Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Bandugu bado hamjaamka? tunasubiri mawazo yenu hapa juu ya kukandamiza!!!
Ngoja nilale kwanza Mtambuzi ..nimesoma nusu naona ukungu wa machoni..ntamalizia kesho na ntachangia io kesho..lol
Daaah hapa kuchangia mpaka kesho hata nimeishia robo tatu
post ndefu sana,,,,usingizi.
ndefu ila ina ka ukweli
dah ngoja niweke alarm asubuhi nidamke kuimalizia why Mtambuzi unaandika ndefu hivi.
Hii thread imenivutia sana ila nitaisoma kesho.