Madhara ya Ubaguzi

Madhara ya Ubaguzi

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,551
Reaction score
7,596
Ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu ukianza kula nyama ya mtu hutaacha utaendelea kula
Walianza kwa wasio na vibali. Wakafuata kwa walio na vibali ila wageni

Sasa wamekuja na jambo lingine wewe hata kama mzuru hakikisha unazungumza kizuru fasaha la sivyo na wewe mhamiaji haramu

Tujiulize watanzania wangapi hawajui kiswahili

Nashukuru wameshakatiwa umeme na botswana ,linchi likubwa kumbe umeme wanaomba kwa jirani.
 
Ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu ukianza kula nyama ya mtu hutaacha utaendelea kula
Walianza kwa wasio na vibali. Wakafuata kwa walii na vibalu ila wageni

Sasa wamekuja na jambo lingine wewe hata kama mzuru hakikisha unazungumza kizuru fasaha la sivyo na wewe mhamiaji haramu

Tujiulize watanzania wangapi hawajui kiswahili

Nashukuru wameshakatiwa umeme na botswana ,linchi likubwa kumbe umeme wanaomba kwa jirani.
Mafala Sana Walikuwa wana lalamika kubaguliwa na makaburi now days wao ndio vinara wa Ubaguzi Kwa Waafrica wenzao period
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom