Chivundu
Platinum Member
- Dec 17, 2012
- 12,932
- 25,476
Nauza moja tuu
Sawa mkuu, 😁
Nauza moja tuu
Asa ukiuza zote utaishije mkuuDuh! Nikiuza zote mbili nna 90M. utajiri huo wakuu!
Nitaftie mteja mkuu nafigo Moja apa nahisi haina kazi ipo tuWapo, wewe fika hospitali yeyote ya kusafisha figo dialysis, watu wanataka figo na hela wanazo.
Siongei kwa nia mbaya, ni hali halisi.
Kama unaijua hiyo hosp pamoja na mtu wa kwenda kuonana nae naomba unichek pm
Nitaftie mteja mkuu nafigo Moja apa nahisi haina kazi ipo tu
Niko dar, naomba connection mana hizi ishu ukisema uende mwnyw bila connection ukifika hapo watakukataa hata kama wanahitajiKama upo Dar nenda Mloganzila, Mwanza nenda Bugando, Dodoma nenda Benjamin Mkapa, Mtwara nenda Ndanda benedictine.
Figo zinahotajika mkuu, watu wanaumwa na hela wanazo.
mzee anasema hawa wapuuzi wanataka mm nife 😂Kuna mzee mmoja nchi jirani alikiahidi Chuo Kikuu kuwa akifa viungo vyake vichukuliwe. Sasa katimiza miaka 70+ na kila mara chuo humpigia simu kumsalimia. Anashindwa kuelewa nk salamu genuine au wanakumbushia ahadi yake
Nadhani hii ndio njia pekee ya kutatua hii changamoto, kuliko kumtolea kwa mtu aliye hai.Souz wabafanya sana kwa marehem wa ajali kutoa figo na viungo vingine
Nitabakia na moyo, utanitosha kuishi vizuri tu.Asa ukiuza zote utaishije mkuu
Sawa mkuuNitabakia na moyo, utanitosha kuishi vizuri tu.
Mbona haitatuosha?🤔
Ooh nikajua kuspend tu ila kama na kuweka akili tena basi tutaidouble!🤭180M haikutoshi we mmama!
Ukiwa na akili nzuri, 45M unaweza double cash within a year. 😊
Ooh nikajua kuspend tu ila kama na kuweka akili tena basi tutaidouble!🤭
Kweli kabisa! Ni bora pesa ikutumikie kuliko kuitumikia!Mindset ya kuspend hela achana nayo kwa age yako hiyo. Chochote unachokipata kizalishe, utakuwa huru na pesa. Hutakaukiwa pesa, pesa ni Mindset. 😁
Kweli kabisa! Ni bora pesa ikutumikie kuliko kuitumikia!
Unauza bei gani tutafute mteja fasta, middlemen(brokers) tupo tumejaa tele.Vipi kama nahitaji kuuza Figo moja nipate pesa
Me too aiseeYah afanye hata 90 mm natoa yangu