Zizu fasheni Viktoria, ila bei zao mkubwa hapangwi.
Zizou fashion nadhani wanazo.
Ni kweli wanazo hizo Jezi, ila bei zao zimeshiba sana, ingawa jezi ni feki.
Ndio bro, pale ni kama Mlimani \city na vifaa vya elektroniki. Kuna siku nilijipitisha nikauliza jezi ya Kaizer Chiefs yule bidada bila aibu akanijibu "laki na ishirini" wakati Kariakoo kitu hicho hicho buku twenty tu...
Umeona eeh? Hata kama ni 120,000/=, ziwe ni original basi! Lakini wao wananunua feki pale K,koo kwa hiyo 'buku ishirini' uliyonunulia wewehalafu wanauza pale Victoria kwa laki na ishirini.Ndio bro, pale ni kama Mlimani \city na vifaa vya elektroniki. Kuna siku nilijipitisha nikauliza jezi ya Kaizer Chiefs yule bidada bila aibu akanijibu "laki na ishirini" wakati Kariakoo kitu hicho hicho buku twenty tu...
Si pale karibu na marybrown jamaa mzigo wao ni original kabisa
We unasema lile duka la Adidas? Pale kwa bei kufurum kukuta kiatu kinauzwa jiwe tano ni kawaida kabisa...