Hiyo imetokana na mvutano uliokuwepo katika vikao vya halimashauri ya jiji la Mwanza ambapo diwani huyo (wa Igoma na mwenzake wa Kitangiri) pamoja na madiwani wengine kutoka CCM waliungana kujaribu kumng'oa Meya wa jiji (kutoka CHADEMA) kwa madai kuwa anaonyesha udhaifu mkubwa wa kuliongoza jiji.
Inahisiwa ni kutokana na majeraha aliyopata diwani huyo kijana na msomi pekee wa ngazi ya degree kati ya madiwani wote wa halmashauri ya jiji la Mwanza ya kuukosa umeya mwaka 2010.
Taarifa kamili zitatolewa na viongozi wa CHADEMA kitaifa.
Inahisiwa ni kutokana na majeraha aliyopata diwani huyo kijana na msomi pekee wa ngazi ya degree kati ya madiwani wote wa halmashauri ya jiji la Mwanza ya kuukosa umeya mwaka 2010.
Taarifa kamili zitatolewa na viongozi wa CHADEMA kitaifa.