Madhara ya kutofanya mapenzi kwa muda mrefu

Madhara ya kutofanya mapenzi kwa muda mrefu

Utafiti unaonyesha kwamba asili mia kubwa ya wanaume wasio fanya mapenzi wanapata prostate cancer.
 
WanaJf mnaweza kunisaida madhara anayoweza kuyapata mtu kwa kukaa muda mrefu without sex.

vipi Ndugu!!..Unampango Wa Kuacha Nini?
Kama Jibu Ndio!!...Basi Madhara Ni Kuwa,Utakuwa Ktk Hatari Ya Kujifunza Mchezo Wa Nyeto,Ili Kupunguza Nyege!!

Hivyo Acha Polepole,Kama Ilikuwa Mara 5 Kwa Siku...Sasa Iwe Mara 3, Mara1...Mpaka Itakuwa 0 Kwa Siku, Ili Kupunguza Madhara Hatarishi!!
 
  1. Madhara yake unaweza kubaka.
  2. Kutofikia mshindo (This's a pretty big one).
  3. Kutopata watoto (no passing one's genes on to the next generation).
  4. Kama una mme/mke anaweza kukuacha.

Vipi upo Afghanistan?


Mkuu, umenitisha!! Maana hizi nchi ni noma, Iraq, Kuwait, Qatar, Yemen, Baharain na Saudi Arabia usiombe, hata sex movies za kupigia Punye kwenye Internet hupati!!!

Madhara ya hii kitu uanaweza usipate ila HASIRA huepuki hata kama ni mzazi unampa mbovu!!

Msisahau Con*om jamani!!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Muulize JK.
Bora JK alianguka Jukwaani jangwani kwa ajili ya kiu na uchovu ugonjwa huu hauwezi kumpata
Lakini kuna jamaa alianguka bafuni badala ya Jukwaani huko Mwanza na kuvunjika mkono kwa ajili ya kupunguza salio mbona hammtaji ????????????????????????

phinehas Kukosa hii huduma kuna madhara yake na pande zote husababisa ukichaa fulani na utakuja Mirembe
Kwa Wanawake hako kaugonjwa kanaitwa Hysteria, mfano watoto wa Bweni wa kike kila baada ya miezi hukutanishwa na vidume vya bweni kupunguza stress zao, na kuweka Disco (Msalato na Mazengo, Lyamungo na Weruweru, na hapo Mwl anakagua msicheze Zero distance)
Kwa wanaume ukiwazuia pia ndio ukichaa, kupiga watu kubaka kuku nk au kwa sehemu nyingi mtu anauza mechi km waliotangulia kusema Jela na hata uraiani)
Ndugu yangu zunguka mitaani mbona MUNGU kakupangia level yako hapatakucha utakutana naye gizani ww beba na SALAMA
 
kuchafua mashuka kila sikuuu, kuwa mchafuuu kupindukia
 
ni kweli, nachopinga ni kusema kuwa hakuna madhara kabisa.

Yapo, kushindana na ny... Sio kazi rahisi, hata ukiona mlingoti unaufananisha na mshedede.

Kongosho u have made my day, eti kila ukiona mlingoti unaufananisha na dushee!!!!
 
Last edited by a moderator:
  1. Madhara yake unaweza kubaka.
  2. Kutofikia mshindo (This's a pretty big one).
  3. Kutopata watoto (no passing one's genes on to the next generation).
  4. Kama una mme/mke anaweza kukuacha.



Vipi upo Afghanistan?

Afghan ndio hawa sex?
 
Pia unakuwa na wivu. Ukiona watu wanafanya romance unachukia! Unaanza kusema 'washamba hawa mambo hayo yamepitwa na wakati, watu tulifanya tukayaacha wenyewe ndio wanaanza leo? Limbukeni hao!'
 
WanaJf mnaweza kunisaida madhara anayoweza kuyapata mtu kwa kukaa muda mrefu without sex.

Siku ya kuSex utatoa vikombe vinne vya shahaw* which can lead to pollution (in your case, it's land or water pollution).
 
one week............

So kwako wewe one week ni muda mrefu?

Okay, if that is the case madhara utakayoyapata ni pamoja na:-
-kidudu kupona (baadhi ya michibuko)
-kidudu kurejea rangi yake ya asili
-kichwa kikubwa kuanza kutumika ktk kufikiri tena.
-manii kujikusanya na sperm count kuongezeka.
-manii kuwa nzito kidogo na kupata karangi kwa mbali.
-chipi kutulia kiunoni kwa muda!
-mwili kunawiri!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom