Njia ni moja tu, kutenda haki, ReformsView attachment 3348179
Inasikitisha Sana na kamwe tusijipeleke huku.
Huko hakuepukiki kwasabab wananchi wamechoka na CCM hamtaki kuelewa na kuwasikiliza kwahyo hata mtoe mawaidha gani kama hamtaki kuwasikiliza wananchi bas machafuko ni halali TanzaniaView attachment 3348179
Inasikitisha Sana na kamwe tusijipeleke huku.
Ndio tunako elekea, seems like mamlaka ndio influence wakuu kwa kukosa maamuzi yenye akili na busara namna ya kudeal na watu, results ndio hayo yatakuja na zaidView attachment 3348179
Inasikitisha Sana na kamwe tusijipeleke huku.
Uchumi wa Kenya ni mara mbili ya Tanzania wakati huohuo Kenya ni ndogo ukilinganisha na Tanzania.Kuhusu ufisadi Tanzania inaongoza ndiyo maana Kila taarifa ya CAG huonesha madudu Kila mwaka.buguruni,mbagala,mwananyamala,Tandika na sehemu nyingi za Tanzania ni slum.Wakenya nawapenda sana maana wao wako huru hata kuhoji maamuzi ya rais pale anapokosea tofauti na TanzaniaHadi leo Kenya haijawa na maisha mazuri...ufisadi upo palepale ...kibera bado ni slum ile ile
Unataka kuijua hali ya watu wa Kenya nje ya Kibera??Uchumi wa Kenya ni mara mbili ya Tanzania wakati huohuo Kenya ni ndogo ukilinganisha na Tanzania.Kuhusu ufisadi Tanzania inaongoza ndiyo maana Kila taarifa ya CAG huonesha madudu Kila mwaka.buguruni,mbagala,mwananyamala,Tandika na sehemu nyingi za Tanzania ni slum.Wakenya nawapenda sana maana wao wako huru hata kuhoji maamuzi ya rais pale anapokosea tofauti na Tanzania