Mama ndo mwenye sauti yaani mama anakua na kaubabe flan ivi.
Pesa ya Posa lazima iwe nyingi ili wagawane ndugu wa wazaz wa bint na baadhi ya majiran
Binti kuolewa mtaa mzima wataambiwa as if kuolewa ni jambo geni kwao.
Ukimpa mimba bint wa mbeya usipokua makin anakuletea
mtoto na kumuacha kwako yeye anaondoka.
Proof.
Nmepeleka Posa /barua kwao nmeweka 150,000 baba akopokea vizuri kwa mikono miwili mama alivyorudi na kupewa taarifa alikataa akasema 150 ni ndogo.
Mama anasema Posa nayotoa wanagawana ndugu na baadhi ya wanakijiji as if Mimi naolea kijiji chao.
Kwa iyo Minimum natakiwa nitoe 250,000
Wananichimba mkwara kwamba bint atanilitea kichanga ni kalee pekee yangu. Wao wamchukue bint Yao yaani full kaubnafsi
Binti anakua mkali anasema Mimi ntakuletea mtoto wako siwez kukulelea mtoto wako yan full ubabe ubabe.
Makabila mengi hela ya Posa roughly ni 30,000---50,000.
Jamaa limezalisha mtoto wa watu ndo linajipeleka ukweni, acha waliparuwe.Ni familia hiyo uliyoenda kuoa sio kabila zima, na hiyo uliyopeleka ni posa yaan kishika uchumba hakitakiwi kuzidi 100,000/= labda kama umempa mimba kabisa hapo ndo faini inakuhusu inainzia 150,000-300,000/= kuhusu maamuzi yako chini ya baba na mashangazi sio mama, nimeoa unyakyusani na mwaka wa nane huu niko na mama chanja wangu life linaenda. Onyesha msimamo ukienda kinyororo utakula za uso
Analamika nini alijiona mjanja kumwagia ndaniJamaa limezalisha mtoto wa watu ndo linajipeleka ukweni, acha waliparuwe.
Hongera Mkuu kuweza kuwa na nia ya KuoaMama ndo mwenye sauti yaani mama anakua na kaubabe flan ivi.
Pesa ya Posa lazima iwe nyingi ili wagawane ndugu wa wazaz wa bint na baadhi ya majiran
Binti kuolewa mtaa mzima wataambiwa as if kuolewa ni jambo geni kwao.
Ukimpa mimba bint wa mbeya usipokua makin anakuletea
mtoto na kumuacha kwako yeye anaondoka.
Proof.
Nmepeleka Posa /barua kwao nmeweka 150,000 baba akopokea vizuri kwa mikono miwili mama alivyorudi na kupewa taarifa alikataa akasema 150 ni ndogo.
Mama anasema Posa nayotoa wanagawana ndugu na baadhi ya wanakijiji as if Mimi naolea kijiji chao.
Kwa iyo Minimum natakiwa nitoe 250,000
Wananichimba mkwara kwamba bint atanilitea kichanga ni kalee pekee yangu. Wao wamchukue bint Yao yaani full kaubnafsi
Binti anakua mkali anasema Mimi ntakuletea mtoto wako siwez kukulelea mtoto wako yan full ubabe ubabe.
Makabila mengi hela ya Posa roughly ni 30,000---50,000.
Zamani kidogo ndio kuanzia miaka ya afu moja mia nane na ngapi?Hongera Mkuu kuweza kuwa na nia ya Kuoa
Nashauri mapenzi yenu yasiathiriwe na Wazazi kama ninyi wenyewe mmependana
Suala la ubabe wa Mkeo mtarajiwa lisikukatishe tamaa
Ana nafasi ya kubadirika ukishamuweka ndani kwako
Mke wangu sio Mnyakikyusa ila nililipa Posa Pekee shilingi 200,000 na ni zamani kidogo 🤗
Ilikuwa Mwaka 47 🤗Zamani kidogo ndio kuanzia miaka ya afu moja mia nane na ngapi?
Wapi huko kwa 30k?? Watu wanatoa M na bado ni kawaida sanaMama ndo mwenye sauti yaani mama anakua na kaubabe flan ivi.
Pesa ya Posa lazima iwe nyingi ili wagawane ndugu wa wazaz wa bint na baadhi ya majiran
Binti kuolewa mtaa mzima wataambiwa as if kuolewa ni jambo geni kwao.
