Madhaifu ya wanyakyusa nilichogundua baada ya kupeleka posa/barua kwa binti wa kinyakyusa

Mama ndo mwenye sauti yaani mama anakua na kaubabe flan ivi.

Pesa ya Posa lazima iwe nyingi ili wagawane ndugu wa wazaz wa bint na baadhi ya majiran

Binti kuolewa mtaa mzima wataambiwa as if kuolewa ni jambo geni kwao.

Ukimpa mimba bint wa mbeya usipokua makin anakuletea
mtoto na kumuacha kwako yeye anaondoka.

Proof.
Nmepeleka Posa /barua kwao nmeweka 150,000 baba akopokea vizuri kwa mikono miwili mama alivyorudi na kupewa taarifa alikataa akasema 150 ni ndogo.

Mama anasema Posa nayotoa wanagawana ndugu na baadhi ya wanakijiji as if Mimi naolea kijiji chao.

Kwa iyo Minimum natakiwa nitoe 250,000

Wananichimba mkwara kwamba bint atanilitea kichanga ni kalee pekee yangu. Wao wamchukue bint Yao yaani full kaubnafsi

Binti anakua mkali anasema Mimi ntakuletea mtoto wako siwez kukulelea mtoto wako yan full ubabe ubabe.

Makabila mengi hela ya Posa roughly ni 30,000---50,000.

DOGO BADO HAUPO TAYARI KUOA. TSH 250,000 YA POSA UNAKUJA ANZISHA UZI? MAHARI SI NDO UTALIA KABISA. WATU POSA TUNATOA MPAKA MILION MOJA NA KUENDELEA NA MKE AKIZINGUA TUNAMWACHA. MADOGO MNADEKA SANA MIAKA HII. NDO MAANA MNASHINDWA KULEA FAMILIA.
 
Ni familia hiyo uliyoenda kuoa sio kabila zima, na hiyo uliyopeleka ni posa yaan kishika uchumba hakitakiwi kuzidi 100,000/= labda kama umempa mimba kabisa hapo ndo faini inakuhusu inainzia 150,000-300,000/= kuhusu maamuzi yako chini ya baba na mashangazi sio mama, nimeoa unyakyusani na mwaka wa nane huu niko na mama chanja wangu life linaenda. Onyesha msimamo ukienda kinyororo utakula za uso
 
Ni familia hiyo uliyoenda kuoa sio kabila zima, na hiyo uliyopeleka ni posa yaan kishika uchumba hakitakiwi kuzidi 100,000/= labda kama umempa mimba kabisa hapo ndo faini inakuhusu inainzia 150,000-300,000/= kuhusu maamuzi yako chini ya baba na mashangazi sio mama, nimeoa unyakyusani na mwaka wa nane huu niko na mama chanja wangu life linaenda. Onyesha msimamo ukienda kinyororo utakula za uso
Jamaa limezalisha mtoto wa watu ndo linajipeleka ukweni, acha waliparuwe.
 
Mama ndo mwenye sauti yaani mama anakua na kaubabe flan ivi.

Pesa ya Posa lazima iwe nyingi ili wagawane ndugu wa wazaz wa bint na baadhi ya majiran

Binti kuolewa mtaa mzima wataambiwa as if kuolewa ni jambo geni kwao.

Ukimpa mimba bint wa mbeya usipokua makin anakuletea
mtoto na kumuacha kwako yeye anaondoka.

Proof.
Nmepeleka Posa /barua kwao nmeweka 150,000 baba akopokea vizuri kwa mikono miwili mama alivyorudi na kupewa taarifa alikataa akasema 150 ni ndogo.

Mama anasema Posa nayotoa wanagawana ndugu na baadhi ya wanakijiji as if Mimi naolea kijiji chao.

Kwa iyo Minimum natakiwa nitoe 250,000

Wananichimba mkwara kwamba bint atanilitea kichanga ni kalee pekee yangu. Wao wamchukue bint Yao yaani full kaubnafsi

Binti anakua mkali anasema Mimi ntakuletea mtoto wako siwez kukulelea mtoto wako yan full ubabe ubabe.

