Maduka ya kubadilisha fedha Jijini Arusha yachunguzwe

Ngongo

JF-Expert Member
Sep 20, 2008
18,930
31,172
Baada ya mwendazake kwenda zake na mambo yake ya ovyo ovyo, maduka ya kubadilisha fedha za kigeni (Forex Bureau) yalirejea lakini katika namna ambayo si ya kibiashara.

Ukienda kununua USD kila siku utaambiwa hakuna na siku wakiamua kukuuzia wanakuuzia USD 100 only.

Haya maduka yapo kwaajili ya kununua tu kuuza wanajua wanapouza. Hii si biashara huu ni ujinga.
 
huwezi kuruhusu biashara ambayo huwezi kuisimamia serikali ilikuwa sahihi kuyaburn haya maduka..
 
Baada ya mwendazake kwenda zake na mambo yake ya hovyo hovyo, maduka ya kubadilisha fedha za kigeni (Forex Bureau) yalirejea lakini katika namna ambayo si ya kibiashara.

Ukienda kununua USD kila siku utaambiwa hakuna na siku wakiamua kukuuzia wanakuuzia USD 100 only.

Haya maduka yapo kwaajili ya kununua tu kuuza wanajua wanapouza. Hii si biashara huu ni ujinga.
dola hakuna mkuu, hata bot wanajua
na unajua kitu kikiadimika inakuwa fursa pia
 
Baada ya mwendazake kwenda zake na mambo yake ya hovyo hovyo, maduka ya kubadilisha fedha za kigeni (Forex Bureau) yalirejea lakini katika namna ambayo si ya kibiashara.

Ukienda kununua USD kila siku utaambiwa hakuna na siku wakiamua kukuuzia wanakuuzia USD 100 only.

Haya maduka yapo kwaajili ya kununua tu kuuza wanajua wanapouza. Hii si biashara huu ni ujinga.
Nikupongeze kwa kuliona hilo Mdau. Kwa taarifa, sio Arusha tu, hata hapa Mwanza. Mimi binafsi, nimeenda pale kwa wiki tatu mfululizo, bila kuambulia hata dollar moja. Cha kushangaza, wazungu wanamiminika tu pale daily, ila dollars hazitoki. Kwa ufupi, hawa jamaa wanauza dollars hizo kwa watu wao kwa bei ya juu kabisa.
 
Kuumbeee! Mimi kuna shemeji yangu pisi kali akidanga huko ananilitea kwa rate ya 2500/usd

Ngoja nizihifadhi zitakuja kunisaidia baadae
 
dola hakuna mkuu, hata bot wanajua
na unajua kitu kikiadimika inakuwa fursa pia
Usd zipo sana ingawa si nyingi tatizo hawataki kuuza kwa bei waliyoandika wanakusanya na kuzipeleka kwa watu wao BOT wameshindwa kusimamia hii sector katika kiwango cha kutisha.
 
Baada ya mwendazake kwenda zake na mambo yake ya hovyo hovyo, maduka ya kubadilisha fedha za kigeni (Forex Bureau) yalirejea lakini katika namna ambayo si ya kibiashara.

Ukienda kununua USD kila siku utaambiwa hakuna na siku wakiamua kukuuzia wanakuuzia USD 100 only.

Haya maduka yapo kwaajili ya kununua tu kuuza wanajua wanapouza. Hii si biashara huu ni ujinga.
Hili walaumiwe CCM Ndugu yangu, mbona hata Sukari ni hivyo hivyo tu?
IMG-20240304-WA0010.jpg
 
Back
Top Bottom