CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
kuna taarifa kwamba yule mwanadada wa twiga starts SOFIA MWASIKILI ameshindwa kucheza mpira Uturuki kisa eti ftt imemnyima itc,mwenye taarifa kamili afunguke hapa.
Mbona nilisikia imeshatumwa Uturuki last week
Yes,inawezekana itc imekwenda too late mkuu.
Ila TFF wamekana kiaina!!
Amekuja kubadilisha viza yake, ambapo sasa atakuwa na viza ya SPORTS, na soon atarudi Uturuki kuendelea na Game.
View attachment 48068