MadameX
JF-Expert Member
- Dec 27, 2009
- 7,792
- 3,859
embu nifafanulie mamii!
uterine fibroids and cyst
embu nifafanulie mamii!
WanaJf mnaweza kunisaida madhara anayoweza kuyapata mtu kwa kukaa muda mrefu without sex.
So kwako wewe one week ni muda mrefu?
Okay, if that is the case madhara utakayoyapata ni pamoja na:-
-kidudu kupona (baadhi ya michibuko)
-kidudu kurejea rangi yake ya asili
-kichwa kikubwa kuanza kutumika ktk kufikiri tena.
-manii kujikusanya na sperm count kuongezeka.
-manii kuwa nzito kidogo na kupata karangi kwa mbali.
-chipi kutulia kiunoni kwa muda!
-mwili kunawiri!
Siku zote kiguu na njia angani bila mama SK unadhani ana-reset wakati gani? au atakuwa na vidosho wengine?
Mkuu madhara yashatajwa kwenye post nyingine..fatilia.kama madhara yapi hata kama ni madogo yaweze wazi tuyajue
Hii anaweza kuwa nayo Anne makindaHamna madhara kiafya, ila kisaikolojia unakua tu uko uneasy, stress nyingi...higher levels za testosterone inakua associated na hasira, kusahau, kuchoka. . .just to mention a few.
- madhara yake unaweza kubaka.
- kutofikia mshindo (this's a pretty big one).
- kutopata watoto (no passing one's genes on to the next generation).
- kama una mme/mke anaweza kukuacha.
vipi upo afghanistan?
Hii anaweza kuwa nayo Anne makinda
- Madhara yake unaweza kubaka.
- Kutofikia mshindo (This's a pretty big one).
- Kutopata watoto (no passing one's genes on to the next generation).
- Kama una mme/mke anaweza kukuacha.
Vipi upo Afghanistan?
Matokeo yake unakuwa vipi ?
Kwa wanawake, matezi ya uzazi yanaweza kukuandama.
Utakuwa unachafua shuka kila kukicha!