Mzee Mwanakijiji,
Be honest to your fellow JF Members. Chambuzi zako before current leadership zilikuwa influenced na nini hasa?! Au shutuma za
FaizaFoxy kwamba ukosoaji wako wa mara kwa mara kwa serikali ya JK ulisukumwa na chuki zako za kidini!!!
Look, threads zako za nyuma zinavyokuacha uchi wa mnyama tena ukiwa umejianika mbele ya halaiki mchana kweupe!!! Yaani ni kiroja cha mwaka kuona thread kama hii kwako ilistahili sana kutolewa wakati wa utawala wa JK lakini hivi sasa; HAPANA!!
Kwa aibu, hii post hapa chini umei-delete ambayo ulikuwa unamlinganisha JK na hizo sifa ulizotaja hapo juu lakini eti sio John Pombe Magufuli!!!!!
View attachment 610308
Ni kigezo kipi miongoni mwa hivyo ulivyotaja ambavyo Rais Magufuli hana?! Magufuli yule ambae bila aibu mara kwa mara umekuwa ukija hapa kumtetea! Kila udhalimu ukifanyika lazima uje hapa ku-justify udhalimu wa utawala wake kwa kutumia maneno kama "...jambo kama hili si mara ya kwanza kutokea!" Maneno kama "....hata huko nyuma, so and so....!"
Ben Saanane hafahamiki alipo and presumably dead!!! Tundu Lissu ameponea kwenye tundu la sindano na si ajabu akarudi akiwa kwenye wheelchair!!!
Lakini bila aibu kuna siku ulikuja ku-justify udhalimu huo kwa hoja kwamba "...hii si mara ya kwanza kutokea jambo kama hili!"
Narudia, uchambuzi wako miaka ya nyuma ulikuwa upo influenced na nini hasa?! Ni kweli ulikuwa unasukumwa na itikadi za kisiasa au ndo kama ambavyo FaizaFoxy alivyokuwa anasema??!!
Juzi ulilia lia kwamba eti natumia lugha kali! Kwa kawaida, ulimi ukiniteleza baadae huwa najutia kauli zangu lakini kwa kukutolea kauli kali juzi katu sijawahi kujutia kwa sababu, you deserved something more harsh kuliko lugha kali!!!
Kama nilivyosema juzi, narudia tena hapa kwamba watu kama nyinyi ni watu hatari kwa ustawi wa jamii!! Ni watu ambao hamna tofauti yoyote na righthand men wa madikteta wote duniani!!! Ni watu mlioapa kutetea udhalimu bila aibu!!!
Maandishi yanaishi! In the next 15 years, yule mtoto wako ambae ulitutangazia hapa JF kwamba amezaliwa na kisha ukampatia jina la Kinyakyusa, wakati huo atakuwa old enough kusoma maandiko ya babake!!! Maandiko yaliyojaa unafiki toka kwa mtu mwenye ndimi mbili!
Very sorry to that kid manake ataanza kuwa na ufahamu wakati babake akikazana kutetea uovu unaofanyika serikalini!!!
It's a matter of time ipo siku utakuja hapa na hoja zinazofanana na akina Mkamia cuz' that's what you're good at!!!