Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 12,638
- 23,843
Nilikuwa natafuta hii comment na nimeipata. Exactly. Unakataa laki na nusu ya posa ni wapi una uhakika wa kupata 150,000 huko?Ukighairi watapata wapi hiyo 150k?
Binti awe mpole lasivyo usingle maza unamwita..siku hizo ndoa ni za manati sana.
hawa watu hutakiwi kuwaonesha kama wewe ndo una shida sana ya kuoa huyo bint, sometimes inabidi uoneshe ukauzuNilikuwa natafuta hii comment na nimeipata. Exactly. Unakataa laki na nusu ya posa ni wapi una uhakika wa kupata 150,000 huko?
Wewe ni mnyakysa bila shaka manake wanaka na ubaguzi flan ivHivi posa ndio nini? Nachokumbuka niliweka 100k kwenye barua kwa wanyakyusa haohao walipokea na kwenye kuoa mahari ilifika m3
Itakuwa ni kyimbila au katumbaPole kaka nieneo gani mpuguso,mwakareli,itaka au igamba
Hao watu ni complicated sana, utapigwa na kitu kizito kichwani muda sio mrefu.Mama ndo mwenye sauti yaani mama anakua na kaubabe flan ivi.
Pesa ya Posa lazima iwe nyingi ili wagawane ndugu wa wazaz wa bint na baadhi ya majiran
Binti kuolewa mtaa mzima wataambiwa as if kuolewa ni jambo geni kwao.
Ukimpa mimba bint wa mbeya usipokua makin anakuletea
mtoto na kumuacha kwako yeye anaondoka.
Proof.
Nmepeleka Posa /barua kwao nmeweka 150,000 baba akopokea vizuri kwa mikono miwili mama alivyorudi na kupewa taarifa alikataa akasema 150 ni ndogo.
Mama anasema Posa nayotoa wanagawana ndugu na baadhi ya wanakijiji as if Mimi naolea kijiji chao.
Kwa iyo Minimum natakiwa nitoe 250,000
Wananichimba mkwara kwamba bint atanilitea kichanga ni kalee pekee yangu. Wao wamchukue bint Yao yaani full kaubnafsi
Binti anakua mkali anasema Mimi ntakuletea mtoto wako siwez kukulelea mtoto wako yan full ubabe ubabe.
Makabila mengi hela ya Posa roughly ni 30,000---50,000.
Labda wanaume wa dar chips yai.Unapigwaje na mwanamke mzee kwa mfano yaani anaanza wapi kukupiga wewe mtoto wa kiume?
Au anakuwekea dawa za usingizi na kukufunga kamba kwanza?
Mama ndo mwenye sauti yaani mama anakua na kaubabe flan ivi.
Pesa ya Posa lazima iwe nyingi ili wagawane ndugu wa wazaz wa bint na baadhi ya majiran
Binti kuolewa mtaa mzima wataambiwa as if kuolewa ni jambo geni kwao.
Ukimpa mimba bint wa mbeya usipokua makin anakuletea
mtoto na kumuacha kwako yeye anaondoka.
Proof.
Nmepeleka Posa /barua kwao nmeweka 150,000 baba akopokea vizuri kwa mikono miwili mama alivyorudi na kupewa taarifa alikataa akasema 150 ni ndogo.
Mama anasema Posa nayotoa wanagawana ndugu na baadhi ya wanakijiji as if Mimi naolea kijiji chao.
Kwa iyo Minimum natakiwa nitoe 250,000
Wananichimba mkwara kwamba bint atanilitea kichanga ni kalee pekee yangu. Wao wamchukue bint Yao yaani full kaubnafsi
Binti anakua mkali anasema Mimi ntakuletea mtoto wako siwez kukulelea mtoto wako yan full ubabe ubabe.
Makabila mengi hela ya Posa roughly ni 30,000---50,000.
Katika kabila ambalo halitupi mtoto Tanzania kumwachia mume huenda wanyakyusa tukashika namba moja....udhaifu wetu ni kumbadilisha jina mtoto na kumpa la ukoo upande wa mama.Mama ndo mwenye sauti yaani mama anakua na kaubabe flan ivi.
Pesa ya Posa lazima iwe nyingi ili wagawane ndugu wa wazaz wa bint na baadhi ya majiran
Binti kuolewa mtaa mzima wataambiwa as if kuolewa ni jambo geni kwao.
Ukimpa mimba bint wa mbeya usipokua makin anakuletea
mtoto na kumuacha kwako yeye anaondoka.
Proof.
Nmepeleka Posa /barua kwao nmeweka 150,000 baba akopokea vizuri kwa mikono miwili mama alivyorudi na kupewa taarifa alikataa akasema 150 ni ndogo.
Mama anasema Posa nayotoa wanagawana ndugu na baadhi ya wanakijiji as if Mimi naolea kijiji chao.
Kwa iyo Minimum natakiwa nitoe 250,000
Wananichimba mkwara kwamba bint atanilitea kichanga ni kalee pekee yangu. Wao wamchukue bint Yao yaani full kaubnafsi
Binti anakua mkali anasema Mimi ntakuletea mtoto wako siwez kukulelea mtoto wako yan full ubabe ubabe.
Makabila mengi hela ya Posa roughly ni 30,000---50,000.
Utamlea vp mkuu mtoto mchanga anahitaj mama zaid ya baba
vp wale ambao mama zao wanakufa wanapojifungua?....Utamlea vp mkuu mtoto mchanga anahitaj mama zaid ya baba