Uza hata moyo. Ni wakoVipi kama nahitaji kuuza Figo moja nipate pesa
Uza hata moyo. Ni wakoVipi kama nahitaji kuuza Figo moja nipate pesa
Wanaojifunza fani ya udaktari na kutumia miili ya marehemu kama sample, je marehemu anakuwa ameridhia?Marehemu kakubali kutolewa Figo zake? Ethics zinakataa
We umeona wapi? Na ikitokea jua aliridhia beforeWanaojifunza fani ya udaktari na kutumia miili ya marehemu kama sample, je marehemu anakuwa ameridhia?
Vipi kama nahitaji kuuza Figo moja nipate pesa
Ww unauza hata donat kwa wayahudiUnauza tuu, figo moja 45M.
Ngoja tuwaulize vyuo vya uuguzi...We umeona wapi? Na ikitokea jua aliridhia before
Ndogo sana mkuuUnauza tuu, figo moja 45M.
Wateja wapo😀Unauza tuu, figo moja 45M.
Nadhani ingekuwa sahihi kungekuwa na utaratibu wa kutumia figo za marehemu, kuliko kutoa figo kwa mtu aliye hai kumpatia mgonjwa.[/QUOT]ya aliyekufa itafaa? Siyo kuwa ukifa na figo nayo inakufa?
Ww unauza hata donat kwa wayahudi
Wateja wapo😀
Souz wabafanya sana kwa marehem wa ajali kutoa figo na viungo vingine''Muda wa Kuishi (Viability): Figo zinaweza kuhifadhiwa na kubaki salama kwa ajili ya kupandikizwa (transplant) kwa muda wa saa 24 hadi 48 baada ya kifo, ikiwa zitaondolewa na kuhifadhiwa vizuri kwenye kifaa maalum cha ubaridi.''
Teeth?Tuko makumbusho Mkuu, Kama uko serious sema
45m ndogo sana, waambie nauza yangu ina afya, haijui bangi, pombe wala energy drinks nauza Sio chini ya 90mUnauza tuu, figo moja 45M.
Yah afanye hata 90 mm natoa yanguNdogo sana mkuu
Duh! Nikiuza zote mbili nna 90M. utajiri huo wakuu!Unauza tuu, figo moja 45M.
Kama unaijua hiyo hosp pamoja na mtu wa kwenda kuonana nae naomba unichek pmWapo, wewe fika hospitali yeyote ya kusafisha figo dialysis, watu wanataka figo na hela wanazo.
Siongei kwa nia mbaya, ni hali halisi.