Madhara ya kuangalia Picha/Video za Ngono kwa Wanaume na Wanawake

Mhafidhina

JF-Expert Member
Feb 6, 2008
549
22
Naomba kufahamu madhara yatokanayo na kuangalia picha/video za ngono kwa watu wa aina zote, Wanaume kwa Wanawake...!

- Tatizo jingine la mdau wa JF.


=========
MAONI NA USHAURI WA WANAJF

1.
2.
3.
 
Hakuna madhara physical au psychological yatokanayo na kuangalia video za ngono. Tatizo lina luka pale mtu unapo dhani kila unacho kiona kwenye video hizo ni kweli.

Kuna watu wanaangalia video hizo na kiona technics na kuviapply kwenye maisha ya mapemzi. Wasicho ni kwamba ule ni uigizaji.

Wengine wakiona style fulani inamfanya mwanamke apigee mayowe wanaenda kwa wapenzi wap bila kujua kwamba Mara nyingi porn stars wana fake orgasm kicreate uhalisia.

Kwa hiyo mkuu usije ukaona kwenye hizo video mwanamke ana zabwa vibao au kushindiliwa uume kooni mpaka ana kuwa mwekundu huko ana furahia na wewe ukaenda kumfanyia mpenzi wako.

So madhara ni hilo tu mkuu la kudhani kila unachoona humo kinamfurahisha mwanamke na wewe kuongeza mbinu hizo kwenye "arsenal" yako. Vitu vingine mbembewe tu so be aware unavyoiga.
 
Kuna tatizo la kuwa addictive. Inasemekana pia hizi picha na video za ngono zinaweza kumfanya mtu kuwa addictive sana kiasi cha kushindwa ku-do mpaka atazame kidogo ili kuamsha hisia...! Sasa sijajua huli ni kweli kiasi gani...!

 
Kuna tatizo la kuwa addictive. Inasemekana pia hizi picha na video za ngono zinaweza kumfanya mtu kuwa addictive sana kiasi cha kushindwa ku-do mpaka atazame kidogo ili kuamsha hisia...! Sasa sijajua huli ni kweli kiasi gani...!


It is not addictive kiasi cha kukufanya ushindwe kuperform kunako sita kwa sita. Addiction yake ile ni metaphor tu Kama vile mtu anapo kuwa addicted na kipindi fulani au aina fulani ya movie.

Tatizo ukizoea sana you lose touch with reality and create false expectations for ur lover and urself. Ila kama ukiichukulia kama burudani tu haina madhara. Kuna watu wanaangalia porn na wenza wao kama vile baadhi ya watu wanavyo enda strip club na wapenzi wao.
 
No ni nzuri kwa kujifunzia, but be private with ur wife or alone, pili don't watch everyday, once a week is Good, kama huangalii kabisa ni uamuzi wako pia, but be careful anything in excess is harmful, iwe ngono, chakula, kusoma, mazoezi, kucheka, watching Porno, etc have ur own limit,
 
hakuna madhara kama anajielewa ila kama hajielewi kazi ipo mpe kazi nyingi ili akichoka alale zaidi ya hapo sidhani kama ataacha kikubwa ni mishemishe ziwe nyingi asipate mda wakuangalia pc au tv..
 
Chapa piga huyo kijana na anaangalizia sehem gan kwenye cm tv computer? Wakati huo ww unakuwa wap?
 
porn inasaidia watu kuyopata ngoma...maana wanaangalia na kwenda kupiga nyeto.....wanawake wala huna shida nao tena.
 
anahitati guidance and councelling mkuu ndio tiba pekee,na ifanywe na mtaala sio ww, kwana waweza muongezea matatizo mengine, athari yake anaweza kuja kupata kesi ya ubakaji au yeye mwenyewe kuathirika kisaikolojia!
 
pia nimegundua, tatle ya habari"Picha za Ngono" mijitu ikisoma tu haraka anadhani atakutana na Mimuve ya xxx, ndiomana hawatoe jibu la swali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…