hatukutoa mapepo kwa jina lake ushakubali kuwa jina likimbixalo mapepo ni Yesu. Na hilp jina tunalitumia na kuliheshimu sana na linakimbiza kweli mapepo yote na sio kutumia matunguli kumtoa mtu mapepo only Jesus name ndo kila.kitu
wewe ndio soma utafakari nilichoandika povu linakutoka kwenye vidole kwa kuona nimeandika hviho kipande hivyo. hapana point hapo ilikuwa ni kumuonyesha huyo muhusika kuwa hata Yesu mwenyewe alikataa kwa atakae piga piga maneno kwa jina lake bila kumkubali na kumpenda Mwenyezi mungu aliyeumba vyote hata ingia mbinguni,
Na kumuonyesha ya kwamba asifanye miungu wengi ila ni yule atakae mfanya Muumba wa vyote ambaye hana mshirika peke yake kuwa Ndio muumba, sasa yeye kapinga maandiko yake mwenyewe ndio nikawa namuelewesha, nimeomba sana hii thread isiende kwa udini kisa tu nimeelekeza njia moja ya kujikinga na hayo madudu sasa kama kuna mwengine anahitaji kuelezea kikwao basi aanzishe thread yake, binafsi huwa naona mada nyingi tu humu na sehemu yingi za furums kama jokes,siasa etc lakini ni vitu ambavyo havinihusu hivyo huwa napita tu, lakini nyie wengine sijui tuwaweke kundi lipi.
Rakims