Madhaifu ya wanyakyusa nilichogundua baada ya kupeleka posa/barua kwa binti wa kinyakyusa

Hilo ni true by 80% moja sifa yao kubwa inayowapa nyota 5 kuelekea ndoani.

Japo kiburi na ubabe ndio huwa vinawaponza wengi ambao akili zao zinakuwa za kukopa kwa mama mkwe na mashangazi baada ya kuolewa. Wengi wanao cancel itikadi za kwao wakiolewa huwa wanakuwa wake wazuri sana ila wanaokumbatia hizo tabia wanawapa tabu waume.
Shemeji nilijua tu nitakuona kwenye huu Uzi😹😹😹
 
Wanawake wa kinyakyusa ni kabila jeuri dunia nzima, unaoaje mnyakyusa una akili wewe?
Mama ndo mwenye sauti yaani mama anakuwa na kaubabe fulan hivi.

Pesa ya Posa lazima iwe nyingi ili wagawane ndugu wa wazaz wa bint na baadhi ya majiran

Binti kuolewa mtaa mzima wataambiwa as if kuolewa ni jambo geni kwao.

Ukimpa mimba bint wa mbeya usipokua makin anakuletea
mtoto na kumuacha kwako yeye anaondoka.

Proof.
Nmepeleka Posa /barua kwao nmeweka 150,000 baba akopokea vizuri kwa mikono miwili mama alivyorudi na kupewa taarifa alikataa akasema 150 ni ndogo.

Mama anasema Posa nayotoa wanagawana ndugu na baadhi ya wanakijiji as if Mimi naolea kijiji chao.

Kwa iyo Minimum natakiwa nitoe 250,000

Wananichimba mkwara kwamba bint atanilitea kichanga ni kalee pekee yangu. Wao wamchukue bint Yao yaani full kaubnafsi

Binti anakua mkali anasema Mimi ntakuletea mtoto wako siwez kukulelea mtoto wako yan full ubabe ubabe.

Makabila mengi hela ya Posa roughly ni 30,000---50,000.
 
Mkuu, mtoto atalelewa, na atasimama, na atakua mtu na kioo cha jamii, tunaweza kulea mbwa, kuku bila mama zao sembuse binadamu, tena damu yangu?
Agiza kinywaji bariiiidi ujilipie mkuu
Huu ndio uanaume sasa 😂

Hakuna kitu nachukia kama mwanamke kunga’ang’ania mtoto wakati hana uwezo wa kumtunza na anakugeuza kitega uchumi kwa mgongo wa mtoto
 
Wanapooana maskini posa huwa ndogo.Posa kubwa inategemea muolewaji anatokea familia yenye hadhi gani? Na yenye maadili gani? Kuna binti toka familia yenye hadhi na maadili mazuri ukienda kuoa mahari yaweza anzia milioni tatu kwenda juu.Ukienda zenye hadhi ndogo na maadili madogo mahari yaweza kuwa hata elfu kumi au hata bure na posa waweza weka hata shilingi elfu mbili

Kupiga hesabu ya posa ni kuwa iwe asilimia kumi ya mahari tarajiwa
Posa haiendani na maadili, nitakupinga mpaka kesho. We linganisha na uchumi wa familia ya binti ila si maadili, shika naujue hilo. Mabinti wengi wakitajiri ni club na one night stand uliza wanafika wangapi hospitali kutoa mimba. Hivyo maadili ni kitu kingine kabisa.
 
250k. tu una risk lifestyle na future ya mtoto.

probably umetoka kwa single parents family. sio kwa akili hizi.
Basically hajarisk chochote bali ameweka msimamo kuwa familia hii ni yake na maamuzi ni juu yao. Unatengeneza msingi tangu mwanzo maana ukikosea kidogo maamuzi ya familia yako yataingiliwa na wakwe. Ni mwanamke mpumbavu tu ndio atakayefanya mwanae alelewe kama yatima aliyekosa baba kisa posa wakati kuna maisha baada ya posa, mahari na ndoa. Na hapo hao wazazi hawatakuepo kukuendeshea hilo gurudumu.
 
Huo ukanda tu kuanzia njombe,mbeya mpaka songwe sio pa kuoa,wacha waoane wao kwa wao ndio wanawezana kuanzia ubabe mpaka ushirikina.
 
Mama ndo mwenye sauti yaani mama anakuwa na kaubabe fulan hivi.

Pesa ya Posa lazima iwe nyingi ili wagawane ndugu wa wazaz wa bint na baadhi ya majiran

Binti kuolewa mtaa mzima wataambiwa as if kuolewa ni jambo geni kwao.

Ukimpa mimba bint wa mbeya usipokua makin anakuletea
mtoto na kumuacha kwako yeye anaondoka.

Proof.
Nmepeleka Posa /barua kwao nmeweka 150,000 baba akopokea vizuri kwa mikono miwili mama alivyorudi na kupewa taarifa alikataa akasema 150 ni ndogo.

Mama anasema Posa nayotoa wanagawana ndugu na baadhi ya wanakijiji as if Mimi naolea kijiji chao.

Kwa iyo Minimum natakiwa nitoe 250,000

Wananichimba mkwara kwamba bint atanilitea kichanga ni kalee pekee yangu. Wao wamchukue bint Yao yaani full kaubnafsi

Binti anakua mkali anasema Mimi ntakuletea mtoto wako siwez kukulelea mtoto wako yan full ubabe ubabe.

Makabila mengi hela ya Posa roughly ni 30,000---50,000.
Tena wanyakyusa ni matrilineal. Watoto wanatuma majina ya wajomba
 
Back
Top Bottom