Madhara ndani ya CHADEMA baada ya mgogoro na Zitto Kabwe

Waacheni wafe jamani kwani kufa kwao ni tatizo! Adui mwombee njaa,,ukiona unajibaraguza kwa adui basi ujue kakukamata bado.
 
kwa hiyo tufanyaje ?
uongozi apewe nani?
au tuwarudishe wakoloni ?

cha kufanya ni kuacha kudanganya wanachi kuwa mimi ni bora kuliko huyu wakati wote lenu moja ni kwenda kula..... watuweke wazi kwamba jamani naona sasa ni zamu yetu ya kula..

uongozi apewe yule mwananchi anayehisi ataiba kidogo si sana ......
wakoloni ndiyo source ya uushenzi wote huu unaoendelea nchini hapa. wapo wapo bado wanatumia migongo ya watanzania wasiojua kuchambua mambo na kuleta kwa jamii....
 
Mawashawasha mengine,unajikuna nini wakati hujaguswa?mlichotegemea mmekikosa,zitto kwetu tuna mwona wa kawaida2,muweke wazi kwamba mpango wenu umefeli,na milioni zenu kazitafuna kwahiyo zinawauma,wasaliti chedema mwiko,hatuna huruma na wasaliti wa aina ya zzk,
 
Kiukweli CHADEMA imepasuka vipande vipande, imemeguka, imeyumba na imeporomoka japo wanachama wake na washabiki na viongozi wanakana ukweli huu. kwa sasa CHADEMA haisisimui wala haina tena mvuto kwa watanzania.

Imedharaulika.

Hivi Zitto angekuwa hana mgogoro na CHADEMA leo hii wakati chama kipo kwenye uchaguzi wa ndani, wakati kuna mgogoro wa katiba mpya, wakati vyama vya upinzani vimeungana, hali ingekuwaje??

Nawashauri CHADEMA wayamalize na Zitto kama NCCR walivomalizana na Kafulila kwa maslahi mapana ya Taifa na demokrasia nchini.

Au wanasubiri uchaguzi ndani ya CHADEMA uishe ndio wayamalize?

Kumbe tatizo siyo CHADEMA tatizo ni Zitto kutorudishwa CHADEMA.Mbona ameshatangaza kujiunga na chama kipya ina maana kuwa Zitto bila CHADEMA hawezi kufanikiwa?ina maana kuwa nguvu ya Zitto iko ndani ya CHADEMA na akienda chama kingine ni mdororo mtupu?.
 
Haya matamanio ya CHADEMA kufa yatabaki hivyo tu, Ulizeni ile nyara yataifa iliyo kimbia hifadhi ya wanyama pori kule Gombe ilisema hivi CHADEMA Mwisho 2013.
 
mimi pia nilikua mfuasi wake ninakiri

Me nilikua mfuasi wa chadema tena mkeleketwa na mfurukutwa haswaaaa. Ila baada ya kugundua chama kimebakwa na wafanyabiasha na wamekibaka haswa na kukiweka mifukoni mwao ndo nikawastukia.

Ukiyatafuta makosa ya hao wanaowafukuza kila siku unabaini ni matokeo ya kuibinya demokrasia ndani ya chama na kuwatungia watu propaganda ili waendelee kukitafuna chama kama mchwa.

Ni vigumu kwa mtu makini kujiunga nacho. Wamebaki wapiga debe na wavuta bange ndio maana posts za matusi zimeshamili hapa jukwaani.
 
Wakiyamaliza sasa hivi, KABWE anakuwa Mwenyekiti Taifa

Siasa uchwara za ZItto zimefika ukingoni ndugu amebaki kama toilet paper ambayo imeshachambiwa. Hana thamani amepauka pauuu. Ni makapi kama ya muwa yaliyochujwa na mashine ya kutengeneza jiuce ya miwa. Nisemeje tena uelewe. Ni kama kondomu tuu kondom moja kwa kila tendo moja yeye ashatumika anatupwa inavaliwa mpya. HUJAELEWA TU NDUGU? . COme 2016 atakuwa kama James mapalala au Augustine mrema.

Msiwe na wishfull thinking za kipuuzi. Zito zito my Azz.
 
Back
Top Bottom