Madereva wa kike - Nafasi

Madereva wa kike - Nafasi

Hornet uko wapi? kuna dili huku!
 
Last edited by a moderator:
vipi wakiume wanaweza kuomba pia?

Nimeambiwa wakiume hapa,unajua kuna experience ya miss use ya Gari kwa wanaume,ndio maana wameamua wao kuanzisha Branch Dar na ku target wanawake tu.
Maana wanaume unakuta usiku gari imekuwa Taxi,mara anaifanya ya familia,kuiba mafuta ndio usiseme.
Unampgia simu akachukue wageni,yeye yupo Kapiga ruti ndefu Mikumi.Kazi kweli
 
Kwa kujazia hapo ni kwamba:
Kwa upande wa huku Zanzibar ni rahisi sana hata kuwa na Drivers wa kiume na ambao wanatumiwa,maana mji mdogo Driver akimaliza kazi yake gari anailaza sehem husika.

Lakini kwa Dar ni kwamba kama Sehem ya kulaza gari ni mbali basi ni hasara pia,kwa jinsi folen ya gari ilivyo,ambapo itakufanya sasa mtu u quote Customer pamoja na hizo charges ambapo itafanya kushindwa kushindana kwenye soko la kazi hizi.
Na pia ifahamike kwamba is not a big company,ni changa itakuwa kwa Dar,lengo ni kwamba kuweka wepesi kwa wageni wanaotoka huku Zanzibar kuja Dar na wale wanaotoka Dar kuja Zanzibar,yaani wanaotumia Dar kama transit point,maana wengi wanatumia sana just one night in Dar,na wengine wanaunganisha moja kwa moja.

Driver atapewa uwezo wa kuwa na Gari kwake akikidhi vigezo vya kuweza kuachiwa gari kuwa nayo kwake,na itafungwa GPRS Car track system,ili iwe monitored kwenye wrong routes.
Pia Driver atapewa uwezo wa kuitumia pia kwenye mambo yake binafsi kwa kukubaliana na kuomba kwa Muajiri kwa yale ya dharura tu.
Halafu kazi yenyewe hii itampa uwezo wa kufanyakazi zake nyingine binafsi,maana sio full committed kama wale wenzetu ambao hata kama kazi hakuna basi lazima akuone kila siku ofisini.La,hii itakuwa kama hakuna kazi hata kama wiki nzima unafanya yako tu,then ikitokea kazi unapigiwa sim in advance ili ujipange kwa kazi hiyo na ukimaliza unaenda zako nyumbani.

Nakama huna sehem ya kuilaza gari,basi unaelekezwa kwa muajiri kuipeleka kuilaza,then unarudi zako home.
Na pia kuna pendekezo na mpango kwamba kwa wale wenye kuweza kuendesha Pikipiki,basi atapatiwa kila Mmoja ili awe anaitumia kwenda kuchukua gari na akimaliza anenda kulaza gari kwa muahiri na kuchukua pikipiki kwenda nayo home.
Pikipiki ataitumia atakavyo,lakini asiifanye bodaboda tu,iwe ni kwa mambo yake na route zake binafsi,hapo atajimwaga anavyojua.Ila mafuta ya ziada atajiwekea mwenyewe.
 
Mkuu asante,,,lakin ukidirect kwenye hio email inakuja kusign up,,,ndo yenyewe?
 
Mkuu asante,,,lakin ukidirect kwenye hio email inakuja kusign up,,,ndo yenyewe?

Itakuwa mkuu unaenda vibaya,maana naimani ukifungua email yako na kuweka hiyo kwenye address itafika,maana kuna watu wametuma naambiwa wahusika wamezipata
 
Wakuu kuna sehem ningependa ku share.

a)Dereva wa Kike,awe anajua kuonge Kiingereza
Majukum ni kubeba watalii,ndani ya jiji la Dar,mfano,kutoa Hotel,kwenda
Bandarini,au kwenda Airport kwa mfumo kama huo.

b)Reservation Officer/Desk attendant
Hapa Kiingereza,atakuwa trained Zanzibar ili aweze kuijua vizuri wakati
wa kuwashauri wageni.
Hii hapa gari unaweza kufundishwa then ukawa na majukum ya ziada

Nafasi hizo haziangalii kidato,hata kama Darasa la Saba muhim kigezo ni
Kiingereza Tu,maana mengine utawekwa Field

b)Nafasi Nyingine,hii kiingereza sio lazima,maana anachukua watoto
kutoka Nyumbani kwenda Shuleni na kuwarejesha

Halafu weka kiwango cha mshahara unachotaka ili wakujadili.

Mjumbe hauwawi

asante mkuu ujumbe umefika iyo kazi nzur labda tukitofautiana mshahara
 
Zanzibar Spices;Wakuu kuna sehem ningependa ku share.

a)Dereva wa Kike,awe anajua kuonge Kiingereza
Majukum ni kubeba watalii,ndani ya jiji la Dar,mfano,kutoa Hotel,kwenda Bandarini,au kwenda Airport kwa mfumo kama huo.

b)Reservation Officer/Desk attendant
Hapa Kiingereza,atakuwa trained Zanzibar ili aweze kuijua vizuri wakati wa kuwashauri wageni.
Hii hapa gari unaweza kufundishwa then ukawa na majukum ya ziada

Nafasi hizo haziangalii kidato,hata kama Darasa la Saba muhim kigezo ni Kiingereza Tu,maana mengine utawekwa Field

b)Nafasi Nyingine,hii kiingereza sio lazima,maana anachukua watoto kutoka Nyumbani kwenda Shuleni na kuwarejesha

Halafu weka kiwango cha mshahara unachotaka ili wakujadili.

Wahimize Kufungua Branch Arusha Wanawake Tupone Jamani.
 
Branch kwa Arusha hapo naona wanaume ndio watakula kazi,maana mwanamke kuingia Mbugani siku tatu au wiki naona itakuwa kazi kweli.
 
Back
Top Bottom