Makabila mengi hela ya Posa roughly ni 30,000---50,000.
Hongera Mkuu kuweza kuwa na nia ya Kuoa

Nashauri mapenzi yenu yasiathiriwe na Wazazi kama ninyi wenyewe mmependana

Suala la ubabe wa Mkeo mtarajiwa lisikukatishe tamaa

Ana nafasi ya kubadirika ukishamuweka ndani kwako

Mke wangu sio Mnyakikyusa ila nililipa Posa Pekee shilingi 200,000 na ni zamani kidogo 🤗
 
Hongera Mkuu kuweza kuwa na nia ya Kuoa

Nashauri mapenzi yenu yasiathiriwe na Wazazi kama ninyi wenyewe mmependana

Suala la ubabe wa Mkeo mtarajiwa lisikukatishe tamaa

Ana nafasi ya kubadirika ukishamuweka ndani kwako

Mke wangu sio Mnyakikyusa ila nililipa Posa Pekee shilingi 200,000 na ni zamani kidogo 🤗
Zamani kidogo ndio kuanzia miaka ya afu moja mia nane na ngapi?
 
Mama ndo mwenye sauti yaani mama anakua na kaubabe flan ivi.

Pesa ya Posa lazima iwe nyingi ili wagawane ndugu wa wazaz wa bint na baadhi ya majiran

Binti kuolewa mtaa mzima wataambiwa as if kuolewa ni jambo geni kwao.

Ukimpa mimba bint wa mbeya usipokua makin anakuletea
mtoto na kumuacha kwako yeye anaondoka.

Proof.
Nmepeleka Posa /barua kwao nmeweka 150,000 baba akopokea vizuri kwa mikono miwili mama alivyorudi na kupewa taarifa alikataa akasema 150 ni ndogo.

Mama anasema Posa nayotoa wanagawana ndugu na baadhi ya wanakijiji as if Mimi naolea kijiji chao.

Kwa iyo Minimum natakiwa nitoe 250,000

Wananichimba mkwara kwamba bint atanilitea kichanga ni kalee pekee yangu. Wao wamchukue bint Yao yaani full kaubnafsi

Binti anakua mkali anasema Mimi ntakuletea mtoto wako siwez kukulelea mtoto wako yan full ubabe ubabe.

Makabila mengi hela ya Posa roughly ni 30,000---50,000.
Wapi huko kwa 30k?? Watu wanatoa M na bado ni kawaida sana
 
Mama ndo mwenye sauti yaani mama anakua na kaubabe flan ivi.

Pesa ya Posa lazima iwe nyingi ili wagawane ndugu wa wazaz wa bint na baadhi ya majiran

Binti kuolewa mtaa mzima wataambiwa as if kuolewa ni jambo geni kwao.

Ukimpa mimba bint wa mbeya usipokua makin anakuletea
mtoto na kumuacha kwako yeye anaondoka.

Proof.
Nmepeleka Posa /barua kwao nmeweka 150,000 baba akopokea vizuri kwa mikono miwili mama alivyorudi na kupewa taarifa alikataa akasema 150 ni ndogo.

Mama anasema Posa nayotoa wanagawana ndugu na baadhi ya wanakijiji as if Mimi naolea kijiji chao.

Kwa iyo Minimum natakiwa nitoe 250,000

Wananichimba mkwara kwamba bint atanilitea kichanga ni kalee pekee yangu. Wao wamchukue bint Yao yaani full kaubnafsi

Binti anakua mkali anasema Mimi ntakuletea mtoto wako siwez kukulelea mtoto wako yan full ubabe ubabe.

Makabila mengi hela ya Posa roughly ni 30,000---50,000.
We ndio Kajinga. Hakuna mtu anapelekeshwa hivyo, kwani Huna Mshenga?
 
Mama ndo mwenye sauti yaani mama anakua na kaubabe flan ivi.

Pesa ya Posa lazima iwe nyingi ili wagawane ndugu wa wazaz wa bint na baadhi ya majiran

Binti kuolewa mtaa mzima wataambiwa as if kuolewa ni jambo geni kwao.

Ukimpa mimba bint wa mbeya usipokua makin anakuletea
mtoto na kumuacha kwako yeye anaondoka.

Proof.
Nmepeleka Posa /barua kwao nmeweka 150,000 baba akopokea vizuri kwa mikono miwili mama alivyorudi na kupewa taarifa alikataa akasema 150 ni ndogo.

Mama anasema Posa nayotoa wanagawana ndugu na baadhi ya wanakijiji as if Mimi naolea kijiji chao.

Kwa iyo Minimum natakiwa nitoe 250,000

Wananichimba mkwara kwamba bint atanilitea kichanga ni kalee pekee yangu. Wao wamchukue bint Yao yaani full kaubnafsi

Binti anakua mkali anasema Mimi ntakuletea mtoto wako siwez kukulelea mtoto wako yan full ubabe ubabe.

Makabila mengi hela ya Posa roughly ni 30,000---50,000.
Sikia, hama mtaa.. binti asijue unaishi wapi, hiyo 250 kwenye posa ni kubwa mno, hauoi kijiji kizima
Kataa ndoa
 
Back
Top Bottom