Madhara ya kubakwa

Lutala

JF-Expert Member
Jun 17, 2010
848
103
Waungwana kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza na kutopata jibu. Leo hii naomba mnisaidie jibu.

Mara kwa mara nisomapo habari kuhusu ubakaji (siyo kuwa nashabikia vitendo hivyo) waandishi humalizia kwa kusema kytokana na kitendo hicho mbakwaji ameumia vibaya sehemu za siri.

Hivi ni kweli kila anayebakwa ni lazima aumie vibaya sehemu za siri? Au ndo imekuwa dhana yakinifu (stereotype) katika kuandika?

Kwani kama angekubali kwa ridhaa yake asingeumia vibaya? Naombeni munielimishe katiaka hili.

Nawasilisha
 
Ni vigumu sana kupata jibu yakinifu kwenye suala hili unless uongee na mtu ambaye aliishawahi tendewa tendo hilo la ubakaji sababu yeye ndio anajua how it feels like vinginevyo kama haijawahi kukutokea madhara yake unakuwa unayajua juu juu tu kwa kuambiwa na madaktari au kusikia kwenye vyombo vya habari, I know of someone aliyetendewa kitendo hiki almost miaka mwaka mmoja mfululizo till now she's not okay
 
Nadhani jibu liko wazi kabisa, vinginevyo unataka kuwaenjoy watu tu.

kawaida tendo la ndoa ni lazima mwanamke aandaliwe kwanza (awe tayari kimwili, kiakili na kiseikologia).

watu wazima hapa wameshanielewa tayari. vinginevyo kama hajaandaliwa sehemu husika huwa dry (haina uteute) wa kuruhusu mkuu wa mkoa kupita bila mikrwaruzo.

matokeo yake mwanamke huumia kwa kupata michubuko na mara nyingine kutokwa damu.
 
madhara ya kubakwa (hasa watoto) ni matatizo ya 'kisaikolojia'.....
 
Back
Top Bottom