Ukimpa mimba bint wa mbeya usipokua makin anakuletea
mtoto na kumuacha kwako yeye anaondoka.
Proof.
Nmepeleka Posa /barua kwao nmeweka 150,000 baba akopokea vizuri kwa mikono miwili mama alivyorudi na kupewa taarifa alikataa akasema 150 ni ndogo.
Mama anasema Posa nayotoa wanagawana ndugu na baadhi ya wanakijiji as if Mimi naolea kijiji chao.
Kwa iyo Minimum natakiwa nitoe 250,000
Wananichimba mkwara kwamba bint atanilitea kichanga ni kalee pekee yangu. Wao wamchukue bint Yao yaani full kaubnafsi
Binti anakua mkali anasema Mimi ntakuletea mtoto wako siwez kukulelea mtoto wako yan full ubabe ubabe.
Makabila mengi hela ya Posa roughly ni 30,000---50,000.
Sasa mwaka 47 utoe 200K kuposa ?Ilikuwa Mwaka 47 🤗
Imepita miaka mingi sasa 🤗
We ndio Kajinga. Hakuna mtu anapelekeshwa hivyo, kwani Huna Mshenga?Mama ndo mwenye sauti yaani mama anakua na kaubabe flan ivi.
Pesa ya Posa lazima iwe nyingi ili wagawane ndugu wa wazaz wa bint na baadhi ya majiran
Binti kuolewa mtaa mzima wataambiwa as if kuolewa ni jambo geni kwao.
Ukimpa mimba bint wa mbeya usipokua makin anakuletea
mtoto na kumuacha kwako yeye anaondoka.
Proof.
Nmepeleka Posa /barua kwao nmeweka 150,000 baba akopokea vizuri kwa mikono miwili mama alivyorudi na kupewa taarifa alikataa akasema 150 ni ndogo.
Mama anasema Posa nayotoa wanagawana ndugu na baadhi ya wanakijiji as if Mimi naolea kijiji chao.
Kwa iyo Minimum natakiwa nitoe 250,000
Wananichimba mkwara kwamba bint atanilitea kichanga ni kalee pekee yangu. Wao wamchukue bint Yao yaani full kaubnafsi
Binti anakua mkali anasema Mimi ntakuletea mtoto wako siwez kukulelea mtoto wako yan full ubabe ubabe.
Makabila mengi hela ya Posa roughly ni 30,000---50,000.
Zilikuwa ni cents MkuuSasa mwaka 47 utoe 200K kuposa ?
250k kisa mbunye tuuu, kweli wewe Chizi MaarifaDOGO BADO HAUPO TAYARI KUOA. TSH 250,000 YA POSA UNAKUJA ANZISHA UZI? MAHARI SI NDO UTALIA KABISA. WATU POSA TUNATOA MPAKA MILION MOJA NA KUENDELEA NA MKE AKIZINGUA TUNAMWACHA. MADOGO MNADEKA SANA MIAKA HII. NDO MAANA MNASHINDWA KULEA FAMILIA.
Sikia, hama mtaa.. binti asijue unaishi wapi, hiyo 250 kwenye posa ni kubwa mno, hauoi kijiji kizimaMama ndo mwenye sauti yaani mama anakua na kaubabe flan ivi.
Pesa ya Posa lazima iwe nyingi ili wagawane ndugu wa wazaz wa bint na baadhi ya majiran
Binti kuolewa mtaa mzima wataambiwa as if kuolewa ni jambo geni kwao.
Ukimpa mimba bint wa mbeya usipokua makin anakuletea
mtoto na kumuacha kwako yeye anaondoka.
Proof.
Nmepeleka Posa /barua kwao nmeweka 150,000 baba akopokea vizuri kwa mikono miwili mama alivyorudi na kupewa taarifa alikataa akasema 150 ni ndogo.
Mama anasema Posa nayotoa wanagawana ndugu na baadhi ya wanakijiji as if Mimi naolea kijiji chao.
Kwa iyo Minimum natakiwa nitoe 250,000
Wananichimba mkwara kwamba bint atanilitea kichanga ni kalee pekee yangu. Wao wamchukue bint Yao yaani full kaubnafsi
Binti anakua mkali anasema Mimi ntakuletea mtoto wako siwez kukulelea mtoto wako yan full ubabe ubabe.
Makabila mengi hela ya Posa roughly ni 30,000---50,000.
Unaelekea kijijini kwetu 😂😂😂Pole kaka nieneo gani mpuguso,mwakareli,itaka au igamba